Lowassa, Rostam na Chenge waja na Operesheni okoa “mapacha watatu”

Once mapacha watatu wakiguswa, moto utawaka sana na ninaamini kwamba hawataangamia wenyewe...wako wakubwa in the background ndio maana inakuwa shida kuwashambulia mara moja...kimya chote hicho kinaonyesha kuwa ccm inahaha wafanye nini maana once hao watatu wakiguswa kisheria sidhani kama safari hii EL atamkingia rafiki yake....you can sacrifice to a certain level but not to the level of dying on the cross alone....wacha tuone ngoma ya ccm inavyochezwa..Dr Slaa na uongozi wa CDM endeleeni na kazi njema na sisi tuko nyuma yenu kuwa every possible support
 
MBINU ZA KIKWETE DHIDI YA WATANZANIA HIVI SASA KATIKA KULE CCM KUJIGAWA KATIKA MAKUNDI MAWILI YA CCM-MALAIKA NA CCM-SHETANI NI MBINU YA KIZAMANI SANA ILIOSHINDWA KUZAA MATUNDA KATIKA VITA VIKUU VYA PILI VYA DUNIA

Fareed, hebu jitulize kwanza. Miongoni mwao watu makini na wewe umo hapa JF.

Iweje unashindwa kuling'amua ngonjera ya CCM kuamua kuonyesha mchezo wa kuigiza inayotumia hivi sasa na Chama Cha Magamba?? CCM-Ufisadi ni kile kile Jana, Leo na Milele.

Misingi wa mchezo mzima hapa ni kule CCM dhaifu kutafuta kukishinda CHADEMA yenye nguvu ya mnyama simbs katika mchakato wa kutafuta mabadiliko ya kweli hivyo Kikwete kujitafutia tena li-mbinu la 'KUUNGA MKONO HOJA MBALI MBALI ZA CHADEMA KWA MATUMAINI YA KUYAFANYA YASHINDWE NA KUYATUMIA KWA MPANGO WA KAJARIBU KUKIBOMOA' ambayo hivi sasa inafanyiwa majaribio na Kikwete kwa kukigawa CCM katika vipande viwili vya CCM-Malaika (Kikwete, Nape, January Makamba et al) na CCM-Mashetani (Rostam Aziz, Chenge, Malecela, Edward Lowassa). Ukweli wa mambo ni kwamba mbali na hii sinema nzuri sana kutazama, makundi yote mawili bado sana tu ni kitu kimoja anyway!!!

Hakika wengi wataingia mbugani sana tu kutokana na maigizo haya ila tu ni kwamba sikutegemea kwa hata mtu kama wewe Fareed kuingizwa porini kiurahisi kiasi hicho. Lakini bahati nzuri sana ni kwamba CDM wanajua hadi hatua za mwisho mwisho wa huu mkanda unavyopangwa kwisha lakini ndio hivyo 'Nguvu ya Umma' tunawasubiri na mbinu hatari zaidi njia panda tukamalize kabisa mchezo huu.
 
MBINU ZA KIKWETE DHIDI YA WATANZANIA HIVI SASA KATIKA KULE CCM KUJIGAWA KATIKA MAKUNDI MAWILI YA CCM-MALAIKA NA CCM-SHETANI NI MBINU YA KIZAMANI SANA ILIOSHINDWA KUZAA MATUNDA KATIKA VITA VIKUU VYA PILI VYA DUNIA

Fareed, hebu jitulize kwanza. Miongoni mwao watu makini na wewe umo hapa JF.

Iweje unashindwa kuling'amua ngonjera ya CCM kuamua kuonyesha mchezo wa kuigiza inayotumia hivi sasa na Chama Cha Magamba?? CCM-Ufisadi ni kile kile Jana, Leo na Milele.

