TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,285
i dont think so!!! all we need ni integration na si vinginevyoAisee jamaa hatari sana! si tumewapatia uraia juzi jui tu!!!...
i dont think so!!! all we need ni integration na si vinginevyoAisee jamaa hatari sana! si tumewapatia uraia juzi jui tu!!!...
no, i am saying that with overall integration of the federation... then we will dilute hizi factions.... that would account for less than 10% of the populationAre you implying that Gen.Nya is our common enemy??
uajua unachoongea lakini?that 10%unayoongea kumbuka in rwanda tutsi ni 14% na majority hutu ni km 85% na power iko kwa nani>?MINORITY.sasa fanya hesabu zako vizuri.usisahau pia kuwa hiyo hiyo minority unayosema haitatuletea matatizo ndio chanzo cha matatizo ya DRC,sasa kaa chini ufikiri vizuri sana.no, i am saying that with overall integration of the federation... then we will dilute hizi factions.... that would account for less than 10% of the population
manake ni kwamba mtu kama nyamwasa atakua insignificant na hatutadeal na small factions kama hizo
who will be our common enemy??? wazungu!!!
Hii ndio ile wazungu wanaita "aende wapi mkuu?kumbuka bado huyu kayumba ni mmojawapo kati ya wale maofisa tisa wa kagame ambao wako wanted na france na spain wanatakiwa wakajibu mashtaka yao the hague.
I share your school of thoughts,and we as good neighbors must pray for them!Interesting.
I think something BIG is about to happen in Rwanda.