Lubisi kwa watoto

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Hii imenistaajabisha sana

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=19qYjr2oXMk[/ame]

Jamaa anadai hii Lubisi ni kama juisi!
 
Mkoa gani mkuu?

wabena Iringa ndio zao,
wachaga wengi ndio zao

brain zao safi tu I guess,

LOL!
 
Mkoa gani mkuu?

wabena Iringa ndio zao,
wachaga wengi ndio zao

brain zao safi tu I guess,

LOL!

Nadhani Mkoa wa Kagera huu....hivi watoto waopewa pombe kwenye umri huo, huwa wanafanya vizuri kweli madarasani......nina wasi wasi na brain damage !
 
Nadhani Mkoa wa Kagera huu....hivi watoto waopewa pombe kwenye umri huo, huwa wanafanya vizuri kweli madarasani......nina wasi wasi na brain damage !


Hhahahaha port namna gani wewe? I am a living example. tatizo vijana wa siku hizi wanakulia familia bora-wanakunywa juice na milk shake! Mimi nimeanza kukamata hii kitu hata darasa la kwanza sijaichungulia. Trust me. Tena mimi ndo nilikuwa natumwa kuleta hii kitu na wazee nyumbani! It has been part of me since then-and I cant run away from my heritage. Leo na degree zangu..nikienda village bado naigonga vyema kabisa na wazee pale kilabuni. I rarely took tea. Maana si unajua tena village..sukari mgogoro.

Mkuu kwamba una wasi wasi na brain za watu kama sisi? duh..tutake radhi mkuu! Kuna ambao wamekunywa chai ya maziwa maisha yao yote na milk shake juu....lakini hata form four hawakuvuka. Sikuwahi kufeli shule kwa sababu ya hii kitu na kama ni mafanikio ya kielimu, well, in my own right and standing I believe have managed. Na hata waliofeli kuna sababu nyingine kibao zaidi ya hii kitu.

Masanja
 
Hao ni watu wa Kagera lakini ni karibu mikoa mingi sana hasa vijijini watoto wanafanyiwa hivyo jamani
 
Hhahahaha port namna gani wewe? I am a living example. tatizo vijana wa siku hizi wanakulia familia bora-wanakunywa juice na milk shake! Mimi nimeanza kukamata hii kitu hata darasa la kwanza sijaichungulia. Trust me. Tena mimi ndo nilikuwa natumwa kuleta hii kitu na wazee nyumbani! It has been part of me since then-and I cant run away from my heritage. Leo na degree zangu..nikienda village bado naigonga vyema kabisa na wazee pale kilabuni. I rarely took tea. Maana si unajua tena village..sukari mgogoro.

Mkuu kwamba una wasi wasi na brain za watu kama sisi? duh..tutake radhi mkuu! Kuna ambao wamekunywa chai ya maziwa maisha yao yote na milk shake juu....lakini hata form four hawakuvuka. Sikuwahi kufeli shule kwa sababu ya hii kitu na kama ni mafanikio ya kielimu, well, in my own right and standing I believe have managed. Na hata waliofeli kuna sababu nyingine kibao zaidi ya hii kitu.

Masanja

Hii kitu nilikuwa sijui kabisa inawezekana homeboy uko sahihi! Lakini ukianza kuabuse alcohol kwenye umri chini ya mwaka mmoja wakati brain development bado inachukua nafasi kubwa ni hatari sana ingawa sina data nini kitatokea!! ngoja ni google! Hako katoto hapo kanaweza pata addiction awapo mkubwa jamani!

Nimeona hii
Effects of Alcohol on Children


Depression
The child's system will become depressed, both physically and mentally. The physical depression occurs when the sense of self-control is lost
Motor Function
A child will become clumsy and uncoordinated. She may have accidents or slip and fall.
Brain Damage
Alcohol can cause damage to the child's brain, making him forgetful or confused
Visual Impairment
Perception may be altered, and the child may "see things" or not be able to see correctly.
Slow Reflexes
Due to the physical depression of the system, the child's reflexes will slow.
Nausea
Alcohol irritates the stomach lining, causing nausea and vomiting.
Liver Damage
Long term use of alcohol can cause serious damage to the liver, ranging from hypoglycemia to cirrhosis to liver failure.

