Lucas Selelii adai Bungeni kwamba wa-Bara wanabaguliwa Zenj!!

Kuna siku hawa waheshimiwa watadai mtanganyika asioe mzanzibar kwa sababu wao ni wachache bali waoane wao kwa wao.

Mimi siamini kama kuna watanzania wengi kihivyo wanaotaka ardhi zenji. Personally nisingependa kuishi sehemu ninayobaguliwa kila siku na ukikaribia uchaguzi ndio scape-goat wa kila baya! Nadhani umefika wkt sasa watanganyika walioko zenj warudi nyumbani mara moja na wazenj tulionao huku pack n go. Kama watapenda 'nchi yao' iombe uanachama East Africa Community. Ilikuwa ni makosa sana kuungana wa watu wenye historia ya machafuko, chuki and all evils.

Juzi juzi waganda wamegundua mafuta na Museveni ametoa wito wa kuona East Africa inanufaika na mafuta hayo.

Watanganyika tumenunua mafuta miaka nenda rudi, tusitishwe na "mafuta" ya kufikirika. Then tuangalie namna tunavyo weza kutumia umeme wetu kujibu mapigo kama Russia wanavyoitumia gesi yao "kikamilifu".

Zanzibars should be treated just like any foreigner. There should be no let up!

You are damn right mkuu. Argument zao hawa wenzetu hua zinashangaza sana. Nimependa sana huo mfano wa Uganda kugundulika kwamba wana mafuta na the way m7 alivyotoa wito wake. But these guys can't learn any thing from that.
 
Nakubaliana na Spika. Kwa nini nyinyi huko Bara- kama unatokea Songea usitake land pale Kibaha Maili mbili?- Utake Land Zanzibar ambako unajua wenyewe (wazalia pale ) haitutoshi. Muungano ni Undugu sio ushindani huu wa Kijinga. Mpemba anapewa land huko Maswa kwa sababu Land ipo huko na haina matumizi- naye ni Mtanzania- kwa nini asipewe?
Kwani zanzibar/Pemba hakuna ardhi isiyo na matumizi???????
Cha msingi ni kuwa land/people ratio kwa zanzibar na ikizingatiwa birth rate huko ni kubwa kuliko bara hivyo sioni busara kwa wabara kutaka ardhi ya huko.
Kinachosikitisha ni kuwa zanzibar inathamini zaidi investors kutoka nje kuliko investors kutoka bara hasa kwenye uwekezaji wa utalii hali hii siyo nzuri.
Kwa vile sasa imethibitishwa kuwa suala la ardhi siyo la muungano. Jee ikitokea land rights kwa wa zanzibari huku bara zikiwa revoked na kuwa compesated itakuwaje?????
Ndugu zangu wa zanzibar msimtukane mamba kabla ya kuvuka mto na majuto siku zote huja mwisha [irreversible].

Kuna suala la wazinzibari kunufaika na madini ya bara, naomba wana JF mnisaidie hivi ule mgao [ambao umekuwa improved baada ya negotiation] baadhi ya pesa kutoka serikali ya muungano kwa SMZ hazitokani na madini na ges ya bara?.

Hivi bara inanufaika vipi na muungano huu??? kama siyo prestige tu kuwa umeendelea kuwepo kwa kipindi kirefu.

Suala la mafuta ya zanzibar -hivi hayajapatikana wameanza kulalamika na kwa uhakika serikali ya muungano itawaachia lakini jee ikitokea bara ikawa na mafuta mengi sana [kwani kuna maeneo mengi ambayo wataalam wanadhani mafuta yapo] na yenye ubora mkubwa jee watataka nao wanufaike????????????

Mimi nina asili ya znz [mzanzibara] ninadhani imefika wakati tuwe realistic na ile syndrome ya 'wanataka kutumeza' iondoke .

Ukweli ni kwamba wanzanzibari wanauhitaji muungano kuliko watanganyika [ki-usalama,ustawi wa jamii, elimu, uchumi nk]na leo ukivunjika wabara watafurahi kuwa huru ya kero zetu na athari zake ki-uchumi ni kubwa sana [can u imagine all zanzibara's going back to the tiny island] hebu fikiria biashara kati ya zanzibar na bara- Jee bara ikiongeza kodi ya bidhaa kutoka visiwani jee uchumi wa visiwani utakuwaje. TUACHE SIASA NA TUWE REALISTIC
 
Kuna siku hawa waheshimiwa watadai mtanganyika asioe mzanzibar kwa sababu wao ni wachache bali waoane wao kwa wao.

