Mkoa gani mkuu?
wabena Iringa ndio zao,
wachaga wengi ndio zao
brain zao safi tu I guess,
LOL!
Nadhani Mkoa wa Kagera huu....hivi watoto waopewa pombe kwenye umri huo, huwa wanafanya vizuri kweli madarasani......nina wasi wasi na brain damage !
Hhahahaha port namna gani wewe? I am a living example. tatizo vijana wa siku hizi wanakulia familia bora-wanakunywa juice na milk shake! Mimi nimeanza kukamata hii kitu hata darasa la kwanza sijaichungulia. Trust me. Tena mimi ndo nilikuwa natumwa kuleta hii kitu na wazee nyumbani! It has been part of me since then-and I cant run away from my heritage. Leo na degree zangu..nikienda village bado naigonga vyema kabisa na wazee pale kilabuni. I rarely took tea. Maana si unajua tena village..sukari mgogoro.
Mkuu kwamba una wasi wasi na brain za watu kama sisi? duh..tutake radhi mkuu! Kuna ambao wamekunywa chai ya maziwa maisha yao yote na milk shake juu....lakini hata form four hawakuvuka. Sikuwahi kufeli shule kwa sababu ya hii kitu na kama ni mafanikio ya kielimu, well, in my own right and standing I believe have managed. Na hata waliofeli kuna sababu nyingine kibao zaidi ya hii kitu.
Masanja
Nadhani Mkoa wa Kagera huu....hivi watoto waopewa pombe kwenye umri huo, huwa wanafanya vizuri kweli madarasani......nina wasi wasi na brain damage !
Mkuu Masanilo,
Nimekulia kijijini Bukoba na suala la mtoto kupewa pombe is just normal kule. Lubisi sio kama gongo ambayo inaweza kudamage brain ya mtoto. Lubisi ni kinywaji ambacho ni very passive na ukikuta ile ambayo bado haijakaa siku nyingi ni kama juice tu!!!
Nilinyweshwa nikiwa mdogo na bado watoto wangu wananyweshwa vile vile na darasani wanaperform kupita kiasi.
Huyo M-TBC alipewa akaonja ili kujua ukali wake na hiyvo kupima hiyo damage kwenye akili? Lubisi kwa kila mtu!!!
Lubisi hoyee!!!!!
Tiba
Hii kitu inanistaajabisha sana kwa watoto jamani! My boy will never try that.....babake nimekuwa addicted na pombe baada ya kujaribu nikiwa national service.....sasa katoto kenye miezi michache ni hatari....hebu anagalia kwa nyuma wazee wazima wanaonekana kulewa hata huyo mama hayuko sober!
Mkuu Masanilo,
Nimesoma hiyo analysis kutoka kwenye google. Nimesoma pia huo wasiwasi wako hapo juu. Mimi nafikiri tunaposema pombe tuangalie hiyo alcoholic content yake ikoje. Lubisi una alcohol content ndogo sana. Lubisi ni juice ya ndizi iliyowekwa mtama uliosagwa na kuachwa kwa masaa kadhaa then unachota na kunywa. Sijui kama mbege ni mbaya kwa watoto. Huwa siamini kama mbege ni pombe na hata nikinywa huwa siwezi kujisikia hata kwa mbali kama nimekunywa pombe. Lubisi na Mbege vyote ni product ya ndizi.
Inawezekana kuna wataalamu zaidi wa Lubisi humu watakuja kueleza zaidi.
Tiba
Masa life yenyewe fupi mafisadi wamekaba pande zote mwacha mtoto afurahi life jamni
Hii kitu nilikuwa sijui kabisa inawezekana homeboy uko sahihi! Lakini ukianza kuabuse alcohol kwenye umri chini ya mwaka mmoja wakati brain development bado inachukua nafasi kubwa ni hatari sana ingawa sina data nini kitatokea!! ngoja ni google! Hako katoto hapo kanaweza pata addiction awapo mkubwa jamani!
Nimeona hii
Effects of Alcohol on Children
Depression
The child's system will become depressed, both physically and mentally. The physical depression occurs when the sense of self-control is lost
Motor Function
A child will become clumsy and uncoordinated. She may have accidents or slip and fall.
Brain Damage
Alcohol can cause damage to the child's brain, making him forgetful or confused
Visual Impairment
Perception may be altered, and the child may "see things" or not be able to see correctly.
Slow Reflexes
Due to the physical depression of the system, the child's reflexes will slow.
Nausea
Alcohol irritates the stomach lining, causing nausea and vomiting.
Liver Damage
Long term use of alcohol can cause serious damage to the liver, ranging from hypoglycemia to cirrhosis to liver failure.
Source: http://www.ehow.com/facts_4826610_physical-effects-alcohol-children.html
Am breathless kwa kweli....LOL
Nadhani Mkoa wa Kagera huu....hivi watoto waopewa pombe kwenye umri huo, huwa wanafanya vizuri kweli madarasani......nina wasi wasi na brain damage !