Lowassa, Sitta, Kilango wapata pigo kubwa!!!!

Hakuna atayepewa dhamana ya nch wakt anatumikia ccm. sita alikuwa mwz na kampen chafu. Mh kiwia kakatwa mapanga kwa sababu ya kampen za ccm. Kwa nini wanakubaliwa kutumika kama madodoki kama wao si mafisad. Sita,mwakyembe,sendeka,kilango na ata magufuri wote ni wachumia tumbo
 
Huwezi kupambana na ufisadi wakati uko ndani ya CCM ambayo ndaima ina ulea ufisadi!
 
ARUMERU alikuwapo fisadi LOWASA na ndiyo maana wananchi wakatoa somo kuwa hataki Tanzania yenye mafisadi,mzee sitta anaipenda CDM ndiyo maana alikataa kuiba kura kama walivyopanga magamba,mzee ni msafi sana.

Arumeru huwazi mlaumu Lowassa sana..kwani kama ni kampeni yeye amefanya siku mbili tu za mwisho.....Sasa hapo panahitajika kufanya utafiti wa kisomi ...kuwa aliyepunguza kura za ccm ni kina Mwigulu ,Wassira ,maji marefu..[mnampeleka mganga kwenye watu wenye imani kali ya dini ya kikristo]..SENDEKA na wengine ambao walifanya mikutano wiki tatu au ni huyu aliyefanya mikutano miwili ya mwisho........
Hapo napata mashaka kama Lowassa alienda kupunguza kura au at least alienda kupunguza gap...pengine asingeenda kabisa ....tofauti ingekuwa kura 10,000 ..na pengine mngempa angalau wiki ya kampeni mngeshinda kwa kura chache.....kumbukeni SENDEKA ,NAPE,na mwigulu walimzuia Kabisa Lowassa kufanya kampeni ...lakini angalau siku mbili alivyofanya kampeni alileta kauhai fulan
SABABU nyingine ni kuwa katika chadema tangu mwanzo ilionekana Mpiga debe waliyekuwa wakimuogopa kuliko wote ni Lowassa....tatizo ni kuwa ccm walikuwa wanapingana sana kumtumia.............kwa mantiki hiyo sishawishiki kabisa kuwa lawama hizi zinatakiwa kwenda kwa yeyote zaidi ya mwenyekiti wa kampeni na timu yake...
 
Arumeru huwazi mlaumu Lowassa sana..kwani kama ni kampeni yeye amefanya siku mbili tu za mwisho.....Sasa hapo panahitajika kufanya utafiti wa kisomi ...kuwa aliyepunguza kura za ccm ni kina Mwigulu ,Wassira ,maji marefu..[mnampeleka mganga kwenye watu wenye imani kali ya dini ya kikristo]..SENDEKA na wengine ambao walifanya mikutano wiki tatu au ni huyu aliyefanya mikutano miwili ya mwisho........
Hapo napata mashaka kama Lowassa alienda kupunguza kura au at least alienda kupunguza gap...pengine asingeenda kabisa ....tofauti ingekuwa kura 10,000 ..na pengine mngempa angalau wiki ya kampeni mngeshinda kwa kura chache.....kumbukeni SENDEKA ,NAPE,na mwigulu walimzuia Kabisa Lowassa kufanya kampeni ...lakini angalau siku mbili alivyofanya kampeni alileta kauhai fulan
SABABU nyingine ni kuwa katika chadema tangu mwanzo ilionekana Mpiga debe waliyekuwa wakimuogopa kuliko wote ni Lowassa....tatizo ni kuwa ccm walikuwa wanapingana sana kumtumia.............kwa mantiki hiyo sishawishiki kabisa kuwa lawama hizi zinatakiwa kwenda kwa yeyote zaidi ya mwenyekiti wa kampeni na timu yake...
Mkuu labda hauelewi kitu,ulitaka EL aje physically ndio uone mchango wake? hebu fikirisha ubongo wako sawa sawa
 
