Chief wa kibena
JF-Expert Member
- Mar 13, 2016
- 686
- 394
mada ya mwaka 2008
Mijitu ina akili za bata,lowasa walituita fisadi lakini jk na timu yake hadi Leo hawajaweza kunahitaji,makontena yaliyopita bila ushuru lowasa alikuwepo.ni kweli hii mijitu ikimsikia lowasa inajiharishiahii mada nzuri sana!!" bila ya kumtaja lowasa... lowasa, lowasa, mkeo au mumeo akifuja Pesa utakuja na Uzi hapa kuwa lowSa kamfisid mkeo or mumeo...
Kubwajinga wanakuita huku uje kumalizia mada yako maana punde si punde tunajua kitanuka ndani ya mjengo!Mleta mada ni marehemu maana kwa binadamu hai hawezi kuwa mfitini na juha kama huyu lazima yuko kuzimu huyu