bubukapoka
Member
- Oct 29, 2011
- 11
- 1
Hello guys,
Hivi karibuni tumewasikia baadhi ya viongozi wakilipigia kelele suala la ukosefu wa ajira kwa vijana wa Tz wakiwemo Lowasa,sita na Membe kwa nyakati tofauti,Najiuliza maswali mengi juu yao,
-Hilo tatizo wameliona leo tu miaka iliyopita halikuwepo?
-Wameshindwa kabisa kulijengea mikakati ndani ya serikali yao na chama chao na hivyo kuamua kupiga kelele mitaani?
-Wameshindwa kutambua ya kwamba ufisadi na ombwe la uongozi ktk serikali na chama chao ndio kiini cha tatizo?
-Wameshindwa kubaini ya kwamba kwa kuwa wao ni sehemu ya chama na serikali ni sehemu ya tatizo? au
-Ndio ule unafiki unaosemwa,lengo likiwa ni kuwavuta vijana wawaamini ili kukamilisha ndoto zao za kwenda Ikulu?
Tutafakari kwa makini juu ya hawa watu?
Think Gray not Green?
Nawasilisha.
Hivi karibuni tumewasikia baadhi ya viongozi wakilipigia kelele suala la ukosefu wa ajira kwa vijana wa Tz wakiwemo Lowasa,sita na Membe kwa nyakati tofauti,Najiuliza maswali mengi juu yao,
-Hilo tatizo wameliona leo tu miaka iliyopita halikuwepo?
-Wameshindwa kabisa kulijengea mikakati ndani ya serikali yao na chama chao na hivyo kuamua kupiga kelele mitaani?
-Wameshindwa kutambua ya kwamba ufisadi na ombwe la uongozi ktk serikali na chama chao ndio kiini cha tatizo?
-Wameshindwa kubaini ya kwamba kwa kuwa wao ni sehemu ya chama na serikali ni sehemu ya tatizo? au
-Ndio ule unafiki unaosemwa,lengo likiwa ni kuwavuta vijana wawaamini ili kukamilisha ndoto zao za kwenda Ikulu?
Tutafakari kwa makini juu ya hawa watu?
Think Gray not Green?
Nawasilisha.