Ludovic Utoh kurithi mikoba ya Luhanjo, katibu mkuu kiongozi?

Wa kusoma

JF-Expert Member
Jul 30, 2011
3,454
2,975
Ukipenda waweza kuiita tetesi, news alert, breaking news au vyovyote upendavyo. Lkn habari zilizonifikia kutoka chanzo changu cha habari kilichoko ikulu na bila shaka yoyote ni mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali ndg. Utoh ameteuliwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo aliyestaafu december 1, 2011. Inasemekana kwamba Utoh alipendekezwa na Luhanjo mwenyewe kabla ya JK kukubali mapendekezo hayo.

My take: Ikumbukwe wote hawa walikumbwa na kashifa ya Jairo na inasemekana uteuzi wa wakuu wa mikoa na wilaya, na makatibu wakuu wa wizara mbalimbali umefanywa na Luhanjo kwa kuwaweka maswahiba wake.
Nawasilisha wakuu.
 
Utoh atakuwa mshika mbili... hivi hayo ya UN yameishia wapi tena au atakuwa anakula mzigo kotekote?
 
Watu wa aina hiyo siyo ndo wanaopendwa nchi hii,Waache waendelee kula mema ya nchi
 
Huyu ndo aliechakachua ripoti ya bunge na ile mbaya zaidi ya UDOM. Nimekubali hakuna ambalo presdant wetu hakuna uovu, uonevu na mengi ambayo mtu anaweza kusema wizi au ufisadi asioujua. Hata mtu akisema kuwa anawatuma kufanya hayo wanayotutendea watz.

Kilichotokea cha kuchakachua ripoti ya bunge huyu mzee utoh alitakiwa kufukuzwa kazi lakini kama ndo kateuliwa kuwa luhanjo, basi ni yaleyale na nchi hii itazidi kuwa tambala yaani kwishey. Watu wamelalamika mishahara wanapunjwa na wengine university fulani tangu wawe promoted nov 2010 hadi leo hawajawahi lipwa mshahara wao huo na si kweli kwamba prsdent wetu kuwa hafahamu lakini yuko kimya
 
My take: Ikumbukwe wote hawa walikumbwa na kashifa ya Jairo na inasemekana uteuzi wa wakuu wa mikoa na wilaya, na makatibu wakuu wa wizara mbalimbali umefanywa na Luhanjo kwa kuwaweka maswahiba wake.
Nawasilisha wakuu.

hivi Utouh na mvi zote hizo bado hajafikisha umri wa miaka 60 wa kustaafu kwa mujibu wa sheria kama ilivyo kwa Luhanjo?
 
Utouh kuwa katibu mkuu kiongozi? Hivi hizo kazi kumbe mtu yeyote anaweza kuifanya? Utouh alikuwa CAG na imani yangu ni kuwa alikuwa na taaluma ya Uhasibu, sasa anapokwenda kuwa katibu mkuu hakuna tauluma ya tofauti inayohitajika? au ndo yale mambo ya mawaziri kuteuliwa kadiri rais apendavyo?
 
Ukipenda waweza kuiita tetesi, news alert, breaking news au vyovyote upendavyo. Lkn habari zilizonifikia kutoka chanzo changu cha habari kilichoko ikulu na bila shaka yoyote ni mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali ndg. Utoh ameteuliwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo aliyestaafu december 1, 2011. Inasemekana kwamba Utoh alipendekezwa na Luhanjo mwenyewe kabla ya JK kukubali mapendekezo hayo.

My take: Ikumbukwe wote hawa walikumbwa na kashifa ya Jairo na inasemekana uteuzi wa wakuu wa mikoa na wilaya, na makatibu wakuu wa wizara mbalimbali umefanywa na Luhanjo kwa kuwaweka maswahiba wake.
Nawasilisha wakuu.