Arumeru huwazi mlaumu Lowassa sana..kwani kama ni kampeni yeye amefanya siku mbili tu za mwisho.....Sasa hapo panahitajika kufanya utafiti wa kisomi ...kuwa aliyepunguza kura za ccm ni kina Mwigulu ,Wassira ,maji marefu..[mnampeleka mganga kwenye watu wenye imani kali ya dini ya kikristo]..SENDEKA na wengine ambao walifanya mikutano wiki tatu au ni huyu aliyefanya mikutano miwili ya mwisho........
Hapo napata mashaka kama Lowassa alienda kupunguza kura au at least alienda kupunguza gap...pengine asingeenda kabisa ....tofauti ingekuwa kura 10,000 ..na pengine mngempa angalau wiki ya kampeni mngeshinda kwa kura chache.....kumbukeni SENDEKA ,NAPE,na mwigulu walimzuia Kabisa Lowassa kufanya kampeni ...lakini angalau siku mbili alivyofanya kampeni alileta kauhai fulan
SABABU nyingine ni kuwa katika chadema tangu mwanzo ilionekana Mpiga debe waliyekuwa wakimuogopa kuliko wote ni Lowassa....tatizo ni kuwa ccm walikuwa wanapingana sana kumtumia.............kwa mantiki hiyo sishawishiki kabisa kuwa lawama hizi zinatakiwa kwenda kwa yeyote zaidi ya mwenyekiti wa kampeni na timu yake...

Duh!! Hii ni kama "copy and paste" ya alichosema Lowassa alipomaliza kampeni Arumeru. Alikuwa na kauli mbili, wangeshinda angesema yeye ndiye ameiokoa CCM na angeshindwa angesema haya uliyoyasema Mkuu hapa. Hadi naogopa. Kwa kweli tatizo kubwa la CCM kushindwa na Chadema lazima wawe makini na hili ni tatizo la UFISADI, Chadema walipanda chati baada ya Mwembeyanga, kutaja mafisadi na hawajarudi nyuma hadi leo. Chadema wameshinda Arumeru kwa kuwa wananchi wamechoka na ufisadi na nilishasema 'SI Unit' ya ufisadi Tanzania ni 1-Lowassa, 2-Chenge na 3-Rostam ambaye amekuwa mjanja na amechukua hatua, wenzake bado wanaamini Watanzania watasahau. CCM wamehutubia mikutano Arumeru bila kuthubutu kuzungumzia ufisadi na mafisadi. Lowassa ndiye aliyemponza Siyoi kushindwa, so kwenda na kutokwenda haina maana. Magazeti yalimpamba, kwamba amemaliza kazi Arumeru, leo ama kashindwa anasema (nasi tunaamini) kuwa alikwenda dakika za mwisho. Kwani alikua hajui ratiba? nani kamlazimisha?
ama kwani haijulikani ameng'ang'ania? Siamini kama Chadema walimuogopa, bali alikuwa ndio karata yao ya ushindi. Alienda kuisaidia Chadema kwa kusimama jukwaani maana hata wale CCM walikasirika wakamnyima kura. Ni ukweli usiopingika kwamba Chadema nao wasidanganyika wakaacha hoja ya ufisadi wakiamini Watanzania wamesahau. LOwassa ni mjanja sana na kwa kweli tunajua sote jinsi alivyopanga timu na kugharamia sehemu kubwa ya kampeni kuanzia kura za maoni kama tunakumbuka "Comrade Lowassa" na alifika Arumeru mapema na kuanza vikao vya ndani na viongozi wa dini na wa kimila kabla ya kuanza mikakati ya kifedha na hujuma. Nguvu ya Umma na chuki dhidi ya ufisadi ndiyo imeshinda na kujumlisha na vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya CCM.
 
Ccm kushinda uchaguzi ni kwa kutumia mabavu na mbinu chafu za dhuluma.
 
Arumeru huwazi mlaumu Lowassa sana..kwani kama ni kampeni yeye amefanya siku mbili tu za mwisho.....Sasa hapo panahitajika kufanya utafiti wa kisomi ...kuwa aliyepunguza kura za ccm ni kina Mwigulu ,Wassira ,maji marefu..[mnampeleka mganga kwenye watu wenye imani kali ya dini ya kikristo]..SENDEKA na wengine ambao walifanya mikutano wiki tatu au ni huyu aliyefanya mikutano miwili ya mwisho........
Hapo napata mashaka kama Lowassa alienda kupunguza kura au at least alienda kupunguza gap...pengine asingeenda kabisa ....tofauti ingekuwa kura 10,000 ..na pengine mngempa angalau wiki ya kampeni mngeshinda kwa kura chache.....kumbukeni SENDEKA ,NAPE,na mwigulu walimzuia Kabisa Lowassa kufanya kampeni ...lakini angalau siku mbili alivyofanya kampeni alileta kauhai fulan
SABABU nyingine ni kuwa katika chadema tangu mwanzo ilionekana Mpiga debe waliyekuwa wakimuogopa kuliko wote ni Lowassa....tatizo ni kuwa ccm walikuwa wanapingana sana kumtumia.............kwa mantiki hiyo sishawishiki kabisa kuwa lawama hizi zinatakiwa kwenda kwa yeyote zaidi ya mwenyekiti wa kampeni na timu yake...