Misingi wa mchezo mzima hapa ni kule CCM dhaifu kutafuta kukishinda CHADEMA yenye nguvu ya mnyama simbs katika mchakato wa kutafuta mabadiliko ya kweli hivyo Kikwete kujitafutia tena li-mbinu la 'KUUNGA MKONO HOJA MBALI MBALI ZA CHADEMA KWA MATUMAINI YA KUYAFANYA YASHINDWE NA KUYATUMIA KWA MPANGO WA KAJARIBU KUKIBOMOA' ambayo hivi sasa inafanyiwa majaribio na Kikwete kwa kukigawa CCM katika vipande viwili vya CCM-Malaika (Kikwete, Nape, January Makamba et al) na CCM-Mashetani (Rostam Aziz, Chenge, Malecela, Edward Lowassa). Ukweli wa mambo ni kwamba mbali na hii sinema nzuri sana kutazama, makundi yote mawili bado sana tu ni kitu kimoja anyway!!!

Hakika wengi wataingia mbugani sana tu kutokana na maigizo haya ila tu ni kwamba sikutegemea kwa hata mtu kama wewe Fareed kuingizwa porini kiurahisi kiasi hicho. Lakini bahati nzuri sana ni kwamba CDM wanajua hadi hatua za mwisho mwisho wa huu mkanda unavyopangwa kwisha lakini ndio hivyo 'Nguvu ya Umma' tunawasubiri na mbinu hatari zaidi njia panda tukamalize kabisa mchezo huu.

CHADEMA ni chama ambacho Watanzania wengi tulio huru, wenye akili timamu na kuweza kung'amua mambo tunakipenda, tunakiamini na tunakihitaji. CHADEMA kinasema daima kuwa uzalendo na maslahi ya taifa kwanza.

Sote tunajua kuwa Lowassa, Rostam na Chenge ni kundi kubwa la mafisadi hatari hapa Tanzania (part of the axis of evil along with Yusuf Manji na wengine). Jitihada zozote za kupambana na kundi hili ni jambo la maslahi ya taifa. CHADEMA kuja na List of Shame mpya kwa wakati huu ni kudhoofisha vita dhidi ya maadui hawa wa taifa.

CHADEMA wajipime na watumie busara katika siku hizo 90 ambazo mafisadi wamepewa waondoke CCM. Wawaache CCM wamalizane wao wenyewe. Baada ya Rostam, Lowassa na Chenge kutimuliwa kwenye CCM sasa CHADEMA waje na LIST OF SHAME mpya na wamtaje Kikwete na wengineo. Sote tutaunga mkono jambo hilo, siyo sasa wanaelekea kuwapa nguvu kina Rostam wasifukuzwe CCM kwa kutaja mafisadi wapya.

Lazima kuwa na strategy kwenye vita hii ngumu dhidi ya mafisadi na kuweka uzalendo na national interests above party politics na mengineyo yote. Rostam, Lowassa na Chenge wameisababishia Tanzania matatizo makubwa ya kiuchumi kutokana na ufisadi wao. Huu ni muda wa kuwamaliza!

CHADEMA rudini kwenye ajenda yenu ya Katiba Mpya, Dowans, kuongezeka kwa umasikini na maisha kuzidi kuwa magumu. Subirini baada ya kina Lowassa, Rostam na Chenge kufukuzwa kwenye CCM ndiyo mje na LIST OF SHAME mpya ya kina Kikwete na wananchi tutawaunga mkono.
 
Mwandishi wa Hadithi hii ya kusisimua ni yule swahiba wa JK mwenye mwili mdogo mdogo, nywele za kuteleza kama za Msomali vile. Yuko pale 'This Day' kama mhariri mojawapo.

Hakika tuzo la Jhazi tukamhifadhia kwa huu mtaji wa simulizi zuri sana ila Nguvu ya Umma bado tumebana tu pembeni na silaha ya maangamizi ya kila fisadi wote waliojipanga kwa upande wa kikundi cha hivi sasa cha CCM-Malaika na CCM-'Mashetani' ambao wooote ni gamba lile lile.

hii adithi imetungwa kwa umahiri mkubwa. Ni punguani pekee anayeweza kusadiki maneno malaini yenye hamu ya kujaza page. Unajua kuna vitu vinaitwa"divide and rule" ideology. Hapa huwezi kuwatangaza watu wote kuwa ni maadui wa ccm.

