MVUA GAMBA
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 102
- 63
Wana Jf kuna taarifa za bila kuwa na shaka Muhariri Mkuu wa Gazeti la Nipashe Jumapili Mama Flora Wingia na Muhariri wa Habari Bi Bandawe wamesimamishwa kazi kwa Kosa la Kuandika Story jumapili iliyopita inayohusu Tuhuma zilizotolewa Na Mchungaji Mtikila Dhidi ya RIDHWAN KIKWETE,wamesimamishwa kazi kwa kosa hilo.
Kosa la Pili ni kuandika Maoni juu ya Urais 2015 kuwa ni kati ya Lowasa na Sumaye ndani ya CCM,mambo haya mawili yamemuudhi sana Mwenye mali na wao kusimamishwa kazi siku ya IJUMAA maamuzi haya yalifanyika bila kufanyika kikao chochote cha Kinidhamu kujadili kama wamekiuka maadili ya uandishi ama kama wamekiuka sheria za chombo chao za habari.
My opinion barua zao zimesema hivo wazi najiuliza kosa la muandishi ama muhariri nini hapo kwani mtikila alituhumu wazi na kila chombo kiliandika,kuhusu maoni yale ni maoni ya muhariri na si siri tena CCM kuwa sasa inakabiliwa na Vurugu zinazotokana na URAIS wa 2015 ,wanahabari kama wananyanyasika hivi huyu mama Wingia amefanya kazi zaidi ya miaka 10 ni FOUNDER wa Gazeti la nipashe sisi waandishi wadogo tuna Future gani hapa nani yuko salama,wanahabari tuungane kupinga hili ni uonevu.
Kosa la Pili ni kuandika Maoni juu ya Urais 2015 kuwa ni kati ya Lowasa na Sumaye ndani ya CCM,mambo haya mawili yamemuudhi sana Mwenye mali na wao kusimamishwa kazi siku ya IJUMAA maamuzi haya yalifanyika bila kufanyika kikao chochote cha Kinidhamu kujadili kama wamekiuka maadili ya uandishi ama kama wamekiuka sheria za chombo chao za habari.
My opinion barua zao zimesema hivo wazi najiuliza kosa la muandishi ama muhariri nini hapo kwani mtikila alituhumu wazi na kila chombo kiliandika,kuhusu maoni yale ni maoni ya muhariri na si siri tena CCM kuwa sasa inakabiliwa na Vurugu zinazotokana na URAIS wa 2015 ,wanahabari kama wananyanyasika hivi huyu mama Wingia amefanya kazi zaidi ya miaka 10 ni FOUNDER wa Gazeti la nipashe sisi waandishi wadogo tuna Future gani hapa nani yuko salama,wanahabari tuungane kupinga hili ni uonevu.