Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
- Thread starter
- #41
Hakuna anayerudisha imani kwa mwizi lakini so far kuna watu wanaotaka tuamini kwamba shutuma zote anazotupiwa Lowassa ni uzushi mtupu, basi ni kwa nini asiende Igunga ambako kundi kubwa la wale wanaomtuhumu wako huko? lengo letu hatutaki tuishi kwenye Polemical Politics za wale wengine wanasema huyu ni fisadi na wengine wanatuambia T.B Joshua katabiri huyu jamaa mtake msitake atakuwa rais wenu mwaka 2015.Mi naona siku zinavyo kwenda watanzania wanazidi kurudisha imani yao kwa mwizi wa rasilimali zetu na mmoja kati ya waliotuingiza kwenye mikataba mibovu inayo tutesa hadi leo. Lowa$sa ni mmoja kati ya walio asisi matatizo ya umeme na mfumuko wa bei, lakini nasikitika sana kuna watu wasio wazalendo walio huku jf wanamsafisha! Pengine wanalipwa lakini mlaaniwe wote mnao potosha ukweli watoto wetu watawalaani kwa kuwaachia nchi isiyo na kitu, mmeuza kila kitu kwa wageni kwa manufaa yenu binafsi, hakika mungu hatawaacha!
Huwezi kumtumia mchezaji wako kwenye vyumba vya kubadilishia nguo (Vikao vya chama) bali uwanjani (Kwenye chaguzi) ambako ndiko mechi zinachezwa. Mechi ya sasa iko Igunga!!