Ivi hata hatuelewi maana ya "what goes around comes around?" kwa kujizunguka kwa mwandishi wa "ujinga/upuuzi" huu ameshaonesha hofu yake iko wapi na anatabiri yanayopaswa kutokea hata kama upinzani usingehusishwa! Ivi ile list of shame ya kwanza haijamtaja kikwete?

Au mwandishi wa upuuzi huu katoroka mirembe? Nlianza kuamini stori lakini nlivozidi kuisoma nkakuta inamhusisha kila mtu anayeamini kuwa nchi ina majangili wengi,mwisho wa siku ikaishia kumtetea mmoja! Woote waliotangazwa mwembe yanga na wakashindwa kukemea wala kwenda mahakamani ni "majangili na hamna wa kumnyoshea mwenzie kidole".

Kama ccm inataka wananchi tuamini,itimue walau "first11"-list of shame. Lakini kuzidi kubaguana hakukubaliki. Cha ajabu serikali inayoongozwa na sheria,badala ya kuwafikisha mahakamani na hatimaye jela,inawaomba eti waondoke ndani ya siku 90. Huo ni utoto na upumbavu.

Amiri jeshi mkuu anapaswa kuwa ametoa hati ya kukamatwa kwa majangili si kuwapigia magoti majangili waamue wenyewe! Itakuwa kama alivofanya kwa wale wa EPA. Kweli Tanzania ni nchi ya kusadikika!
 
Hii thread imelenga katika kupotosha mambo; kwanza inataka kujenga hoja potovu kwamba ufisadi ndani ya CCM unahusu hao mapacha matatu tu, na hivyo wakiondolewa NEC, na wala siyo kwenye ngazi nyingine za uongazi kama ubunge, CCM itakuwa safi. Hoja hii peke yake inaonyesha upuuzi wa zoezi zima. Kwanza siyo kweli kwamba hawa ndiyo mafisadi pekee katika viongozi wakuu wa CCM, lakini hata kama wangelikuwa ni wao pekee, kwanini wachukuliwe hatua nusu nusu kama kweli kuna thamira dhabiti ya kupambana na ufisadi; kulingana na katiba ya chama hicho mtu akishapoteza sifa za uongozi anapashwa aachie nyadhifa zote alizonazo, mbona hawasemi chochote juu ya watuhumiwa hao kuachia ubunge?
 
