Lowassa na Kiingereza chake!

Kweli bado kuna watu wako ktk ukoloni.
Halafu eti anajisifia anaijua cnn kuliko mtu yeyote.
Kuna watu na viatu!

wala sio kiatu but ni kweli naijua cnn sana wala sio dhambi kuifahamu cnn we mbona unaifahamu tbc sana na redio uhuru sana na hakuna anaekubughuzi juu ya hilo,au kuifahamu cnn ni utumwa pia!!

Kuna alitaka kudanganya kwamba Larry king hayuko kabisa ccn au pengine alikua anaongoza na dhana zaidi ndio tunaijua cnn tukaona ni upotoshaji tukajitokeza kuliweka sawa hilo tena kwa refference,ndio faida ya jukwaa hili,kupashana habari pia!
 
Halafu mdau nimefuatilia comment zako nyingi lazima umtaje lowassa na camerun!!vipi huko nyuma ulikua hivyo hivyo au???napata mashaka pengine mwenzetu ni muumini wa ile "don't ask don't tell" (google utaelewa namaanisha nini) ngoja tukuachie raha zako!but according to my post issue hapa ni lowassa na kiingereza chake twende kwenye angle hiyo urais bado sana!
Weka thread zenye mashiko siyo upuuzi huu! Halafu eti umefuatilia comments zangu!!! Inaonekana wewe umekulia uswahilini kwenye taarabu na raha yako ni kufuatilia maisha ya watu. Hii inadhihirishwa na thread yako ya kiingereza cha Lowassa. Sikulaumu sana maana hukujitakia. Ni malezi tu ya kutaka kujua nani kala nini, kalala na nani, n.k. ndiyo yamekufikisha hapo. Wewe nakuweka kwenye kundi watu wanaotakiwa kutulia nyumbani na kujipamba na hina vifoleni huku mkisubiri kuwaburudisha 'wazee' wakitoka kwenye mihangaiko.
 
Dhambi ya kumuua Mwakyembe haitakuacha
.
Shindwa na uleegee kwa kusema uwongo,mwakiembe ana kansa ya ngozi,mkome lowassa yule ni mpiga kazi mambo ya uchawi mwiko kwakw,na kwa akili ndogo tu lowassa angempatia wapi mwakiembe ampe sumu?mwakiembe ni mtu wa fitina je katika historia ya maisha yake ni lowassa tu aliwahi kukosana naye?
 
sikubaliani na mleta mada kwa sababu zifuatazo,lowassa anajua english tena nzuri sana.
1,lowassa kasoma masters yake wingereza,hawezi kushindwa kuongea
2.ukiangalia tatizo la englishi ni historIa kwa tz,watazania waliosoma zamani ;wakati wa ukoloni kwa system ya darasa la nane wanajua english
 
.
Shindwa na uleegee kwa kusema uwongo,mwakiembe ana kansa ya ngozi,mkome lowassa yule ni mpiga kazi mambo ya uchawi mwiko kwakw,na kwa akili ndogo tu lowassa angempatia wapi mwakiembe ampe sumu?mwakiembe ni mtu wa fitina je katika historia ya maisha yake ni lowassa tu aliwahi kukosana naye?
mchukue huyo jambazi na mwizi awe rais wa kijiji chenu cc watz hatumtaki. mpeni nafasi ccm agombee 2015 ili tumzike jumla na chama chenu cha mafisadi kwenye kaburi la milele.
 
Wanajamii jaribuni kumuelewa "The Romantic" hapa mnapotosha maana halisi "The Romantic" alikuwa anaongea Edward Lowassa kama waziri mkuu mstaafu mwenye elimu ya masters tena kasoma UDSM shahada ya kwanza na ya uzamili kasoma Uingereza tulitegemea aongee kiingereza cha kueleweka vizuri zaidi, hatuitaji aongee kama muingereza ila kutokana na kiwango chake cha elimu alitakiwa aeleweke vizuri kwa sababu alitumia kiingereza toka shule ya sekondari kujielimisha mpaka elimu ya chuo kikuu.

