stratex
Member
- Mar 4, 2011
- 12
- 4
Kuna tetesi kwamba baada ya Chama Tawala kuona RA anatafuna kila senti ya serikali na wananchi wake kwa manufaa yake binafsi bila kugawana "kikamilifu" na wenzake, huku Chama kikichukua LAWAMA zote na yeye akiendelea kudunda bila wasiwasi, chuki na wivu dhidi yake imefanya chama kifanye maamuzi magumu ya kumtoa kafara kukinusuru chama.
Imedhiirika pia katika ufisadi wake, RA alitumia busara kuhusisha viongozi wa ngazi za juu kwenye ufisadi alioufanya (EPA, Richmond, TICTS,Dowans etc ) ili kuhakikisha hakuna mwenye nguvu ndani ya nchi hii anabaki msafi kuzuia kuchukuliwa hatua za kisheria peke yake. RA alihakikisha kila chombo cha dola nchini kimehusika kwa kiasi cha kutosha kuhakikisha anafanikiwa kwenye mipango yake na viongozi wa vyombo hivyo wanafaidika kwa kiasi cha kutosha kuwafanya wasimguse.
Tatizo kubwa ni kwamba serikali imeshindwa kutathmini nguvu halisi alionayo RA.
Katika harakati za kumtosa RA , ilionekana vyema Chenge naye atoswe kwani hana manufaa yoyote kwa chama na amechangia kwa kiasi kikubwa kubomoa zaidi ya kujenga chama kwa kashfa na kauli zake.
Lowassa kuwekwa kwenye kundi la RA na Chenge ulikua ni mpango maalumu kuhakikisha kuna mtu wao karibu na RA (na Chenge) kujua mikakati yote RA amepanga kuhakikisha haguswi. EL atakua anakusanya data kujua watu gani ndani Usalama wa Taifa na vyombo vyengine vya dola wapo upande RA na wanatumia mbinu ganu kuhakikisha Kikwete na wenzake wanashindwa kufanikiwa.
Baada ya EL kukamilisha hiyo shuguli na kuhakikisha RA "hayupo" tena , chama kitamrudisha na kumsafisha EL kwa ajili ya kuwania urais 2015.
Imedhiirika pia katika ufisadi wake, RA alitumia busara kuhusisha viongozi wa ngazi za juu kwenye ufisadi alioufanya (EPA, Richmond, TICTS,Dowans etc ) ili kuhakikisha hakuna mwenye nguvu ndani ya nchi hii anabaki msafi kuzuia kuchukuliwa hatua za kisheria peke yake. RA alihakikisha kila chombo cha dola nchini kimehusika kwa kiasi cha kutosha kuhakikisha anafanikiwa kwenye mipango yake na viongozi wa vyombo hivyo wanafaidika kwa kiasi cha kutosha kuwafanya wasimguse.
Tatizo kubwa ni kwamba serikali imeshindwa kutathmini nguvu halisi alionayo RA.
Katika harakati za kumtosa RA , ilionekana vyema Chenge naye atoswe kwani hana manufaa yoyote kwa chama na amechangia kwa kiasi kikubwa kubomoa zaidi ya kujenga chama kwa kashfa na kauli zake.
Lowassa kuwekwa kwenye kundi la RA na Chenge ulikua ni mpango maalumu kuhakikisha kuna mtu wao karibu na RA (na Chenge) kujua mikakati yote RA amepanga kuhakikisha haguswi. EL atakua anakusanya data kujua watu gani ndani Usalama wa Taifa na vyombo vyengine vya dola wapo upande RA na wanatumia mbinu ganu kuhakikisha Kikwete na wenzake wanashindwa kufanikiwa.
Baada ya EL kukamilisha hiyo shuguli na kuhakikisha RA "hayupo" tena , chama kitamrudisha na kumsafisha EL kwa ajili ya kuwania urais 2015.