Mkuuu source fake.
Kisheria ya Bongo land katibu mkuu anateuliwa kutoka kwa makatibu wa wizara zilizopo.Mtu aliyetegemewa kulichukua nafsi yake ni Jairo kwa kuwa sasa kimenuka uenda akawa mhaya
 
Utouh kuwa katibu mkuu kiongozi? Hivi hizo kazi kumbe mtu yeyote anaweza kuifanya? Utouh alikuwa CAG na imani yangu ni kuwa alikuwa na taaluma ya Uhasibu, sasa anapokwenda kuwa katibu mkuu hakuna tauluma ya tofauti inayohitajika? au ndo yale mambo ya mawaziri kuteuliwa kadiri rais apendavyo?

Hizi mambo hazina taaluma. Kwani JK taaluma yake ni urais, ata sio utawala wala uongozi. Japo ninategemea Katibu mkuu kiongozi kutoka miongoni mwa makatibu waliopo
 
Blandina Nyoni kama chief secretary angemsaidia sama Kikwete; kwanza ni mtu wa accounts hivyo mamabo ya matumizi mazuri ya fedha za serikali yangeimalika; pia she is a displined hard working lady ambaye uteuzi wake utaleta ufanisi na hakutakuwa na malalamiko ya Udini, na tatu kikwete mwenyewe amesema zamu ya wanawake safari hii kama vile Asha Rose Migiro!! Hizi sababu tosha za Nyoni kuteuliwa kwani pia ana uthubutu!!
 
Kasome katiba ya TZ,nazan kuanzia kifungu cha 143 mpk 145. Katiba inamkataza CAG mstaafu kufanya kazi yoyote ile chini tanzania baada ya kuacha madaraka ya u-CAG ndo mana waga anaendelea kulipwa mshahara mpk afe,so tetesi yako haina mashiko
 
Ukipenda waweza kuiita tetesi, news alert, breaking news au vyovyote upendavyo. Lkn habari zilizonifikia kutoka chanzo changu cha habari kilichoko ikulu na bila shaka yoyote ni mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali ndg. Utoh ameteuliwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo aliyestaafu december 1, 2011. Inasemekana kwamba Utoh alipendekezwa na Luhanjo mwenyewe kabla ya JK kukubali mapendekezo hayo.

My take: Ikumbukwe wote hawa walikumbwa na kashifa ya Jairo na inasemekana uteuzi wa wakuu wa mikoa na wilaya, na makatibu wakuu wa wizara mbalimbali umefanywa na Luhanjo kwa kuwaweka maswahiba wake.
Nawasilisha wakuu.
Wa kusoma, asante kwa tetesi hii, naomba ibaki tetesi mpaka ithibitishwe!. Usiivike nguo ya news alert wala breaking news kwa sababu Uttouh naye yuko kwenye list ya wanaostaafu hivi karibuni kwa mujibu wa sheria!.

Atakayeteuliwa kujaza nafasi ya Luhanjo ni anayekaimu nafasi hiyo mara kwa mara ambaye si mwingine bali ni George Yambesi!.

Alichofanya Jairo, sio kigeni, makatibu wakuu wengi wamekuwa wakikifanya ila Jairo ndie arobaini ilipomwangukia. Utouh alichofanya ni kumsafisha Jairo kuwa its normal practice and in so doing akaishia kuchafuka na bunge likamjia juu!.

Baada ya taarifa ya kamati inayotaka Luhanjo na Uttouh wawajibishwe, rais JK sio kichwa maji kihivyo eti amteue tena Utouh kushika nafasi ya Luhanjo!.

Kwenye organization set up, japo post ya Utouh, CAG na post ya Luhanjo CS, zina hadhi sawa, CAG is over and above CS kama ilivyo kwa chance ya kukaimu urais kati ya Spika na Jaji Mkuu, wote ni wakuu wa vyombo vya dola, lakini Jaji Mkuu is over and above Speaker. Sawa na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, mkurugenzi wa TISS, CDF na IGP wote ni wakuu wenye hadhi sawa lakini CDF ndio over and above japo really powers lies with TISS.

Hata kama ni kweli JK angempenda Utouh kwa pendekezo la Luhanjo, na Utouh akawa na sifa zote zinazostahili, ile ripoti ya kamati ya bunge imemtia doa, this time, JK can't ignore utekelezaji wa mapendekezo ya kamati hiyo kama alivyo ignore utekelezaji wa mapendekezo ya kamati ya Mwakiembe kwa sababu ime mcost JK so dearly na inaendelea kutu cost watanzania wote as a nation, Tanesco wameshaomba ombi la dharura kupandisha bili ya umeme kwa zaidi ya asilimia 155% ili tufidie na tozo ya dowans ambayo lazima ilipwe!.