CHADEMA ni chama ambacho Watanzania wengi tulio huru, wenye akili timamu na kuweza kung'amua mambo tunakipenda, tunakiamini na tunakihitaji. CHADEMA kinasema daima kuwa uzalendo na
maslahi ya ta
ifa kwanza.&lt;br /&gt;<br />
<br />
&lt;br /&gt;<br />
Sote tunajua kuwa Lowassa, Rostam na Chenge ni kundi kubwa la mafisadi hatari hapa Tanzania (part of the axis of evil along with Yusuf Manji na wengine). Jitihada zozote za kupambana na kundi hili ni jambo la maslahi ya taifa. CHADEMA kuja na List of Shame mpya kwa wakati huu ni kudhoofisha vita dhidi ya maadui hawa wa taifa.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
CHADEMA wajipime na watumie busara katika siku hizo 90 ambazo mafisadi wamepewa waondoke CCM. Wawaache CCM wamalizane wao wenyewe. Baada ya Rostam, Lowassa na Chenge kutimuliwa kwenye CCM sasa CHADEMA waje na LIST OF SHAME mpya na wamtaje Kikwete na wengineo. Sote tutaunga mkono jambo hilo, siyo sasa wanaelekea kuwapa nguvu kina Rostam wasifukuzwe CCM kwa kutaja mafisadi wapya.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Lazima kuwa na strategy kwenye vita hii ngumu dhidi ya mafisadi na kuweka uzalendo na national interests above party politics na mengineyo yote. Rostam, Lowassa na Chenge wameisababishia Tanzania matatizo makubwa ya kiuchumi kutokana na ufisadi wao. Huu ni muda wa kuwamaliza!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
CHADEMA rudini kwenye ajenda yenu ya Katiba Mpya, Dowans, kuongezeka kwa umasikini na maisha kuzidi kuwa magumu. Subirini baada ya kina Lowassa, Rostam na Chenge kufukuzwa kwenye CCM ndiyo mje na LIST OF SHAME mpya ya kina Kikwete na wananchi tutawaunga mkono.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Umejitahidi kubembeleza juu ya CDM kuacha akina RACHEL washughulikiwe lakini umeelekea wrong way ya kuonyesha kama CDM ndiyo inaongoza nchi hii.Tutajie ufisadi wa kikwete ni upi?ebu tutofautishe hilo group la mapacha watatu na Mh. Rais,hakuwalea yeye hili lote ni zao la Mkapa.<br />
<br />
Lowasa kama ni ufisadi,alianza toka kipindi Mwl akiwa hai na inakumbukwa aliwahi kuelezea juu ya utajiri wa kutisha wa huyu El.Acha CCM ijivue gamba na kama kuna watu wanawatetea hawa basi nao watakuwa na kasoro.<br />
<br />
Wakileta shida hawa mapacha watatu ndio kwanza watakuwa wamejichimbia shimo kwani vita itabidi igeuke upande wa pili mahakamani na hapa Waliokuwa wakitoa list of shame watahitajika kama mashahidi upande wa Serikal yaani Slaa etal.
 
wajinga ndo tuliwao, inawezekanaje leo hii tumtenge JK kutoka kwa maswahiba wake EL na RA? Kweli sisi ni wadanganyika! kweli leo tumesahau JK alipokuwa anawanyanyua mikono hawa RACHEL wakati wa kampeni akidai ni wasafi? Mimi sioni cha maana kwa hawa jamaa kutoka tu ndani ya ccm ndo basi tumekuwa tumpambana na ufisadi huu ni upuuzi mtupu? What is ccm to us? We need these people to be prosecuted by the government and not ccm and all who are in government like JK to step down!
Jamani vita hii ilianzishwa na Chadema tuwaachie chadema wapambane mpka kieleweke. Hatuwezi kuwa wajinga wa kukubali tu eti RACHEL wakitoka ccm, basi ndowatanzania tumemaliza tatizo hili. Ccm ni wajinga kama mtakubali kuwa hiki ndicho kitakachoiokoa ccm basi wataishia japo hapo. Hakuna atakayeshitakiwa wala nini. Wataenda chemba wataendelea kula kuku na akina RACHEL hawa ni CCM ni mamafia dawa yao wanayo Chadema na siyo kila mtz anajua kinachoendelea na hata ujanja wa ccm hakuna aujuaye. Tuwaachieni CDM watanajua strategy zote za hawa mamafia.
 
Kaka. Siasa ni fitina. Sina hakika kama CDM wanatumiwa na mafisadi. Nadhani, wanachofanya, ni kutumia hali ya sasa ndani ya CCM kuharakisha kuanguka kwake. Ufalme ukipingana, hauwezi kusimama. Nafikiri, kinachofanyika lengo, lake sio kutetea mafisadi bali ni kuona CCM haitulii.
Wana CCM wanaojua hilo wanafanya kila njia nao ili CDM waache kuwagombanisha wanaCCM wenyewe kwa wenyewe.
 
Yaani kama Kuna Mtu aliostahili Kufukuzwa Nchini ni ROSTAM AZIZ Ameivuruga sana Nchi...Hawa wengine wangepewa hata Kifungo cha Nyumbani
 
Nasikitika kila kukicha Tanzanians keep falling victims of propaganda.

