TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Tehe tehe tehe, AICC nayo alikuwa haijui? Ile Mvua ya Vietnam je? Huyu mmasai ni shida sana.Hata RICHMOND alikuwa haijui.
Unadhani anaweza kulijua shamba?
Mbona mnakuwa kama hamfahamu kuwa Lowassa ana shahada ya usanii kutoka UDSM.