CS mpya should be Yambesi!.
 
Wa kusoma, asante kwa tetesi hii, naomba ibaki tetesi mpaka ithibitishwe!. Usiivike nguo ya news alert wala breaking news kwa sababu Uttouh naye yuko kwenye list ya wanaostaafu hivi karibuni kwa mujibu wa sheria!.

Atakayeteuliwa kujaza nafasi ya Luhanjo ni anayekaimu nafasi hiyo mara kwa mara ambaye si mwingine bali ni George Yambesi!.

Alichofanya Jairo, sio kigeni, makatibu wakuu wengi wamekuwa wakikifanya ila Jairo ndie arobaini ilipomwangukia. Utouh alichofanya ni kumsafisha Jairo kuwa its normal practice and in so doing akaishia kuchafuka na bunge likamjia juu!.

Baada ya taarifa ya kamati inayotaka Luhanjo na Uttouh wawajibishwe, rais JK sio kichwa maji kihivyo eti amteue tena Utouh kushika nafasi ya Luhanjo!.

Kwenye organization set up, japo post ya Utouh, CAG na post ya Luhanjo CS, zina hadhi sawa, CAG is over and above CS kama ilivyo kwa chance ya kukaimu urais kati ya Spika na Jaji Mkuu, wote ni wakuu wa vyombo vya dola, lakini Jaji Mkuu is over and above Speaker. Sawa na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, mkurugenzi wa TISS, CDF na IGP wote ni wakuu wenye hadhi sawa lakini CDF ndio over and above japo really powers lies with TISS.

Hata kama ni kweli JK angempenda Utouh kwa pendekezo la Luhanjo, na Utouh akawa na sifa zote zinazostahili, ile ripoti ya kamati ya bunge imemtia doa, this time, JK can't ignore utekelezaji wa mapendekezo ya kamati hiyo kama alivyo ignore utekelezaji wa mapendekezo ya kamati ya Mwakiembe kwa sababu ime mcost JK so dearly na inaendelea kutu cost watanzania wote as a nation, Tanesco wameshaomba ombi la dharura kupandisha bili ya umeme kwa zaidi ya asilimia 155% ili tufidie na tozo ya dowans ambayo lazima ilipwe!.

CS mpya should be Yambesi!.

Mkubwa nimependa sana analysis yako na inaonyesha ni kiasi gani unajua mambo. Ila kwa swala la Utoh kuwa CS anaweza tu kukosa kwa mambo mengine ila sio eti JK ataona aibu kumteua sababu tu ya kashfa ya JAIRO. Siyo JK ndugu yangu kwani huyu bwana hana mshipa wa aibu. Unakumbuka wakati anaingia madarakani kila kona ya nchi hii ilikuwa negative kwa EL kuwa PM? Vyombo vyote vya habari viliandika na hata kuna wazee walimuonya JK kutomteua EL kuwa PM.

Hivyo basi sintoshangaa JK kumteua hata JAIRO kuwa CS. Kama unataka jikumbushe kipindi cha kampeni jinsi JK alivyokuwa anawauza kina Mramba, Rostam na Lowassa.
 
Kasome katiba ya TZ,nazan kuanzia kifungu cha 143 mpk 145. Katiba inamkataza CAG mstaafu kufanya kazi yoyote ile chini tanzania baada ya kuacha madaraka ya u-CAG ndo mana waga anaendelea kulipwa mshahara mpk afe,so tetesi yako haina mashiko

Well said,tufunge mjadala haina haja ya politics hapa.
 
If people object president's appointment of Uttoh as the successor to Luhanjo on the grounds of Uttoh's controversial report that cleared Jairo then they should perhaps be in a position to mention a single official in Kikwete government who is still unspoiled by scandals. The argument that Uttoh can not take over as CS just because he is corrupted is completely baseless because until now there is no any high-official who may be proclaimed absolute morally upright, all of them are sullied in one or another way.
 
Back
Top Bottom