Lowassa ni pandikizo la JK kwenye list ya mafisadi

stratex

Member
Mar 4, 2011
12
4
Kuna tetesi kwamba baada ya Chama Tawala kuona RA anatafuna kila senti ya serikali na wananchi wake kwa manufaa yake binafsi bila kugawana "kikamilifu" na wenzake, huku Chama kikichukua LAWAMA zote na yeye akiendelea kudunda bila wasiwasi, chuki na wivu dhidi yake imefanya chama kifanye maamuzi magumu ya kumtoa kafara kukinusuru chama.

Imedhiirika pia katika ufisadi wake, RA alitumia busara kuhusisha viongozi wa ngazi za juu kwenye ufisadi alioufanya (EPA, Richmond, TICTS,Dowans etc ) ili kuhakikisha hakuna mwenye nguvu ndani ya nchi hii anabaki msafi kuzuia kuchukuliwa hatua za kisheria peke yake. RA alihakikisha kila chombo cha dola nchini kimehusika kwa kiasi cha kutosha kuhakikisha anafanikiwa kwenye mipango yake na viongozi wa vyombo hivyo wanafaidika kwa kiasi cha kutosha kuwafanya wasimguse.

Tatizo kubwa ni kwamba serikali imeshindwa kutathmini nguvu halisi alionayo RA.
Katika harakati za kumtosa RA , ilionekana vyema Chenge naye atoswe kwani hana manufaa yoyote kwa chama na amechangia kwa kiasi kikubwa kubomoa zaidi ya kujenga chama kwa kashfa na kauli zake.

Lowassa kuwekwa kwenye kundi la RA na Chenge ulikua ni mpango maalumu kuhakikisha kuna mtu wao karibu na RA (na Chenge) kujua mikakati yote RA amepanga kuhakikisha haguswi. EL atakua anakusanya data kujua watu gani ndani Usalama wa Taifa na vyombo vyengine vya dola wapo upande RA na wanatumia mbinu ganu kuhakikisha Kikwete na wenzake wanashindwa kufanikiwa.

Baada ya EL kukamilisha hiyo shuguli na kuhakikisha RA "hayupo" tena , chama kitamrudisha na kumsafisha EL kwa ajili ya kuwania urais 2015.
 
Kuna tetesi kwamba baada ya Chama Tawala kuona RA anatafuna kila senti ya serikali na wananchi wake kwa manufaa yake binafsi bila kugawana "kikamilifu" na wenzake, huku Chama kikichukua LAWAMA zote na yeye akiendelea kudunda bila wasiwasi, chuki na wivu dhidi yake imefanya chama kifanye maamuzi magumu ya kumtoa kafara kukinusuru chama.

Imedhiirika pia katika ufisadi wake, RA alitumia busara kuhusisha viongozi wa ngazi za juu kwenye ufisadi alioufanya (EPA, Richmond, TICTS,Dowans etc ) ili kuhakikisha hakuna mwenye nguvu ndani ya nchi hii anabaki msafi kuzuia kuchukuliwa hatua za kisheria peke yake. RA alihakikisha kila chombo cha dola nchini kimehusika kwa kiasi cha kutosha kuhakikisha anafanikiwa kwenye mipango yake na viongozi wa vyombo hivyo wanafaidika kwa kiasi cha kutosha kuwafanya wasimguse.

Tatizo kubwa ni kwamba serikali imeshindwa kutathmini nguvu halisi alionayo RA.
Katika harakati za kumtosa RA , ilionekana vyema Chenge naye atoswe kwani hana manufaa yoyote kwa chama na amechangia kwa kiasi kikubwa kubomoa zaidi ya kujenga chama kwa kashfa na kauli zake.

Lowassa kuwekwa kwenye kundi la RA na Chenge ulikua ni mpango maalumu kuhakikisha kuna mtu wao karibu na RA (na Chenge) kujua mikakati yote RA amepanga kuhakikisha haguswi. EL atakua anakusanya data kujua watu gani ndani Usalama wa Taifa na vyombo vyengine vya dola wapo upande RA na wanatumia mbinu ganu kuhakikisha Kikwete na wenzake wanashindwa kufanikiwa.

