Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Hawezi.., alishaongezwa,, muda umeisha leo.., kesho anaagwa,,
Hakuna upindishaji wa sheria?
Hawezi.., alishaongezwa,, muda umeisha leo.., kesho anaagwa,,
Mnadhimu mkuu wa jeshi (chief of staff) lt. gen Shimbo ataagwa rasmi kesho.
Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.
Shughuli ya kumuaga itafanyika kesho makao makuu ya jeshi, Upanga.
Ikumbukwe, alipata wadhifa wa unadhimu wa jeshi mwaka 2007 ambapo yeye na CDF Davis Mwamunyange walichukua madaraka kutoka kwa general Waitara.
Nitawajuza yatakayojiri kesho kwenye shughuli ya kumuaga huyu chief of staff.
Source: MOSHE DAYAN
Natumai JK ata "balance" uwiano wa Dini Jeshini kwa kumteua mnadhimu mwingine mwenye jina linalofanania na la Abdulrahman
we are bracing for a new chief of staff..,
as usual ntawajuza as soon as possible
mkuu hata mimi najua Trillion 3 ni pesa nyingi lakini ukisikia hii nchi bado ni masikini wakati watu wanafanya kazi usiku na mchana ndipo linakuja jibu kuwa pesa zipo ila ziko sehemu.Ndio maana nikasema tufikirie kidogo kama ishu kama hizi zikiendeshwa kwa mihemuko tutakuwa kila siku tunakula za uso mahakamani. Hoja yangu haikuwa ameiba ama hajaiba, amehifadhi fedha au hajahifadhi. Mashaka yangu yalikuwa kwa wale waosema ni trilioni nne nikaeleza trilioni nne ni sawa na bajeti ya Wizara ya ulinzi kwa muda zaidi ya miaka 5 ambayo inazidi hata miaka aliyokaa kwenye wadhifa wake!!
Hata hayo mabilioni yaliyopo Uswis changanya na za Kenya Na Uganda hazifikii hizo trilioni 4! Au labda tueleze wewe Zilizoko Uswis (pesa za Watanzania ni sh. ngapi).....?
Sina undugu na Shimbo zaidi ya kumuona kwenye kioo tu ila kwa hilo najaribu kufikiri as GT.
Una ushahidi?
Umri wangu wa kustaafu bado sana. Ila nasikitika kwa sababuAfande! alikuwa anatania tu! Mapumziko mema baada ya utumishi wako uliotukuka Afande!
Umri wangu wa kustaafu bado sana. Ila nasikitika kwa sababu
mara nyingine nimekuwa karibu na kamanda Shimbo ambaye
anasikitishwa sana na shutuma hizi ambazo hazina ukweli.
Nataka ufahamu kuwa kamanda Shimbo alikuwa Muadilifu sana.
Hahahaahhahahaahaaaaaa..,Itakuwa Lt.Gen Moshe Dayan wa bongo lakini sio Israel.
Hawa wote tutakwenda nao sawa mwaka 2015 mara baada ya CDM kushika dola
Ametumikia nchi kwa uadilifu mkubwa..karibu nyumbani arusha mkuu