Very few bother to investigate issues.

Take a note the Dodoma saga and every thing unfolding out of that gathering is a well laid out plan to counter the opposition

and ellude the population.

There is so much propaganda goin on everywhere in the media and even in this forum.

it is a calculated move and few can figure out that this is actually an orchestra well composed and rehearsed. Only time will

tell and again the population will have been fooled and taken for a ride by our rulers.
 
Tanzanians wake up!!!

There is a famous saying that goes like, "Never wipe the hand that feeds you".

The rulling party is financed by the fraternity of FISADIz, getting rid of them is an impossible job.

When you have got a brain tumor what do you do???

Are you gonna remove your brain??? would that rid you off the illness???

Can you survive without a brain???
 
My fellow Tanzanians dont waste you time discussing what the rulling party is saying or promising

There have been numerous promises and meetings that have failed to materialise or yield

results that translate into economic growth.

Lets not talk about people, lets focus our time and energy debating our position in the EAC.

Are we gonna be by-standers or are we gonna take the driving seat??

Our colleagues in Uganda, Kenya,Rwanda are busy adding momentum into their already flying economies.

The longer we take debating and dwelling in propaganda the less the chance to catch up with the

rest of EA.
 
CHADEMA ni chama ambacho Watanzania wengi tulio huru, wenye akili timamu na kuweza kung'amua mambo tunakipenda, tunakiamini na tunakihitaji. CHADEMA kinasema daima kuwa uzalendo na maslahi ya taifa kwanza.

Sote tunajua kuwa Lowassa, Rostam na Chenge ni kundi kubwa la mafisadi hatari hapa Tanzania (part of the axis of evil along with Yusuf Manji na wengine). Jitihada zozote za kupambana na kundi hili ni jambo la maslahi ya taifa. CHADEMA kuja na List of Shame mpya kwa wakati huu ni kudhoofisha vita dhidi ya maadui hawa wa taifa.

CHADEMA wajipime na watumie busara katika siku hizo 90 ambazo mafisadi wamepewa waondoke CCM. Wawaache CCM wamalizane wao wenyewe. Baada ya Rostam, Lowassa na Chenge kutimuliwa kwenye CCM sasa CHADEMA waje na LIST OF SHAME mpya na wamtaje Kikwete na wengineo. Sote tutaunga mkono jambo hilo, siyo sasa wanaelekea kuwapa nguvu kina Rostam wasifukuzwe CCM kwa kutaja mafisadi wapya.

Lazima kuwa na strategy kwenye vita hii ngumu dhidi ya mafisadi na kuweka uzalendo na national interests above party politics na mengineyo yote. Rostam, Lowassa na Chenge wameisababishia Tanzania matatizo makubwa ya kiuchumi kutokana na ufisadi wao. Huu ni muda wa kuwamaliza!

CHADEMA rudini kwenye ajenda yenu ya Katiba Mpya, Dowans, kuongezeka kwa umasikini na maisha kuzidi kuwa magumu. Subirini baada ya kina Lowassa, Rostam na Chenge kufukuzwa kwenye CCM ndiyo mje na LIST OF SHAME mpya ya kina Kikwete na wananchi tutawaunga mkono.
Imenigharimu sana kufikiria kama kweli mtu makini na ninae amini anajua siasa za tz hasa wakati huu ungeingia kwenye mtego mdogo hivi! Kama hata ww mkuu umeweza kufikiri kwenye angle hii hao wananchi wa Kantalamba itakuwaje? Kwanini umeamini haraka bila kufikiri pengine ni mpango wa cdm kuzidi kuivuruga ccm? Unafikiri hao mapacha ndio kiini cha utawala mbovu? ccm hawawezi kutupeleka mbele we just need changes no matter what! Mbinu yoyote ya kuwaporomosha haraka ni neema kwetu.Fareed nakuheshimu sana leo umenistua!
 
