Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Ridhiwani ana lori 200 za tela,(gharama ya zile lori nimeelezwa na mtu mmoja mwema ni $$150,000 kila lori moja)Ridhiwani ndiyo mmiliki wa dry dock,bandari kavu., Hebu twende pole pole. What is it that you are complaing about? Kumbuka bado zipo Mali za First Lady,au sasa tunaweza kumwita former first lady.kuna mali za Kikwete. Kuna Maliza joint ownership za Salma na Kikwete. It will be tedious sasa kuongea huu ya Mwinyi na Mkapa. Hii posting unaiweka hapa kuwasaidia Ukawa,wamekuomba uiweke? Wamekusihi uiweke?