Source: http://www.ehow.com/facts_4826610_physical-effects-alcohol-children.html

Am breathless kwa kweli....LOL
 
Bora hii kuliko gongo!

Zote zina functional group ya alcohol (R-OH) hakuna cha unafuu hapo, pombe mbaya kwa watoto!

images
 
Nadhani Mkoa wa Kagera huu....hivi watoto waopewa pombe kwenye umri huo, huwa wanafanya vizuri kweli madarasani......nina wasi wasi na brain damage !

Mkuu Masanilo,

Nimekulia kijijini Bukoba na suala la mtoto kupewa pombe is just normal kule. Lubisi sio kama gongo ambayo inaweza kudamage brain ya mtoto. Lubisi ni kinywaji ambacho ni very passive na ukikuta ile ambayo bado haijakaa siku nyingi ni kama juice tu!!!

Nilinyweshwa nikiwa mdogo na bado watoto wangu wananyweshwa vile vile na darasani wanaperform kupita kiasi.

Huyo M-TBC alipewa akaonja ili kujua ukali wake na hiyvo kupima hiyo damage kwenye akili? Lubisi kwa kila mtu!!!

Lubisi hoyee!!!!!

Tiba
 
Mkuu Masanilo,

Nimekulia kijijini Bukoba na suala la mtoto kupewa pombe is just normal kule. Lubisi sio kama gongo ambayo inaweza kudamage brain ya mtoto. Lubisi ni kinywaji ambacho ni very passive na ukikuta ile ambayo bado haijakaa siku nyingi ni kama juice tu!!!

Nilinyweshwa nikiwa mdogo na bado watoto wangu wananyweshwa vile vile na darasani wanaperform kupita kiasi.

Huyo M-TBC alipewa akaonja ili kujua ukali wake na hiyvo kupima hiyo damage kwenye akili? Lubisi kwa kila mtu!!!

Lubisi hoyee!!!!!

Tiba

Hii kitu inanistaajabisha sana kwa watoto jamani! My boy will never try that.....babake nimekuwa addicted na pombe baada ya kujaribu nikiwa national service.....sasa katoto kenye miezi michache ni hatari....hebu angalia kwa nyuma wazee wazima wanaonekana kulewa hata huyo mama hayuko sober!
 
Masa life yenyewe fupi mafisadi wamekaba pande zote mwacha mtoto afurahi life jamni:)
 
Hii kitu inanistaajabisha sana kwa watoto jamani! My boy will never try that.....babake nimekuwa addicted na pombe baada ya kujaribu nikiwa national service.....sasa katoto kenye miezi michache ni hatari....hebu anagalia kwa nyuma wazee wazima wanaonekana kulewa hata huyo mama hayuko sober!

Mkuu Masanilo,

Nimesoma hiyo analysis kutoka kwenye google. Nimesoma pia huo wasiwasi wako hapo juu. Mimi nafikiri tunaposema pombe tuangalie hiyo alcoholic content yake ikoje. Lubisi una alcohol content ndogo sana. Lubisi ni juice ya ndizi iliyowekwa mtama uliosagwa na kuachwa kwa masaa kadhaa then unachota na kunywa. Sijui kama mbege ni mbaya kwa watoto. Huwa siamini kama mbege ni pombe na hata nikinywa huwa siwezi kujisikia hata kwa mbali kama nimekunywa pombe. Lubisi na Mbege vyote ni product ya ndizi.

Inawezekana kuna wataalamu zaidi wa Lubisi humu watakuja kueleza zaidi.

Tiba
 
Mkuu Masanilo,

Nimesoma hiyo analysis kutoka kwenye google. Nimesoma pia huo wasiwasi wako hapo juu. Mimi nafikiri tunaposema pombe tuangalie hiyo alcoholic content yake ikoje. Lubisi una alcohol content ndogo sana. Lubisi ni juice ya ndizi iliyowekwa mtama uliosagwa na kuachwa kwa masaa kadhaa then unachota na kunywa. Sijui kama mbege ni mbaya kwa watoto. Huwa siamini kama mbege ni pombe na hata nikinywa huwa siwezi kujisikia hata kwa mbali kama nimekunywa pombe. Lubisi na Mbege vyote ni product ya ndizi.

Inawezekana kuna wataalamu zaidi wa Lubisi humu watakuja kueleza zaidi.

