Hii ilikuwa kwenye msiba wa Mh. Sumari... wadau mnaweza ukatengeneza caption ya hii picha coz hawa jamaa wametoka mbali na wanasafari ndefu pia.
Naomba kuwasilisha
Uso wa Wassira unaonyesha hii scene iliyoko mbele yake ni awkward, yuko embarrased anajifanya
Uso wa Wassira unaonyesha hii scene iliyoko mbele yake ni awkward, yuko embarrased anajifanya
haangalii, si unajua ukiwa unapatanisha wachawi, Lowassa katoa mikono miwili kizushi, anamheshimu Sitta na kwa kweli
hajawahi kujibu madongo yake, Sitta kamkazia uso hataki unafiki, he has nothing to lose CCM hawam mind
na hawawezi kumpa tiketi yao anyway, so hajali, katoa mkono mmoja maana ashasema yeye ki umri na uzoefu
ni senior katika cabinet yote.
Ooops................nimeangalia Vizuri Edo Boy inaonekana macho yake yameshindwa kumuangalia Six in mutas mutandis .............which tells a lot in eye contact's philosophy (evasive eyes)......................
Lowassa mikono yake inatetemeka,ni mgonjwa wa ugonjwa gani sijui,pasco lowassa aliambiwa na mtu mmoja eti kuna dawa anatumia toka indonesia kutibu kinachomsumbua. mikono yake lazima ipeane support!
Uso wa Wassira unaonyesha hii scene iliyoko mbele yake ni awkward, yuko embarrased anajifanya
haangalii, si unajua ukiwa unapatanisha wachawi, Lowassa katoa mikono miwili kizushi, anamheshimu Sitta na kwa kweli
hajawahi kujibu madongo yake, Sitta kamkazia uso hataki unafiki, he has nothing to lose CCM hawam mind
na hawawezi kumpa tiketi yao anyway, so hajali, katoa mkono mmoja maana ashasema yeye ki umri na uzoefu
ni senior katika cabinet yote.
Hivi kuna mtu bado anaaamini haya mazingaobwe ya CCM???