Mimi siamini kama kuna watanzania wengi kihivyo wanaotaka ardhi zenji. Personally nisingependa kuishi sehemu ninayobaguliwa kila siku na ukikaribia uchaguzi ndio scape-goat wa kila baya! Nadhani umefika wkt sasa watanganyika walioko zenj warudi nyumbani mara moja na wazenj tulionao huku pack n go. Kama watapenda 'nchi yao' iombe uanachama East Africa Community. Ilikuwa ni makosa sana kuungana wa watu wenye historia ya machafuko, chuki and all evils.

Juzi juzi waganda wamegundua mafuta na Museveni ametoa wito wa kuona East Africa inanufaika na mafuta hayo.

Watanganyika tumenunua mafuta miaka nenda rudi, tusitishwe na "mafuta" ya kufikirika. Then tuangalie namna tunavyo weza kutumia umeme wetu kujibu mapigo kama Russia wanavyoitumia gesi yao "kikamilifu".

Zanzibars should be treated just like any foreigner. There should be no let up!

Mimi kwa sasa ninaishi na kufanya kazi hapa Zanzibar; ninaomba ku share experience niliyoipata juu ya mambo haya yahusuyo Muungano.

Kwanza ningeanza na historia fupi ya kufika kwangu hapa Zanzibar. Nimekuja hapa Kisiwani mwishoni mwa mwaka 2003. Baada ya kumaliza Diploma Course ya Computer Science. Nilikutana na rafiki yangu ambae alinieleza juu ya nafasi ya kazi iliyopo hapa Zanzibar. Ilikuwa kufundisha computer katika private institute, nilikuwa tayari kuja Zanzibar kwani niliona hiyo kuwa ni Oppurtunity. Nilipofika na kuripoti kwa mwajiri wangu; nilikuta Computer 3 ndani ya chumba kidogo sana na nikaelezwa hilo ndilo darasa la Computer (Computer Lab).

Kwa kuwa nilijifunza kutumia fursa vizuri niliona kwangu hiyo ni FURSA. Nilianza kazi na baada ya mwezi mmoja tulikuwa na wanafunzi wengi na kufanikiwa kuwa na computer Lab yenye 8 computers.

Lakini kwa sasa nafanya kazi katika field nyingine.

Hivyo basi kwa sisi tuliopo hapa Zanzibar kutoka Tanganyika tuliona fursa zilizopo na kuamua kuzichangamkia. Ukienda stone town vijana wanajihusisha na shughuli za kuuza vinyago na bidhaa nyinginezo kwa watalii, asilimia kumbwa ni kutoka Arusha. Vijana wengi kutoka Tanganyika wanakuja hapa kufanya field katika hotel na wanaona fursa zilizopo na wanaamua kuomba ajira katika hoteli hizi.

Ni kweli kuna mazingira ya kutokutazamwa vyema kwa watu tunaotoka Tangayika katika maeneo ya kazi hata makazi. Tunaonekana kama wageni tuliokuja kuchukua nafasi za watu tena kimabavu.

Haya nimeyashuhudia katika kipindi nilichokuwepo hapa Zanzibar; kwani kuna wakati wazanzibari hawa hueleza kile kilichopo ndani ya mioyo yao tena kwa hasira na uchungu.

Lakini jambo nililogundua katikati ya Wazanzibari ni UBINAFSI na UVIVU, kwa sababu hiyo wanashindwa kuchangamkia fursa zilizopo hapa kisiwani na hata zile zinazopatikana katika Muungano. Badala yake wamekuwa ni watu wa kulaumu wakati wote.

Ni Wanzanzibari wachache sana walioziona fursa zilizopo katika Muungano na hawa ndiyo wale wanaofanya biashara kariakoo na sehemu nyingine za Tanganyika. Bakhresa ameona fursa hiii na ndiyo maana amejikita Tanganyika.

Wazanzibari wengi wenye shida na Muungano ni wale ambao hawajawahi kutoka Zanzibar tokea wazaliwe na inawezekana kundi hili kuwa ni kubwa.

