Lowassa ni kiona mbali

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Ni kiongozi makini sana. Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri na kutenda. Anathubutu na anawapenda watu wake. Majuzi akiwa katika kijiji cha Lolkisale Monduli Lowassa alisema yeye akiwa mbunge anakusudia kuliomba Baraza la Mitihani la Taifa(NECTA) ililiwaruhusu wanafunzi waliofeli kidato cha nne warudie mitihani. Kweli, Monduli wamepata kiongozi. Taifa linahitaji akina Lowassa wengi.Kama Lowassa, ninaamini kuwa ELIMU KABLA.....
 
Ni kiongozi makini sana. Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri na kutenda. Anathubutu na anawapenda watu wake. Majuzi akiwa katika kijiji cha Lolkisale Monduli Lowassa alisema yeye akiwa mbunge anakusudia kuliomba Baraza la Mitihani la Taifa(NECTA) ililiwaruhusu wanafunzi waliofeli kidato cha nne warudie mitihani. Kweli, Monduli wamepata kiongozi. Taifa linahitaji akina Lowassa wengi.Kama Lowassa, ninaamini kuwa ELIMU KABLA.....

Lowasa kama angekuwa anawapenda watu wake asingeiba na kujilimbikizia mali kiasi alicho nacho sasa. Wakati akiwa waziri mkuu watu wale (waTZ) wakiwa kwenye hali ngumu ya kuhitaji umeme na taifa huku likiwa katika hali mbaya ya kifedha aliamua kuunda "tender board" yake huku akiiacha "tender board" ya TANESCO ili kuipa Richmond mkataba wa kufua umeme ili yeye na rafiki zake wajiongezee pesa zaidi kutokana na jasho la walipa kodi wa TZ. Hakika Lowasa ni adui mkubwa wa waTZ na apaswa kuogopwa kama ukoma.
 
kama ni kampeni zenu za Urais 2015, Hapa JF hamna chenu, FISADI NI FISADI, Iweje ashauri warudie Monduri, kwa nin asiwapeleke ktk moja ya shule zake za pale mikocheni? ACHENI USHABIKI UTAOTUDHURU BAADAE!
 
Hutaweza kumsafisha mzee mvi ndg KAUMZA, ngoja aendelee kuwadanganya wamasai wenzake. Mtoto wa mwalimu ambaye sasa ni bilionea kwa rushwa na umafia wa hali ya juu
 
Amekuwa kwenye serikali kwa muda mrefu hana jipya kama angekuwa anawajali watanzania asingetuibia kodi zetu au kutuingiza kwenye mikataba feki
 
wazee wetu walilala wakati wenzao wanapigana na maisha na kuwaandalia watoto wao mazingira mazuri na kuibuka akina lowasa.walaumu wazazi wenu.mkiambiwa leteni ushahidi mnasugua meno.ongeeni kama wasomi bwana.stop gossiping.talk with facts
 
Ni kiongozi makini sana. Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri na kutenda. Anathubutu na anawapenda watu wake. Majuzi akiwa katika kijiji cha Lolkisale Monduli Lowassa alisema yeye akiwa mbunge anakusudia kuliomba Baraza la Mitihani la Taifa(NECTA) ililiwaruhusu wanafunzi waliofeli kidato cha nne warudie mitihani. Kweli, Monduli wamepata kiongozi. Taifa linahitaji akina Lowassa wengi.Kama Lowassa, ninaamini kuwa ELIMU KABLA.....

Hizi jitihada za kujisafisha kwa EL hata kama ndo maandalizi ya 2015 yanakuja kwa kasi.
Hivi tunategemewa watanzania tusahau kama digidigi?
UVCC*, wrong approach, try again.
kwenye nyekundu isomeke hivi " Kweli Monduli wamepata FISADI. taifa halihitaji MAFISADI kama Lowasa kimoja".
 
Ni kweli Lowassa ni kiona mbali lakini si kwa taifa la Tanzania bali kwa mkewe na familia yake.
 
Ni kiongozi makini sana. Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri na kutenda. Anathubutu na anawapenda watu wake. Majuzi akiwa katika kijiji cha Lolkisale Monduli Lowassa alisema yeye akiwa mbunge anakusudia kuliomba Baraza la Mitihani la Taifa(NECTA) ililiwaruhusu wanafunzi waliofeli kidato cha nne warudie mitihani. Kweli, Monduli wamepata kiongozi. Taifa linahitaji akina Lowassa wengi.Kama Lowassa, ninaamini kuwa ELIMU KABLA.....


Lini ameanza kuwa kiona mbali? Umepagawa au umelogwa? Hakika ujinga hauna mipaka. Tafadhali usituletee kejeli. Tuacheni sisi na Tanzania yetu ninyi mliolishwa limbwata la EL
 
Huyu jamaa anayekwenda kwa jina la Lowasa mshipa wake wa aibu umeshakatika na amebakiwa na mshipa wa fedheha tuuu! Hana haya mwana izaya? Ebo.
 
Kimsingi taifa linahitaji watu wenye msimamo wa kimaamuzi kama Lowassa hata hivyo taifa halihitaji watu wezi na wenye kulazimisha maamuzi ya kiuwizi dhidi ya rasilimali na kidogo walichonacho watanzania masikini kama Lowassa

Kabla hatujafikia mahali pa kumpigia debe mtu mwenye traits zote mbili (UCHPA KAZI NA UWIZI) ni bora tukaangalia katika wanasiasa wetu tulionao kwa sasa kama hakuna mwenye trait mojawapo ya muhimu (UCHAPA KAZI BILA WIZI) na kama hakuna ndipo tuweke resolution ya pamoja kufikiri mchapakazi na mwizi kwa kuwa tutakuwa tumetafitri na kujua hakuna mchapakazi asie mwizi katika tanzania yetu (kama ikitokea hivyo)

Hata hivyo naamini wapo wachapakazi wasio wezi, hivyo Lowasa hawezi kuwa first priority kwa taifa hili maana bado tunao wachapa kazi wasio wezi, tena wengi.
 
SIGMA, teh! teh! Umemaliza mchezo kaka, vijifisadi vidogo havina swaga tena teh!
 
Lowasa ndio jembe la CCM, Richmond mwizi alikuwa Kikwete, Lowasa alibebeshwa aibu kulinda heshima ya nchni.
 
kweli mnaomtetea lowasa bado mna akili timamu najaribukuwaza na kuwazia kwani yeye kazaliwa kuwa rais ccm fukuzeni huyu mtu kama hamtaona mabadiliko uande wenu
 
taarifa za kiintelejensia zinaonesha hili limiliki la hii thread ni likada la el na linajiandaa kukumbukwa kwenye uzima wake.
 
agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
kwenda zako kichwa cha panzi wewe ujui kama huyo ni mwizi
 
Chumvi ikiishaharibika utaiweka nini irudishe radha yake? HAKUNA! Ni ya kutupa. Mabaya aliyokwisha yafanya EL hata afanye mazuri mangapi kuanzia sasa mpaka kufa kwake kamwe watz hatuwezi kumwamini tena kuwa RAIS wa JMT. Apumzike atuachie nchi yetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom