Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,834
- 16,691
UKAWA, na Lowassa, lini mnakuja mikoani..? Watu tuna kiu kuu ya kuwapa hongera ya kipekee. Mungu yuko nanyi. Yaani hadi Katavi, Uvinza, Kigoma yote, Manyara ndio usiseme, tunawasubiriii. Ni Gharikaaa...
Lowassa na UKAWA, semeni neno moja tu na roho zetu zitapona.
Uuh... Lowassa, very genius, magic, fantastic, bombastic, amazing, marvelous, wonderful, unbelievable, oh my godness, wow, what a move...!!!!
Lowassa na UKAWA, semeni neno moja tu na roho zetu zitapona.
Uuh... Lowassa, very genius, magic, fantastic, bombastic, amazing, marvelous, wonderful, unbelievable, oh my godness, wow, what a move...!!!!