Mimi nataka kuona mwisho wake maana hawa jamaa wanajua sana kudandia hoja za cdma kuhusu ufisadi. Hongera dr kwa kuwaamsha maana bila kuwataja pale mwembechai wasinge amka hawa. Da. Wametutafuna vya kutosha sasa wa Tanzania tunasema basi
 
Operesheni zozote zile katika kusaidia Mafisadi woote na chama chao cha CCM ni kupoteza tu muda wao wenyewe huko.
 
CDM hatuchezi ngoma ya ama JK ama ya mapacha3,CDM inacheza ngoma ya UMMA na inaifanya kazi ya UMMA,kwa maana hyo sie kazi ni moja ni kuendelea kuwananga mafisadi wote waliotufikisha hapa watanzania,wote kwa pamoja wale wa mwembe yanga na tabora wote hawa ni mafisadi na dunia iwajue hvyo,unadhani ktatokea kama baadae mafisadi wakielewana,si wataungana alafu waanze kuisulubu CDM?ili kuondoa hili dawa ni kuwabana mafisadi,wote waikimbie nchi ili wakafie mbele watuachie nchi yetu na CDM ituongoze
 
CDM haiendeshi shughuli zake kwa kukurupuka eti ishindwe kutaja mafisadi kisa wana magamba watatuhusisha na kujiokoa kwa mapacha hakuna tofauti kati ya mapacha na magamba yote sawa huyo jk wanaedai anachafuliwa ili kuokoa mapacha alitajwa mwaka 2007 hivyo hakuna jipya list mpya imetoka na kama imewaokoa mapacha basi magamba pia yamerudi katika hali yake ya awali kwanza najishangaa kuchangia hadith za kutunga ili kuuza gazeti ngoja nifanye yaliyo muhimu

Wapuuzi sana hawa wanaleta hadithi za uongo ili CDM ionekane inatumika na wao,pumbavu kabisa waseme watakavyo lakini mwendo ni ule ule,kuchukua nchi.
 
hii adithi imetungwa kwa umahiri mkubwa. Ni punguani pekee anayeweza kusadiki maneno malaini yenye hamu ya kujaza page. Unajua kuna vitu vinaitwa"divide and rule" ideology. Hapa huwezi kuwatangaza watu wote kuwa ni maadui wa ccm.

Ivi hata hatuelewi maana ya "what goes around comes around?" kwa kujizunguka kwa mwandishi wa "ujinga/upuuzi" huu ameshaonesha hofu yake iko wapi na anatabiri yanayopaswa kutokea hata kama upinzani usingehusishwa! Ivi ile list of shame ya kwanza haijamtaja kikwete?

Au mwandishi wa upuuzi huu katoroka mirembe? Nlianza kuamini stori lakini nlivozidi kuisoma nkakuta inamhusisha kila mtu anayeamini kuwa nchi ina majangili wengi,mwisho wa siku ikaishia kumtetea mmoja! Woote waliotangazwa mwembe yanga na wakashindwa kukemea wala kwenda mahakamani ni "majangili na hamna wa kumnyoshea mwenzie kidole".

Kama ccm inataka wananchi tuamini,itimue walau "first11"-list of shame. Lakini kuzidi kubaguana hakukubaliki. Cha ajabu serikali inayoongozwa na sheria,badala ya kuwafikisha mahakamani na hatimaye jela,inawaomba eti waondoke ndani ya siku 90. Huo ni utoto na upumbavu.

Amiri jeshi mkuu anapaswa kuwa ametoa hati ya kukamatwa kwa majangili si kuwapigia magoti majangili waamue wenyewe! Itakuwa kama alivofanya kwa wale wa EPA. Kweli Tanzania ni nchi ya kusadikika!

Hawezi kutoa maamuzi wakati nae ni mmojawapo,si wanalindana hawa majangili.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom