Kama wanataka kujisafisha kwa nini waunde mtandao au wategee serikali na watu wengine ndio wafanye hivyo? Tangu lini mtu mwenye kujiweza kiakili timamu akaenda msalani na kufanya majambozi humo msalani na kuondoka bila kusafisha choo au kujisafisha yeye mwenye na kutegemea watu wengine waje wafanye kazi hiyo? kama akitegemea watu wengine wafanye hivyo atakuwa ni mvivu wa kufikikiri au amefirisika kimawazo...
Nimwambie tu yeyoye aaliye na nina ya kujisafisha ni namna mbili.
1. Aende mahakamani na kuomba judicial review ya yale yote yaliyofanywa na bunge... kama bunge litaonekana kwamba utafiti wake uliuwa na walakini, basi uamuzi utakuwa wake wa muuomba hiyo Judicial review... anaweza kufungua kesi nyingine ya madai dhidi ya bunge au serikali kwa niaba ya bunge apewe fidia... huki ni kujisafisha number 1.#
2. Aitishe mkutano wa waandishi wa habari , alete au atoe vielelezo vyote (Counter- evidence) ambazo ni haziwezi kupingika kama zikisimama zenyewe... nina maana kwamba ushahidi atakao utoa uyajibu maswali yote yaliyotolewa na kamati ya mwakyembe...
Ushahidi huu uwe ni proof beyond resonable doubt na sio on balance of probabilities maana yalisemwa juu ya mafisadi ni mengi sana...
Nimwambie tu yeyoye aaliye na nina ya kujisafisha ni namna mbili.
1. Aende mahakamani na kuomba judicial review ya yale yote yaliyofanywa na bunge... kama bunge litaonekana kwamba utafiti wake uliuwa na walakini, basi uamuzi utakuwa wake wa muuomba hiyo Judicial review... anaweza kufungua kesi nyingine ya madai dhidi ya bunge au serikali kwa niaba ya bunge apewe fidia... huki ni kujisafisha number 1.#
2. Aitishe mkutano wa waandishi wa habari , alete au atoe vielelezo vyote (Counter- evidence) ambazo ni haziwezi kupingika kama zikisimama zenyewe... nina maana kwamba ushahidi atakao utoa uyajibu maswali yote yaliyotolewa na kamati ya mwakyembe...
Ushahidi huu uwe ni proof beyond resonable doubt na sio on balance of probabilities maana yalisemwa juu ya mafisadi ni mengi sana...