DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
...Ndio.Naomba mwongozo wako mkuu ili tujadili mada je tuombe admin abadilishe title ili tuwe katika nafasi nzuri zaidi ya kujadili mada husika badala ya mtoa mada? Ni dhahiri kwamba tukiweka uzito kwenye mtoa mada, hatutafikia muafaka wa maana zaidi ya he says she says pamoja na lawama na shutuma zisizo na kikomo. Naomba unisaidie ili tufanikishe lengo mkuu.