bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 642
Hili nalo ni gamba Jk alivue haraka maana naona hata umri wa kustaafu umepita bado ameng'ang'ania Ikuluphilimon Luhanjo amemtaka mkurungenzi wa Halmashauli Njome na watendaji wote wa serikali kudhibiti ,wapinzani kualikwa kama wageni rasimi 1