Nashauri politician kuwaelimisha zaidi wazanzibari juu ya fursa zilizopo katika Muungano. Ningeshauri wizara ya Elimu iwe ya Muungano ili kutoa fursa ya vijana kuchaguliwa na kwenda kusoma Tanganyika na wa Tanganyika kuja kusoma Zanzibar, hii itasaidia kwa Wanzaibari kupanua ufahamu wao na kujua kwamba Mungu aliumba Dunia ili tuweze kuitawala. Maana wazanzibari wengine wanafikiri kama Unguja na Pemba iliumbwa na Mungu kwa ajili yao tu.

Hapa Zanzibar shida sio siasa bali ni Mindset ya Wazanzibari yenyewe ambayo inatakiwa kubadilika.
 
Kuna siku hawa waheshimiwa watadai mtanganyika asioe mzanzibar kwa sababu wao ni wachache bali waoane wao kwa wao.

Mimi siamini kama kuna watanzania wengi kihivyo wanaotaka ardhi zenji. Personally nisingependa kuishi sehemu ninayobaguliwa kila siku na ukikaribia uchaguzi ndio scape-goat wa kila baya! Nadhani umefika wkt sasa watanganyika walioko zenj warudi nyumbani mara moja na wazenj tulionao huku pack n go. Kama watapenda 'nchi yao' iombe uanachama East Africa Community. Ilikuwa ni makosa sana kuungana wa watu wenye historia ya machafuko, chuki and all evils.

Juzi juzi waganda wamegundua mafuta na Museveni ametoa wito wa kuona East Africa inanufaika na mafuta hayo.

Watanganyika tumenunua mafuta miaka nenda rudi, tusitishwe na "mafuta" ya kufikirika. Then tuangalie namna tunavyo weza kutumia umeme wetu kujibu mapigo kama Russia wanavyoitumia gesi yao "kikamilifu".

Zanzibars should be treated just like any foreigner. There should be no let up!

Mimi kwa sasa ninaishi na kufanya kazi hapa Zanzibar; ninaomba ku share experience niliyoipata juu ya mambo haya yahusuyo Muungano.

Kwanza ningeanza na historia fupi ya kufika kwangu hapa Zanzibar. Nimekuja hapa Kisiwani mwishoni mwa mwaka 2003. Baada ya kumaliza Diploma Course ya Computer Science. Nilikutana na rafiki yangu ambae alinieleza juu ya nafasi ya kazi iliyopo hapa Zanzibar. Ilikuwa kufundisha computer katika private institute, nilikuwa tayari kuja Zanzibar kwani niliona hiyo kuwa ni Oppurtunity. Nilipofika na kuripoti kwa mwajiri wangu; nilikuta Computer 3 ndani ya chumba kidogo sana na nikaelezwa hilo ndilo darasa la Computer (Computer Lab).

Kwa kuwa nilijifunza kutumia fursa vizuri niliona kwangu hiyo ni FURSA. Nilianza kazi na baada ya mwezi mmoja tulikuwa na wanafunzi wengi na kufanikiwa kuwa na computer Lab yenye 8 computers.

Lakini kwa sasa nafanya kazi katika field nyingine.

Hivyo basi kwa sisi tuliopo hapa Zanzibar kutoka Tanganyika tuliona fursa zilizopo na kuamua kuzichangamkia. Ukienda stone town vijana wanajihusisha na shughuli za kuuza vinyago na bidhaa nyinginezo kwa watalii, asilimia kumbwa ni kutoka Arusha. Vijana wengi kutoka Tanganyika wanakuja hapa kufanya field katika hotel na wanaona fursa zilizopo na wanaamua kuomba ajira katika hoteli hizi.

Ni kweli kuna mazingira ya kutokutazamwa vyema kwa watu tunaotoka Tangayika katika maeneo ya kazi hata makazi. Tunaonekana kama wageni tuliokuja kuchukua nafasi za watu tena kimabavu.

Haya nimeyashuhudia katika kipindi nilichokuwepo hapa Zanzibar; kwani kuna wakati wazanzibari hawa hueleza kile kilichopo ndani ya mioyo yao tena kwa hasira na uchungu.