Baada ya EL kukamilisha hiyo shuguli na kuhakikisha RA "hayupo" tena , chama kitamrudisha na kumsafisha EL kwa ajili ya kuwania urais 2015.



:yield::nono::nono::nono::faint:
 
Kwa hawa jamaa, sinta shangaa kuona wanafanikisha hili :disapointed: :disapointed:
 
Kuna tetesi kwamba baada ya Chama Tawala kuona RA anatafuna kila senti ya serikali na wananchi wake kwa manufaa yake binafsi bila kugawana "kikamilifu" na wenzake, huku Chama kikichukua LAWAMA zote na yeye akiendelea kudunda bila wasiwasi, chuki na wivu dhidi yake imefanya chama kifanye maamuzi magumu ya kumtoa kafara kukinusuru chama.

Imedhiirika pia katika ufisadi wake, RA alitumia busara kuhusisha viongozi wa ngazi za juu kwenye ufisadi alioufanya (EPA, Richmond, TICTS,Dowans etc ) ili kuhakikisha hakuna mwenye nguvu ndani ya nchi hii anabaki msafi kuzuia kuchukuliwa hatua za kisheria peke yake. RA alihakikisha kila chombo cha dola nchini kimehusika kwa kiasi cha kutosha kuhakikisha anafanikiwa kwenye mipango yake na viongozi wa vyombo hivyo wanafaidika kwa kiasi cha kutosha kuwafanya wasimguse.

Tatizo kubwa ni kwamba serikali imeshindwa kutathmini nguvu halisi alionayo RA.
Katika harakati za kumtosa RA , ilionekana vyema Chenge naye atoswe kwani hana manufaa yoyote kwa chama na amechangia kwa kiasi kikubwa kubomoa zaidi ya kujenga chama kwa kashfa na kauli zake.

Lowassa kuwekwa kwenye kundi la RA na Chenge ulikua ni mpango maalumu kuhakikisha kuna mtu wao karibu na RA (na Chenge) kujua mikakati yote RA amepanga kuhakikisha haguswi. EL atakua anakusanya data kujua watu gani ndani Usalama wa Taifa na vyombo vyengine vya dola wapo upande RA na wanatumia mbinu ganu kuhakikisha Kikwete na wenzake wanashindwa kufanikiwa.

Baada ya EL kukamilisha hiyo shuguli na kuhakikisha RA "hayupo" tena , chama kitamrudisha na kumsafisha EL kwa ajili ya kuwania urais 2015.
too much drama, speculations na majungu hadi inaboa sasa!!!
 
EL hana nafas,i sababu urafkii wao sasa ni wa mashaka! yaani rafiki mkia wa fisi unaofilisi! remember Bob Astles rafiki wa Idd Amin walivyoshauriana kuvamia Tz nn kilitokea???? kipigo na kusambaratika!! Kwa mantiki ya kawaida JK ameelewa hilo mapema kwamba RA ni BobAstles wa EL ndio maana wamevuliwa gamba????

THE FALCON CANNOT HEAR THE FALCONER!!!!
 
kwakweli kazi tunayo kama ni kweli JK tumwonee huruma jamani, Mgamba haya mazito, yana ukurutu ukivua vibaya yanakuchoma unabaki na vidonda
 
Wakati mwingine speculation kama hizi huwa na ukweli wake wenye kutia mashaka
 
Stori hii ilivyokaa inaonekana dhahiri yakuwa imejikita zaidi katika zoezi la kupima mambo (academic exercise) kuliko ushahidi halisi. Mbali na hayo uchambuzi uliofanyika umeshindwa kuweka maanani kwamba E.L anao maadui wa kweli ndani ya uongozi wa juu wa CCM. hali hiyo itasababisha kusiwepo uwezekano wowote wa kumteua kupeperusha bendera ya chama hicho, baada ya kutolewa nje kwa tuhuma za kukidhohofisha.
 