Tunapotoa mfano wa China au Japan au Uarabuni hiyo mifano inakuwa irrelevant kwasababu hao wamesoma elimu zao kwa lugha zao wenyewe kuazia elimu ya msingi mpaka shahada za vyuo vikuu kwahiyo waliandika paper kwa lugha zao wenyewe lakini sisi watanzania tumesoma kwa kiingereza na kuandika paper kwa kiingereza kwa hiyo tunategemea tukijue cha kueleweka maana kama Lowassa hakijui vizuri vile paper aliandikaje? Ukizingatia pia masomo aliyosoma ya Economic Development yanahitaji strong command of english hata pia aliyesoma uhandisi au udaktari bado tunamtegemea aongee kwa kueleweka maana kuna masomo mwaka wa kwanza kila mwanafunzi huyasoma vyuo vikitegemea watakuiwa na uwezo wa kuongea ile lugha na kueleweka

Sasas Lowassa anaposema "they don't listen to the teachers" hiki kiingereza hakijatulia maana alitakiwa kusema "they don't pay attention to the teachers' kusema they dont listen anamaanisha kama watoto ni watukutu hawasikilizi tofauti na ya pili yenye maana ya kuwa wanafunzi wanashindwa kuwaelewa walimu sababu ya njaa. Watanzania tuache sababu ya kusema mbona wajapani, mbona wachina, mbona warusi, mbona wahispania hawaongei kiingereza? wale wamejifunza elimu zao kwa lugha zao wenyewe na sisi watanzania tumejifunza elimu kwa kiingereza kwahiyo tunategemea mtanzania akiongee kwa kueleweka kama hawezi manake alikuwa mweupe darasani maana uliwakilisha vipi majibu na mawazo yako kama lugha ilikuwa haipandi? hapa wa kujitetea ni yule alisoma mathematics peke yake wengine wote hakuna sababu.

Kwa maana hiyo Tanzania hatuendelei sababu ya viongozi kuwa wabovu walikuwa vilaza darasani utajuaje mtu huyu anauwezo? ni pale anapoulizwa maswali na kujibu hapo kwa hapo bila kutegemea hotuba za kuandikiwa pia pale anapotoa mihadhara ndio maana Marekani na nchi za Ulaya kuna midaharo ya viongozi ili kujua uwezo wa kiongozi sio kuchagua kiongozi kwa kuangalia sura isingekuwa midaharo Obama asingekuwa Rais wa Marekani maana walimjua katika uwezo wa kuchambua issues mbalimbali kutoka na midaharo.
 
Haaaaaa kilengeza kigumu kweli afadhali hata mkw.ere kidogo anajitahidi,kilengesa cha huyu musee du kama anasoma kwenye katarasi,hatareee lakini lasama
 
kingereza sio ishu hicho anachoongea kinatosha na ndicho cha wabongo au katiba inasema kuwa rais huwe unapiga slain za kibritish, afu huo urais utampa wewe au? be great thinker
 
Wanajamii jaribuni kumuelewa "The Romantic" hapa mnapotosha maana halisi "The Romantic" alikuwa anaongea Edward Lowassa kama waziri mkuu mstaafu mwenye elimu ya masters tena kasoma UDSM shahada ya kwanza na ya uzamili kasoma Uingereza tulitegemea aongee kiingereza cha kueleweka vizuri zaidi, hatuitaji aongee kama muingereza ila kutokana na kiwango chake cha elimu alitakiwa aeleweke vizuri kwa sababu alitumia kiingereza toka shule ya sekondari kujielimisha mpaka elimu ya chuo kikuu.