Lakini jambo nililogundua katikati ya Wazanzibari ni UBINAFSI na UVIVU, kwa sababu hiyo wanashindwa kuchangamkia fursa zilizopo hapa kisiwani na hata zile zinazopatikana katika Muungano. Badala yake wamekuwa ni watu wa kulaumu wakati wote.

Ni Wanzanzibari wachache sana walioziona fursa zilizopo katika Muungano na hawa ndiyo wale wanaofanya biashara kariakoo na sehemu nyingine za Tanganyika. Bakhresa ameona fursa hiii na ndiyo maana amejikita Tanganyika.

Wazanzibari wengi wenye shida na Muungano ni wale ambao hawajawahi kutoka Zanzibar tokea wazaliwe na inawezekana kundi hili kuwa ni kubwa.

Nashauri politician kuwaelimisha zaidi wazanzibari juu ya fursa zilizopo katika Muungano. Ningeshauri wizara ya Elimu iwe ya Muungano ili kutoa fursa ya vijana kuchaguliwa na kwenda kusoma Tanganyika na wa Tanganyika kuja kusoma Zanzibar, hii itasaidia kwa Wanzaibari kupanua ufahamu wao na kujua kwamba Mungu aliumba Dunia ili tuweze kuitawala. Maana wazanzibari wengine wanafikiri kama Unguja na Pemba iliumbwa na Mungu kwa ajili yao tu.

Hapa Zanzibar shida sio siasa bali ni Mindset ya Wazanzibari yenyewe ambayo inatakiwa kubadilika.

Natamani Muungano kuvungika na nikimuona BAKHERSA na viwanda vyake waki - pack na kurudi Zanzibar na magorofa mengi yaliyopo Kariakoo yakihamishwa na kuletwa Pemba.
 
mtu wa singida,shinyanga,bukoba au mwanza anafaidi nini na zanzibar?
Bora wa tanganyika tuwe na nchi yetu,tuwaachie hao ,wawe na islamic state yao.

as a matter of facts-great fact, for whose benefit is this so called muungano?????
Nani anafaidi muungano kati ya mzanzibari au mtanganyika?.

Namsifu sana jk kwa hili kukaa kimya ili wazanzibari wajikaange kwa mafuta yao wenyewe.
 
Mimi kwa sasa ninaishi na kufanya kazi hapa Zanzibar; ninaomba ku share experience niliyoipata juu ya mambo haya yahusuyo Muungano.

Kwanza ningeanza na historia fupi ya kufika kwangu hapa Zanzibar. Nimekuja hapa Kisiwani mwishoni mwa mwaka 2003. Baada ya kumaliza Diploma Course ya Computer Science. Nilikutana na rafiki yangu ambae alinieleza juu ya nafasi ya kazi iliyopo hapa Zanzibar. Ilikuwa kufundisha computer katika private institute, nilikuwa tayari kuja Zanzibar kwani niliona hiyo kuwa ni Oppurtunity. Nilipofika na kuripoti kwa mwajiri wangu; nilikuta Computer 3 ndani ya chumba kidogo sana na nikaelezwa hilo ndilo darasa la Computer (Computer Lab).

Kwa kuwa nilijifunza kutumia fursa vizuri niliona kwangu hiyo ni FURSA. Nilianza kazi na baada ya mwezi mmoja tulikuwa na wanafunzi wengi na kufanikiwa kuwa na computer Lab yenye 8 computers.

Lakini kwa sasa nafanya kazi katika field nyingine.

Hivyo basi kwa sisi tuliopo hapa Zanzibar kutoka Tanganyika tuliona fursa zilizopo na kuamua kuzichangamkia. Ukienda stone town vijana wanajihusisha na shughuli za kuuza vinyago na bidhaa nyinginezo kwa watalii, asilimia kumbwa ni kutoka Arusha. Vijana wengi kutoka Tanganyika wanakuja hapa kufanya field katika hotel na wanaona fursa zilizopo na wanaamua kuomba ajira katika hoteli hizi.

Ni kweli kuna mazingira ya kutokutazamwa vyema kwa watu tunaotoka Tangayika katika maeneo ya kazi hata makazi. Tunaonekana kama wageni tuliokuja kuchukua nafasi za watu tena kimabavu.

Haya nimeyashuhudia katika kipindi nilichokuwepo hapa Zanzibar; kwani kuna wakati wazanzibari hawa hueleza kile kilichopo ndani ya mioyo yao tena kwa hasira na uchungu.

