Mheshimiwa William Mganga Ngeleja(MB) ni nani?
Kuhusu Mheshimiwa Ngeleja kufahamiana na Lowassa,yawezekana wanafahamiana kikazi tu wakati Mhemiwa Ngeleja akiwa Mwanasheria Wa Vodacom,kama ujuavyo Alphatel ni mmoja wa Mawakala wa Vodacom na kutokana kna kazi aliyokuwa nayo Mhe. Ngeleja ya Mwanasheria wa Vodacom(yaani Regulatory and Legal Manager) ni rahisi kufahamiana na Bwana Lowassa kwasababu ya kupitia Mikataba yote ya Kampuni ya vodacom ambayo ilikuwa ikiingiwa na kampuni zingine.
I know Masha, so far ameonyesha uwezo mkubwa wa kazi na sio mwizi maana ripoti nzima ya Richimonduli hakutajwa hata mara moja, pmaoja na kwamba yeye ndiye aliyekuwa waziri mdogo wa Msabaha, mpaka katibu ametajwa kuwahusika lakini sio waziri mdogo,
kuna kumpigia debe mtu na kusema ukweli, huwezi kumpigia debe kiongozi ambaye ni waziri tayari, unampigia debe Msabaha, aliyejipumzisha, Masha ni mfano wa kuigwa na hasa ukitilia maanani umri wake, ambao ni mdogo sana kwake kuweza kufanya anyoyafanya as far as uongozi is concerned.
Masha ni mfano wa kuigwa kwetu wote kijana mdogo, msomi, ex-wakili wa binafsi, tena very successful, sasa na uwaziri ndio hivyo anazidi kuonyesha kipaji alichopewa na Mwenyezi Mungu, mtoto mdogo amweza kuishinda tamaa, watu wazima kina lowassa, Msabaha, Karamagi wameshindwa, mkuu toa pongezi kwa kijana maana anatuwakilisha wote wale wenye uchungu na nchi.
Ahsante Mkuu Chuma.
Rostam kamsaidia nini Ngeleja?toa uthibitisho.sikatai kama wanafahamiana kwa ukaribu wakati wako Vodacom sababu caspian ni mmoja ya wana hisa wa vodacom,na ina milikiwa na Rostam na lazima kwa njia moja au nyingine wanafahamiana.Kumtaja Ngeleja bila ya kuonysha mkono wa Rasputin wa Ufisadi ROSATM AZIZ ni kuwakosea uadilifu watanzania....
Tanzanianjema
Baada ya kutulia chini na kuangalia mabadiliko yaliyofanyika najikuta sina jinsi isipokuwa kuamini ya kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba Lowassa ndiye nguvu kuu ya mabadiliko ya mawaziri, kiasi cha kuhakikisha walioupande wake wanarudi na waliokuwa ni watu wa karibu wanapata uwaziri kamili.
William Ngeleja (nasikia huyu familia zao zina uhusiano wa kindoa.. sijajua)
Lawrence Masha, Chenge na Msolla - wote wana connection na Lowassa
Watu aliogongana nao vichwa kama Diallo na Meghji wamewekwa pembeni.
Naomba tuangalie kidogo Mawaziri waliorudishwa na uhusiano wao na Lowassa.
Mr Zero,Nafikiri kila Kiongozi ana mpambe wake hapa JF kumtetea. Nakumbuka Mchambuzi alivyokuja hapa kutetea Lowassa kwa speed ya kutisha mpaka watu wakamuombea kwa admin apewe u Expert Member. Duh, kwli JF kiboko!!!!!!!!!!!!!
Mkuu chuma mbona na wewe umetuambia jinsi Msabaha alivyo kichwa, sasa ina maana umetumwa naye kuja kumpigia debe?
I know Masha, so far ameonyesha uwezo mkubwa wa kazi na sio mwizi maana ripoti nzima ya Richimonduli hakutajwa hata mara moja, pmaoja na kwamba yeye ndiye aliyekuwa waziri mdogo wa Msabaha, mpaka katibu ametajwa kuwahusika lakini sio waziri mdogo,
kuna kumpigia debe mtu na kusema ukweli, huwezi kumpigia debe kiongozi ambaye ni waziri tayari, unampigia debe Msabaha, aliyejipumzisha, Masha ni mfano wa kuigwa na hasa ukitilia maanani umri wake, ambao ni mdogo sana kwake kuweza kufanya anyoyafanya as far as uongozi is concerned.
Masha ni mfano wa kuigwa kwetu wote kijana mdogo, msomi, ex-wakili wa binafsi, tena very successful, sasa na uwaziri ndio hivyo anazidi kuonyesha kipaji alichopewa na Mwenyezi Mungu, mtoto mdogo amweza kuishinda tamaa, watu wazima kina lowassa, Msabaha, Karamagi wameshindwa, mkuu toa pongezi kwa kijana maana anatuwakilisha wote wale wenye uchungu na nchi.
Ahsante Mkuu Chuma.
Yule Binti Mkubwa aliyepewa mazingira Batilda nasikia ana uhusiano wa karibu na EL sasa sijajua atamtumiaje labda kutoa SIRI za Baraza la Mawaziri kwenda kwa EL wana JF wenye data zaidi tumwagieni
Nafikiri kila Kiongozi ana mpambe wake hapa JF kumtetea. Nakumbuka Mchambuzi alivyokuja hapa kutetea Lowassa kwa speed ya kutisha mpaka watu wakamuombea kwa admin apewe u Expert Member. Duh, kwli JF kiboko!!!!!!!!!!!!!
Indeed Sir. You were very right and still you are.Lowassa is going nowhere. Said it before. I say it again.