Kiongozi ni yule anayewaongoza watu kwa kufuata sheria, kwa upendo, kuwajali na huku akijua kuwa wanaelekea wapi watu anaowaongoza na pia yupo tayari kukubali kukosolewa na ni msikivu kwa watu anaowaongoza.
Mtawala ni kinyume cha hayo hapo juu.
Yeye hajali nini wala nini. yeye anataka yale tu anayoyataka ndio watu wafanye, hataki kusikia maoni ya watu wengine, ukipishana nae mawazo anaweza hata kukufunga, kukupatia adhabu - hajali wewe unafikiriaje juu ya suala lolote. Na tawala zote zile dhalimu huwa ni zile ambazo mtawala anakuwa Dikteta
Yeye anatawala kwa amri.
Sasa nafikiri utakuwa umepata mwanga ... nyingine ongezea wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.