gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
"Chama kinapita kwenye process nyingi, kwanza unaanza na siasa za uwanaharakati na CHADEMA tulisha graduate kwenye hili sasa hatuhitaji siasa za maandamano tena",Hii ni kauli alioitoa Lowassa alipokua akizungumza na vijana wa CHADEMA.
Watanzania wanajua na dunia inajua kwamba ulisikika uvumi kila kona ya nchi kwamba ukiachilia mbali sababu zilizotolewa na chama juu ya kile kilichoitwa ukiukwaji wa katiba ambao mwisho wa siku ulipelekea ZZK na kina Kitila kung'atuka CHADEMA pia kulizungumzwa habari ya mwenyekiti kua alfa na omega kwenye chama na sasa zipo ishara ya siku moja Lowassa yakamkuta.
Leo tunaona chama kimeyatupilia mbali mawazo ya Lowassa yakuachana na siasa za maandamano badala yake CHADEMA wamekuja na operation UKUTA kinyume kabisa na mawazo ya Lowassa.
Hapa lipo swali la msingi lakujiuliza je ushauri wa Lowassa umeonekana hauna maana? Na kama umepuuzwa pia lipo swali la msingi lakujiuliza ni kipi kimejificha nyuma ya pazia hata mh Lowassa akaanza kupuuzwa mapema?
Kama hiki kilichotokea hakikutokea kwa bahati mbaya basi tunaendelea kuwasisitiza CHADEMA wakae na LWS wamshauri asiwe anakurupuka kutoa matamko ambayo mwisho wa siku yanaleta ukinzani.
Tujikumbushe haya:
"Wanaofikiri mimi nitaondoka CCM wataondoka wao mimi siondoki CCM".Baada ya muda,"CCM sio baba yangu wala mama yangu".Hii ni ishara yakukurupuka kwenye kutoa matamko.
Watanzania wanajua na dunia inajua kwamba ulisikika uvumi kila kona ya nchi kwamba ukiachilia mbali sababu zilizotolewa na chama juu ya kile kilichoitwa ukiukwaji wa katiba ambao mwisho wa siku ulipelekea ZZK na kina Kitila kung'atuka CHADEMA pia kulizungumzwa habari ya mwenyekiti kua alfa na omega kwenye chama na sasa zipo ishara ya siku moja Lowassa yakamkuta.
Leo tunaona chama kimeyatupilia mbali mawazo ya Lowassa yakuachana na siasa za maandamano badala yake CHADEMA wamekuja na operation UKUTA kinyume kabisa na mawazo ya Lowassa.
Hapa lipo swali la msingi lakujiuliza je ushauri wa Lowassa umeonekana hauna maana? Na kama umepuuzwa pia lipo swali la msingi lakujiuliza ni kipi kimejificha nyuma ya pazia hata mh Lowassa akaanza kupuuzwa mapema?
Kama hiki kilichotokea hakikutokea kwa bahati mbaya basi tunaendelea kuwasisitiza CHADEMA wakae na LWS wamshauri asiwe anakurupuka kutoa matamko ambayo mwisho wa siku yanaleta ukinzani.
Tujikumbushe haya:
"Wanaofikiri mimi nitaondoka CCM wataondoka wao mimi siondoki CCM".Baada ya muda,"CCM sio baba yangu wala mama yangu".Hii ni ishara yakukurupuka kwenye kutoa matamko.