sensa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 397
- 22
Tumeshamwona tumemjua hatumuhitaji tena, wapo wachapa kazi na waadilifu kuliko wengi sana yeye.Tuige mfano wa Ulaya mtu anapochafuka tu anatupwa mbali na ikibidi sheria inachukua mkondo kwa njia hiyo kwanza italeta uadilifu na uwajibikaji wa kweli,tukiendela na utaratibu huu wa kurudishana na kusafishana ndio kwanza tutakuwa tunapalilia ujangili.Tanzania ina nguvu kazi kubwa sana hatuna haja ya hofu ya kupotea kwa jangili!