<br />Kwa mtazamo wangu lowasa c mwizi ila katika harakati ya kuiondoa nchi kwenye giza wakuda wakamuingiza mkekenge, na spika Sitta kwa kuwa alikuwa anautaka uwaziri mkuu aka2mia rungu la uspika kumuonea ila tutajua ni Sitta au Lowassa ndo ana2faa with tyme.Hii nchi Kikwete imemshidwa baada ya Lowasa kujiuzulu anaphamba tu sasa hatofanya ki2, jaman 2mwachien mchawi mtoto hatomua atamlea salama