HIvi hiki chama kimekosa watu wa safi wa kuiongoza hii nchi mpaka awe EL......Mbona Sitta msafi tu kwanini wasimsimamishe yeye...
 
HIvi hiki chama kimekosa watu wa safi wa kuiongoza hii nchi mpaka awe EL......Mbona Sitta msafi tu kwanini wasimsimamishe yeye...

tatizo uswahiba unawasumbua....mimi hata sikuona haja ya chama kumuweka JK kama mgombea 2005, sioni sababu ya Makamba kuwa katibu Mkuu, wote hawa uwezo wao kwenye hizo nyadhifa ni mdogo sana! kuna "machine" nyingi tu ndani ya chama ambazo wangeziweka na zikafanya kazi nzuri tu. Tatizo fedha ilitumika sana bila kudhibitiwa katika kampeni za ndani ya chama, matokeo yake ndio ufisadi uliopita kiasi , na matunda yake ndio haya sasa! Na hii michezo ukishaanza ni vigumu sana kuacha!
 
Kuna tetesi kwamba baada ya Chama Tawala kuona RA anatafuna kila senti ya serikali na wananchi wake kwa manufaa yake binafsi bila kugawana "kikamilifu" na wenzake, huku Chama kikichukua LAWAMA zote na yeye akiendelea kudunda bila wasiwasi, chuki na wivu dhidi yake imefanya chama kifanye maamuzi magumu ya kumtoa kafara kukinusuru chama.

Imedhiirika pia katika ufisadi wake, RA alitumia busara kuhusisha viongozi wa ngazi za juu kwenye ufisadi alioufanya (EPA, Richmond, TICTS,Dowans etc ) ili kuhakikisha hakuna mwenye nguvu ndani ya nchi hii anabaki msafi kuzuia kuchukuliwa hatua za kisheria peke yake. RA alihakikisha kila chombo cha dola nchini kimehusika kwa kiasi cha kutosha kuhakikisha anafanikiwa kwenye mipango yake na viongozi wa vyombo hivyo wanafaidika kwa kiasi cha kutosha kuwafanya wasimguse.

Tatizo kubwa ni kwamba serikali imeshindwa kutathmini nguvu halisi alionayo RA.
Katika harakati za kumtosa RA , ilionekana vyema Chenge naye atoswe kwani hana manufaa yoyote kwa chama na amechangia kwa kiasi kikubwa kubomoa zaidi ya kujenga chama kwa kashfa na kauli zake.

Lowassa kuwekwa kwenye kundi la RA na Chenge ulikua ni mpango maalumu kuhakikisha kuna mtu wao karibu na RA (na Chenge) kujua mikakati yote RA amepanga kuhakikisha haguswi. EL atakua anakusanya data kujua watu gani ndani Usalama wa Taifa na vyombo vyengine vya dola wapo upande RA na wanatumia mbinu ganu kuhakikisha Kikwete na wenzake wanashindwa kufanikiwa.

Baada ya EL kukamilisha hiyo shuguli na kuhakikisha RA "hayupo" tena , chama kitamrudisha na kumsafisha EL kwa ajili ya kuwania urais 2015.

Wamsafishe mara ngapi? hawa jamaa wanajuana na kinachoendelea sasa hivi ni kuchanganikiwa baada ya kushindwa vibaya kwenye uchaguzi, CCM hawataki kukiri kosa walilolifanya wakati wa kura za maoni kwa kufanya roho mbaya na kuweka watu wanaowataka ndiyo maana sasa hivi Nape wanamuona ana maana wakati wa kura za maoni walimpotezea kiti kikaenda kiulaini na Mnyika
 
lowasa ni mwizi tu labda kinachomuuzi ni JK kumtosa na kumharibia sifa milele hasafishiki hata kwa dodoki la chuma
 
Back
Top Bottom