ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
huyo paroko hamjui askofu dr. Ruwaichi atahamishiwa ukerewe tena kisiwa cha saanane..
siyo mbaya, kisiwani huko full utalii wa ndani.
huyo paroko hamjui askofu dr. Ruwaichi atahamishiwa ukerewe tena kisiwa cha saanane..
Ngurumo ya upako na Joshua Nigeria ni timu ya waabudu shetani, Mapepo matupuuuuu!!! wahsindwe na walegeeee katika Jina la Yesu wa Roman catholic amen
Msamehe bure, huyu jamaa ni wale wanaomsikia TB Joshua kupitia magazeti ya Udaku, hajawahi kukanyaga SCOAN wala kuangalia huduma yake kupitia Emmanuel TV. Otherwise angeficha aibu yake ya kujionyesha jinsi anavyozungumzia mtu asiye na information zake hata kidogo. Namshuri tu aangalie Emmanuel TV japo kwa J2 moja critically, naamini atakuja na ushuhuda tofauti
mkuu njopa muogope mungu mimi nilishakuwa pale SCOAN KWA PROPHET T.B.JOSHUA hakuna shetani pale na jamaa kama ilivyo kwa wengine kama katia mguu pale tutakumbushana 2015..
T.B. JOSHUA IS THE REAL MAN OF GOD and HE HAS THE REAL VISION FROM GOD ..sibishanii imani but.......!!!!!!!!
nafahamu saa nane ipo hapa mjini mza kama hifadhi tu!na ukerewe ipo?najua kule kuna kamasi na ukara!ni mtizamo tu!huyo paroko hamjui askofu Dr. Ruwaichi atahamishiwa ukerewe tena kisiwa cha saanane..
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Edward Lowasa ameanza kampeni za urais 2015 kwa kupitia makanisani ambako anaamini atapata sapoti kubwa kwa waumini wa madhehebu mbalimbali,,baada ya kutoa msaada kwa Askofu Mokiwa sasa anaelekea mkoa wa mara karibuni katika harakati hizohizo za kusaka huruma kwa waumini wa dini mbalimbali,,je urais unatafutwa makanisani? ebu tujadili
Kwa CCM hamna aliyebora kumfikia Lowassa
Hapa inabidi tujifunze kuwatendea watu haki maana Lowasa anasadikiwa kuwa fisadi hii inamfanya kuwa mtuuhumiwa tu. Kuna mtu yeyote ambaye anajua kesi aliyoshitakiwa Lowasa na kupatikana na hatia ya ufisadi? Kujiuzulu wafidha wa uwaziri mkuu mbona ni jambo la kawaida kwa wanasiasa kufanya hivyo pale inapotokea matatizo ambayo yanahusisha nyadhifa zao? Mfano hivi leo waziri wa ulinzi mwinyi mdogo akijiuuzulu kwa sababu ya mabomu ya mbagala na g/mboto je itamaanisha kuwa yeye ndo aliyafyatua? Au ngeleja akijiuuzulu kwa sababu nchi iko gizani je itamaanisha yeye ndo anakata mitambo ya tanesco?
Suala la Lowasa ni failure ya system ya ccm na serkali yake, ndo maana nasema kumumulika lowasa peke yake ni kutomtendea haki. Mimi naamini kabisa kuwa lowasa hana tofauti yoyote na kikwete na mafisadi wengine ndani ya ccm kwenye ufisadi wa nchi hii, iweje wengine wawe wasafi na lowasa gamba? Si mtetei lowasa kwa madhambi yake lakini kama kuna watu wengine ambao wanamakosa kama yake lakini wanaendelea kuheshimiwa na kupigiwa makofi kwa nini yeye tu ndo aandamwe? Haki haitetendeki kwa style hii ya kufumbia macho waarifu na kuwashupalia baadhi yao, huu ni ushaabiki tu kama wa simba na yanga "mimi ni JK mwingine mimi ni lowasa" Kamwe hatutaikomboa hii nchi kwa tabia kama hizi. Lazima ijulikane wazi kuwa mafisadi ni ccm wote na serkali yao na hii inamjulisha raisi wao pia. Wote ni malowasa mafisadi walio bobea.