Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Madisadi na UVCCM arusha pia na RostamTofautisha Waziri Mkuu mstaafu na Waziri Mkuu aliyefukuzwa. Warioba hakustaafu kwa kashfa, na hata baada ya kuondoka madarakani ameendelea kutumiwa vizuri sana Kimataifa. Hebu tueleze huyu fisadi Lowasa anatumiwa na nani baada ya kufukuzwa?