Tunapotoa mfano wa China au Japan au Uarabuni hiyo mifano inakuwa irrelevant kwasababu hao wamesoma elimu zao kwa lugha zao wenyewe kuazia elimu ya msingi mpaka shahada za vyuo vikuu kwahiyo waliandika paper kwa lugha zao wenyewe lakini sisi watanzania tumesoma kwa kiingereza na kuandika paper kwa kiingereza kwa hiyo tunategemea tukijue cha kueleweka maana kama Lowassa hakijui vizuri vile paper aliandikaje? Ukizingatia pia masomo aliyosoma ya Economic Development yanahitaji strong command of english hata pia aliyesoma uhandisi au udaktari bado tunamtegemea aongee kwa kueleweka maana kuna masomo mwaka wa kwanza kila mwanafunzi huyasoma vyuo vikitegemea watakuiwa na uwezo wa kuongea ile lugha na kueleweka

Sasas Lowassa anaposema "they don't listen to the teachers" hiki kiingereza hakijatulia maana alitakiwa kusema "they don't pay attention to the teachers' kusema they dont listen anamaanisha kama watoto ni watukutu hawasikilizi tofauti na ya pili yenye maana ya kuwa wanafunzi wanashindwa kuwaelewa walimu sababu ya njaa. Watanzania tuache sababu ya kusema mbona wajapani, mbona wachina, mbona warusi, mbona wahispania hawaongei kiingereza? wale wamejifunza elimu zao kwa lugha zao wenyewe na sisi watanzania tumejifunza elimu kwa kiingereza kwahiyo tunategemea mtanzania akiongee kwa kueleweka kama hawezi manake alikuwa mweupe darasani maana uliwakilisha vipi majibu na mawazo yako kama lugha ilikuwa haipandi? hapa wa kujitetea ni yule alisoma mathematics peke yake wengine wote hakuna sababu.

Kwa maana hiyo Tanzania hatuendelei sababu ya viongozi kuwa wabovu walikuwa vilaza darasani utajuaje mtu huyu anauwezo? ni pale anapoulizwa maswali na kujibu hapo kwa hapo bila kutegemea hotuba za kuandikiwa pia pale anapotoa mihadhara ndio maana Marekani na nchi za Ulaya kuna midaharo ya viongozi ili kujua uwezo wa kiongozi sio kuchagua kiongozi kwa kuangalia sura isingekuwa midaharo Obama asingekuwa Rais wa Marekani maana walimjua katika uwezo wa kuchambua issues mbalimbali kutoka na midaharo.
 
Mimi sioni tatizo kwa mtu asiyejua Kingereza. tatizo kama hajui lugha ya taifa lake. Mbona tunajikolonisha wenyewe?
 
Nina wasiwasi na umri na uwezo wa kufikiri wa mleta maada, tutoke kwenye utumwa wa fikra, mbona china sasa hivi inakaribia kuendesha Dunia, mbona viongozi wake wengi hawajui Kiingereza, tulishapata uhuru wa bendera lakini kwenye mawazo naona wengi bado watumwa hivi kujua tu kiingereza inatosha?
 
Nina wasiwasi na umri na uwezo wa kufikiri wa mleta maada, tutoke kwenye utumwa wa fikra, mbona china sasa hivi inakaribia kuendesha Dunia, mbona viongozi wake wengi hawajui Kiingereza, tulishapata uhuru wa bendera lakini kwenye mawazo naona wengi bado watumwa hivi kujua tu kiingereza inatosha?

Kwani nini asiongee kupitia mkalimani? kama wanavyofanya wachina na wengine ambao hawajui hiyo lugha ya mkoloni wa zamani na sasa wa Tanganyika. Mimi ningejivunia kama angemtumia mkalimani, kuliko ku-distort maana ya baadhi ya vitu halafu watu wanatafuta justification, mfano sikiliza hiyo link mpaka mwisho usikie ku- improve poverty! au ameelezwa vizuri what they are really doing on ground in the pretext of developement.
 
Uongozi haupimwi kwa kuongea bali vitendo. Wa kale wanasema "action speaks louder than word"
Huji usemalo wewe! Command ya lugha ni kitu muhimu sana na sasa naelewa kwa nini huyu bwana katika historia yake ya uongozi hajawahi kufanya interview na chombo chochte cha habari cha kimataifa. Hana eloquence wala fluence ya lugha, vitu ambavyo ni muhimu sana kwa uongozi. Kikubwa ambacho hakisemwi ni kwamba jamaa hata intelligence yake ni ya chini sana na hilo hata kwenye vikao vya kamati ya bunge tumeliona.
 
Back
Top Bottom