Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Wakulaumiwa sio mheshimiwa bali sheria iliyompeleka bungeni, sheria inasema ajue kusoma na kuandika kiswahili kama alikidhi haya mahitaji hana kosa
Ishu ya pili ni ulafi wa madaraka, kama anajua uwezo wake wa kuzungumza na kuelewa kiingereza ni mdogo kwa nini anaomba nafasi ambazo zitatakiwa azungumze kiingereza?hivi akishinda hiyo nafasi na kwenda katika hilo bunge si atakuwa msindikizaji kila siku na sio mzungumzaji?
Ishu ya pili ni ulafi wa madaraka, kama anajua uwezo wake wa kuzungumza na kuelewa kiingereza ni mdogo kwa nini anaomba nafasi ambazo zitatakiwa azungumze kiingereza?hivi akishinda hiyo nafasi na kwenda katika hilo bunge si atakuwa msindikizaji kila siku na sio mzungumzaji?