Once mapacha watatu wakiguswa, moto utawaka sana na ninaamini kwamba hawataangamia wenyewe...wako wakubwa in the background ndio maana inakuwa shida kuwashambulia mara moja...kimya chote hicho kinaonyesha kuwa ccm inahaha wafanye nini maana once hao watatu wakiguswa kisheria sidhani kama safari hii EL atamkingia rafiki yake....you can sacrifice to a certain level but not to the level of dying on the cross alone....wacha tuone ngoma ya ccm inavyochezwa..Dr Slaa na uongozi wa CDM endeleeni na kazi njema na sisi tuko nyuma yenu kuwa every possible support