Lakini jambo nililogundua katikati ya Wazanzibari ni UBINAFSI na UVIVU, kwa sababu hiyo wanashindwa kuchangamkia fursa zilizopo hapa kisiwani na hata zile zinazopatikana katika Muungano. Badala yake wamekuwa ni watu wa kulaumu wakati wote.

Ni Wanzanzibari wachache sana walioziona fursa zilizopo katika Muungano na hawa ndiyo wale wanaofanya biashara kariakoo na sehemu nyingine za Tanganyika. Bakhresa ameona fursa hiii na ndiyo maana amejikita Tanganyika.

Wazanzibari wengi wenye shida na Muungano ni wale ambao hawajawahi kutoka Zanzibar tokea wazaliwe na inawezekana kundi hili kuwa ni kubwa.

Nashauri politician kuwaelimisha zaidi wazanzibari juu ya fursa zilizopo katika Muungano. Ningeshauri wizara ya Elimu iwe ya Muungano ili kutoa fursa ya vijana kuchaguliwa na kwenda kusoma Tanganyika na wa Tanganyika kuja kusoma Zanzibar, hii itasaidia kwa Wanzaibari kupanua ufahamu wao na kujua kwamba Mungu aliumba Dunia ili tuweze kuitawala. Maana wazanzibari wengine wanafikiri kama Unguja na Pemba iliumbwa na Mungu kwa ajili yao tu.

Hapa Zanzibar shida sio siasa bali ni Mindset ya Wazanzibari yenyewe ambayo inatakiwa kubadilika.

Natamani Muungano kuvungika na nikimuona BAKHERSA na viwanda vyake waki - pack na kurudi Zanzibar na magorofa mengi yaliyopo Kariakoo yakihamishwa na kuletwa Pemba.

Wewe kama unajiona ndio umesafiri kuenda Zanzibar hiyo ni kimpango wako.Mimi mzanzibari na nishatembea nchi duniani zisizozidi 10.

Na bado nina mindset hiyo hiyo kuwa muungano wa Zanzibar na Tanganyika ni muungano wa kizushi na unahitajika kufanyiwa marekebisho au kuvunjwa.

Wewe kama utaona na mimi pia sijasoma, basi kaa hivyo hivyo...hili halitaondoka hadi siku wazanzibari watakapopewa mamlaka ya kujiendeshea na kujiamulia.Hii inahusiana na freedom!

Kama wewe unakubali kuwa sisi tunaona ardhi ya Zanzibar ni yetu na sisi pekee ndio wenye haki ya kutawala visiwa hivyo.Sasa nyinyi na Nyerere kwanini mulidai uhuru?Si mungelimwacha tuu muingereza akaendelea kutawala....

Kurudi kwenye maada, Tanganyika iliamua yenyewe kueka sheria kuwa mzanzibari anaweza kumiliki ardhi.Hii mulifanya hivyo sio tuu kwa sababu ya kutunufaisha sisi, bali muliona umuhimu na tija kufanya hivyo kwa uchumi wenu.Na mifano ndio hiyo Bakhresa kaja katumia fursa hiyo...ambapo ardhi ya Zanzibar pengine isingelimtosha.

Sisi Zanzibar hatuoni faida ya kuwaachia watu wengine, sio tuu Tanganyika hata utoke Europe...huna ruhusa ya kununua ardhi.Sasa haya ndio maamuzi yetu na ndicho tunachokiona kina maslahi kwetu.Kama nyie mutasusa na kuona ni ubaguzi...basi futeni hiyo sheria yenu musiruhusu mzanzibari kumiliki ardhi Tanganyika.Na hapo kwetu hatutoathirika...maana huyo Bakhresa pengine atabadili mkataba tuu na kuingia ubia na mtanganyika...na life goes on.

Sasa musitake kufanya kama suala hili ni la ubaguzi na ubinafsi dhidi ya Tanganyika...sasa wataliano mbona hawalalamiki?

Respect our decisions..this is what we stand for the benefit of our Peoples of Zanzibar.

Peace
 
huo mpango wa kuvunja muungano si wa kuuomba au kutamani utokee nadhani haitakuwa shwari kama si salama.
 
Back
Top Bottom