Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,762
- 71,145
He he he! Kazi kweli kweli!
Last edited by a moderator:
Mkwawa,JK acha alipokuwa waziri wizara za fedha na kule Nishati,lakini kawa Foreign kwa miaka 10 na kila siku anakutana na watu wazungumzao lugha hiyo.Acha hii miaka 7 ya upresida ambayo siku nyingi amekuwa nje na kutumia lugha hiyo. Tatizo ni nini kama lugha unaitumia sana halafu kigugumizi? Tatizo ni kuwa kama lugha inakutatiza waweza kutofikisha ujumbe uliokusudia hivyo kutotimiza azma yakoSio kwamba hawajui Kiingereza hawana matumizi nacho kwa asilimia zaidi ya tisini kwa muda wote wa maisha yao, lugha inakuwa, na inakufa, kama huitumii lazima huwezi kuwa na misamiati ya kutosha, lafudhi sio hoja sana kwani hata waingereza wana lafudhi tofauti kati ya sehemu na sehemu au na wamarekani nk.
Ama tuanze kujifunza kiingereza kuanzia darasa la kwanza na kiwe ni kwa masomo yote ili tuwe na misamiati ya kutosha la sivyo tutaonekana vituko siku zote tukizidi kkuking'ang'ania . Wapo wengine kichwa ni patupu hata wakiongea kimatumbi na wako ambao wana make sense ila lugha ndio inawachanganya.
Kiingereza ni cha waingereza wala haaimananishi kwamba kukijua ndiyo una uelewa mkubwa...mbina kuna wanajua kiingereza sana lakini hawajui kusoma wala kuandika??? Ninadhani tuwashangae sana wasioweza kujieleza sawasawa kwa kiswahili......mnajichosha bure.....mnafikiri kwa kutumia kiswahili halafu mnataka mtoe mawazo yenu kwa kiingereza......ni utumwa nao pia
Mkwawa,JK acha alipokuwa waziri wizara za fedha na kule Nishati,lakini kawa Foreign kwa miaka 10 na kila siku anakutana na watu wazungumzao lugha hiyo.Acha hii miaka 7 ya upresida ambayo siku nyingi amekuwa nje na kutumia lugha hiyo. Tatizo ni nini kama lugha unaitumia sana halafu kigugumizi? Tatizo ni kuwa kama lugha inakutatiza waweza kutofikisha ujumbe uliokusudia hivyo kutotimiza azma yako
Haya mnasemaje tumuweke mbowe au slaa hapa au tuache angalau kwa leo???
tuanze na dogo kwanza...
Mkwawa,JK acha alipokuwa waziri wizara za fedha na kule Nishati,lakini kawa Foreign kwa miaka 10 na kila siku anakutana na watu wazungumzao lugha hiyo.Acha hii miaka 7 ya upresida ambayo siku nyingi amekuwa nje na kutumia lugha hiyo. Tatizo ni nini kama lugha unaitumia sana halafu kigugumizi? Tatizo ni kuwa kama lugha inakutatiza waweza kutofikisha ujumbe uliokusudia hivyo kutotimiza azma yako
To do you do you
to say you say me
...... kwenda wizara yeyote......
Wow Kabwe safi sio Lowassa; Very Good and Impressed by Zitto
Nadhani ni kwa kuwa hakijui na wala hakipapatikii sasa kama ni hivyo mbona hawa wanasiasa wetu kama hawa kina lowassa na mulugo wanaking'ang'ania bila sababu za msingiMbona Ji Ntao wa china haongei kiingereza..mbona Ahmadinejad haongei kiingereza.?acha umbumbumbu
lakini kwanini wanaking'ang'ania,mh lowassa mfano jinsi ambavyo hayuko comfortable na hiyo lugha,ni wazi aliandika mahali kwanza then akajikaririsha kutwa nzima
Hakuna anayewabeza bali tunawashangaa kwa nini wanaking'ang'ania wakati hawakiweziMimi nadhani sio sahihi kabisa kuwabeza watanzania kwa kigezo cha lugha yoyote ya kigeni.
Ufahamu na Uwezo binafsi wa mtu kuhusiana na mambo mbalimbali havina uhusiano na uwezo wako wa kutumia lugha za kigeni.