You can't be seroius right?? The issue is people are tired of CCM. They can't be fooled all the time. You can try hard to clean up EL, but the truth remains.
 
Hiyo kambi mbona ni wanafiki tu, wapo ccm kwa maslahi yao, isingeuwa hivyo wote wangekuwa upinzani kama alivyofanya mbunge mtarajiwa wa segerea
 
Kambi ya wale wanaojiita wapambanaji dhidi ya ufisadi ndani ya chama tawala cha CCM imepata pigo kubwa kufuatia matokeo ya uchaguzi wa ubunge jimbo la Arumeru mashariki na chaguzi za udiwani katika kata 8 tofauti. Kambi hiyo ilitoa wafuasi wake watatu kushiriki katika kampeni za chaguzi hizo mbalimbali. Samuel Sitta ambaye ndio kiongozi wa kambi hiyo alipiga kambi jijini Mwanza na kuongoza kampeni katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya Kirumba na kushindwa kuwashawishi vilivyo wakazi wa Kirumba ambao walimchagua mgombea wa CHADEMA kuwa diwani wao. Naye Anne Kilango alipiga kambi huko kiwila kuongoza kampeni za uchaguzi mdogo katika kata ya Kiwira lakini naye aliangukia pua kwani mwisho wa siku mgombea wa CHADEMA aliibuka mshindi dhidi ya mgombea wa CCM. Kama hiyo haitoshi, Christopher Ole Sendeka alikuwa mmoja wa wana ccm walioshiriki kikamilifu katika kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru Mashariki lakini pia ushawishi wake na ule wa makada wengine wa ccm haukutosha kubadili mawazo ya wananchi wa Arumeru ambo bila ajizi wamemchagua Joshua Nassari wa CHADEMA kuwa mbunge wao. Matokeo hayo kwa ujumla ni pigo kubwa kwa kambi ya Samuel Sitta ambayo wakati Fulani ilionekana kuaminiwa na wananchi hasa wakati huu ambapo Samuel Sitta ameshaeleza nia yake ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Sasa wananchi wameonesha kwamba hawana imani hata na wana CCM wanaojipambanua kama wapinga ufisadi. Sasa nani aaminiwe katika CCM????!!!!!!!


Mbona Lowasa naye alikuja ARUMERU, yeye ni wa kundi gani? Hakuna cha kambi hapa. CCM nzima ndiyo imeshindwa na CHADEMA. Kwa kifupi game ilikuwa kati ya CCM na CHADEMA. Hii ya kuangalia ni wachezaji gani walicheza game ni fikra finyu za kutafuta sababu za kushindwa. ARUMERU viongozi kibao wa CCM walikuja pale, lakini wananchi hakuangalia sura ya mtu bali chama. Lowasa, Nape, Mkapa, na wengine wote walikuja ARUMERU.
 
utawaamini kwa lipi hakuna hata mmoja ndani ya ccm unaeweza kumuamini wenyewe tu hawaaminiani........ kila baya ni lao,,,,sumu ufisadi ujambazi wizi uchawi uwongo uliopindukia unafiki we angalia tu hili la umeme wala ukiulizwa darasani kama ni mtihani huwezi kuwa na jibu sahihi

Tumefanya makosa makubwa sana kuwaamini hawa ccm kuongoza nchi kwani maamuzi yetu nisawa na kumuamini JANGILI AKULINDIE WANYAMA KWENYE HIFADHI na ndio maana wanatuliza!!
 