Tiba

Well, unajua alcohol kama ipo kwenye kiwango kidogo sana let say 0.5 % by vol madhara yapo tuseme labda si makubwa. Alcohol poisoning ni mbaya hata kwa wakubwa. Alcohol ipo hata kwenye hizi dawa zetu za kila siku ikiwa kwenye kiwango kidogo sana basi hata madhara yake ni kidogo! Fermentation ya carbohydrates hutengeneza pombe, sasa Lubisi ikikaa siku nyingi inaweza kuwa kali karibia na gongo maana kitendo cha fermentation kitaendelea.....
 
Masa life yenyewe fupi mafisadi wamekaba pande zote mwacha mtoto afurahi life jamni:)

Maisha mafupi sawa! Lakini isiwe sababu ya kutojilinda ama kutochukua tahadhali.......mfano condoms zitumike wakati wote usijihatarishe kwa kuwa maisha ni mafupi!
 
Hii kitu nilikuwa sijui kabisa inawezekana homeboy uko sahihi! Lakini ukianza kuabuse alcohol kwenye umri chini ya mwaka mmoja wakati brain development bado inachukua nafasi kubwa ni hatari sana ingawa sina data nini kitatokea!! ngoja ni google! Hako katoto hapo kanaweza pata addiction awapo mkubwa jamani!

Nimeona hii
Effects of Alcohol on Children


Depression
The child's system will become depressed, both physically and mentally. The physical depression occurs when the sense of self-control is lost
Motor Function
A child will become clumsy and uncoordinated. She may have accidents or slip and fall.
Brain Damage
Alcohol can cause damage to the child's brain, making him forgetful or confused
Visual Impairment
Perception may be altered, and the child may "see things" or not be able to see correctly.
Slow Reflexes
Due to the physical depression of the system, the child's reflexes will slow.
Nausea
Alcohol irritates the stomach lining, causing nausea and vomiting.
Liver Damage
Long term use of alcohol can cause serious damage to the liver, ranging from hypoglycemia to cirrhosis to liver failure.

Source: http://www.ehow.com/facts_4826610_physical-effects-alcohol-children.html

Am breathless kwa kweli....LOL

Port, unajua siku hizi tunaishi era za google na dot com! Kwa hiyo I understand your concern.

Ila ukweli ni kwamba akina Masanja hapa ni mifano iliyo hai. Infact I can say wengine pombe ilikuwa ni kama catalyst ya kutusaidia kufaulu. At times I wonder kwanini vijana wa siku hizi wanashindwa shule. Unakuta mtu bila aibu ana zero au four! Sijui ni kwa nini. Maana nikipiga flash back nilikotoka mpaka hapa nilipo..I just feel kwamba nimepita wazingira magumu sana. I would advise vijana wafanye homework ya kufikiria. Wajue kwamba wako blessed kuishi wakati kama huu.

Hivi port umeshawahi kwenda village? utakuta watoto wanaamka wanacheza barabarani kwenye matope wakiwa vifua wazi, hawaijui chai sana sana breakfast ni kipolo cha viazi saa tano au sita mchana (ku-compensate na lunch maana mama anatoka shambani late sana). Lakini utawakuta vijana wana afya hakika. thubutu mwanao atoke nje bila sweta. Atapata pneumonia.

My message is..vijana wa village wanaishi mazingira tofauti na wana adapt kuliko watoto wa town. Ndo maana akina Masanja pombe tulikunywa na shule tukafaulu. MAANA tulijua..ukifeli la saba au popote. Basi hiyo ni license ya kuwa mkulima! Wakati Mjini vijana wana second chance kwa opportunities!

Anyway sitetei pombe maana naamini zina madhara yake. Lakini waambieni watoto wenu wafanye homework zao. Pombe si mbaya kama unaelewa unachokifanya. Ultimately, mtoto mdgo kama huyu hapo kwenye picha si vyema kumpa pombe..ila anaweza kuonja...
 
Nadhani Mkoa wa Kagera huu....hivi watoto waopewa pombe kwenye umri huo, huwa wanafanya vizuri kweli madarasani......nina wasi wasi na brain damage !

wasomi sana nchi hii ni wachaga na wahaya! so makabila mengine sijui waige kuwapa watoto kilevi au la! (jokes)
 
Back
Top Bottom