Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Kweli kabisa, Lowassa ni tishio kubwa kwa ustawi wa taifa lenye umoja na maendeleo kwa jinsi ambavyo anavyojali zaidi nafsi yake na kugeuka kuwa shimo lenye kina kirefu kisichojaa na kinachoongozwa na tamaa zaidi.
Hakika ni kiongozi mmoja ambaye atalazimika kutumia zaidi ya 3/4 ya mali zake kujaribu kumnunua kila mtu na mwishowe kuambulia patupu!!
Wa-Tanzania kula kwa Lowassa na kura kwa CHADEMA!!!!!!!!!!
Hakika ni kiongozi mmoja ambaye atalazimika kutumia zaidi ya 3/4 ya mali zake kujaribu kumnunua kila mtu na mwishowe kuambulia patupu!!
Wa-Tanzania kula kwa Lowassa na kura kwa CHADEMA!!!!!!!!!!