E.L bado ana nguvu na anakubalika kwa wananchi, Atakumbukwa kwa mengi kuumwa kwake kumechangia kushindwa. Pengo lake linaonekana. Mzee wa vitendo hakika ndo karata ya mwisho 2015. Wanasiasa watendaji kama huyu mzee namfananisha na Rais Kagame.Maneno mengi co kipaumbele cha kizazi hiki. Action speeks louder than words. Lwaigwanani for presidency 2015

Sasa baada ya kushindwa ndio mnakubali kuwa ni mgonjwa sio? Yeye mwenyewe alisema yuko fit kwa mapambano lakini kumbe sio, round ya kwanza tu ametolewa knockout!!Uchaguzi ndani ya chama ndio unaanza sijui kama atakuwa na nguvu za kupanga safu yake toka kwenye mashina.
 
Natoa onyo kwa vijana wenzangu ccm, hawa wazee chama hakina faida kwao kama sisi, tusipende kutumika na hawa wazee wanaotambua maslai ya vijana pindi wanapotaka kujinufaisha kupitia vijana,tuwe macho sana na mawakala wao ambao wameukabidhi umoja wa vijana kwa mfuko wa fisadi mkubwa chini ya fisadi mtoto. Tunajua kuwa mkakati wao wa ikulu ndio unao sumbua chama chetu hivi sasa. Wako tayari chama kife ili tukose wote. Kwa kifupi fisadi hapendwi na watu bali zinapendwa pesa zake na huo mtandao wake wa kumpeleka ikulu.
 
Natoa onyo kwa vijana wenzangu ccm, hawa wazee chama hakina faida kwao kama sisi, tusipende kutumika na hawa wazee wanaotambua maslai ya vijana pindi wanapotaka kujinufaisha kupitia vijana,tuwe macho sana na mawakala wao ambao wameukabidhi umoja wa vijana kwa mfuko wa fisadi mkubwa chini ya fisadi mtoto. Tunajua kuwa mkakati wao wa ikulu ndio unao sumbua chama chetu hivi sasa. Wako tayari chama kife ili tukose wote. Kwa kifupi fisadi hapendwi na watu bali zinapendwa pesa zake na huo mtandao wake wa kumpeleka ikulu.
 
Arumeru huwazi mlaumu Lowassa sana..kwani kama ni kampeni yeye amefanya siku mbili tu za mwisho.....Sasa hapo panahitajika kufanya utafiti wa kisomi ...kuwa aliyepunguza kura za ccm ni kina Mwigulu ,Wassira ,maji marefu..[mnampeleka mganga kwenye watu wenye imani kali ya dini ya kikristo]..SENDEKA na wengine ambao walifanya mikutano wiki tatu au ni huyu aliyefanya mikutano miwili ya mwisho........
Hapo napata mashaka kama Lowassa alienda kupunguza kura au at least alienda kupunguza gap...pengine asingeenda kabisa ....tofauti ingekuwa kura 10,000 ..na pengine mngempa angalau wiki ya kampeni mngeshinda kwa kura chache.....kumbukeni SENDEKA ,NAPE,na mwigulu walimzuia Kabisa Lowassa kufanya kampeni ...lakini angalau siku mbili alivyofanya kampeni alileta kauhai fulan
SABABU nyingine ni kuwa katika chadema tangu mwanzo ilionekana Mpiga debe waliyekuwa wakimuogopa kuliko wote ni Lowassa....tatizo ni kuwa ccm walikuwa wanapingana sana kumtumia.............kwa mantiki hiyo sishawishiki kabisa kuwa lawama hizi zinatakiwa kwenda kwa yeyote zaidi ya mwenyekiti wa kampeni na timu yake...

Mkuu unajitahidi sana kumtetea Eddo! Ila ninavyojua mm Kampeni si lazima upande jukwaani! Lowassa alifanya zote zote! Wote walichangia kukatiliwa na wananchi! Kwa matusi yao na matendo yao!
 
Chui ni chui tu, hata kama atasema kuwa amebatizwa jina la kondoo bado asili ya uchi uko pala pale, akipata nafasi anawakula mbuzi
 
You can't be seroius right?? The issue is people are tired of CCM. They can't be fooled all the time. You can try hard to clean up EL, but the truth remains.

Well said Mkuu... Hii ni ishara tosha ya kumtaka apumzike siasa mwaka huu.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom