Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
WanaJF uchumi na teknoloia ya china unakuwa kwa kasi kubwa. Wamefikia hali hiyo kwa kutumia lugha zao hasa katika upande wa teknologia. Hivi hakuna haja ya kuingiza lugha zao katika mitaala ya shule zetu kama vile yalivyo masomo mengine ya lugha kama kifaransa ili angalau tuweze kupata habari hasa za kiteknolojia kutoka kwao?