kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Je hii inamaanisha hana mpango wa kujiuzulu hata kama chama kimenyooshea kidole?
Je hii inamaanisha hana mpango wa kujiuzulu hata kama chama kimenyooshea kidole?
Shein kapokea mkono wake bila ya kumuangalia
Anakwenda kwenye sherehe kupima upepo...bado haamini kuwa mshikaji amemtosa mazima?bado anasubiria...naona anajipa moyo kuwa 2015 labda atakuwa yeye mtu mwisho kuingia uwanjani.......jamaa jasiri sana angeingia mtini kama BWM
We acha kukariri tu na kutumia maneneo ya mitaani kuwa official !,Unaweza kutaja kikao,au kiongozi yoyote wa CCM aliyewahi kumtaja Lowasa kwa jina kwamba inabidi ajiuzulu?.
CCM wanasema mafisadi lakini hawataji majina,hivyo si busara wewe kuanza kuwatajia majina,subiri wataje kisha ndiyo tujadili kwani tafsiri ya fisadi ni zaidi ya unavyodhani.
We acha kukariri tu na kutumia maneneo ya mitaani kuwa official !,Unaweza kutaja kikao,au kiongozi yoyote wa CCM aliyewahi kumtaja Lowasa kwa jina kwamba inabidi ajiuzulu?.
CCM wanasema mafisadi lakini hawataji majina,hivyo si busara wewe kuanza kuwatajia majina,subiri wataje kisha ndiyo tujadili kwani tafsiri ya fisadi ni zaidi ya unavyodhani.
We acha kukariri tu na kutumia maneneo ya mitaani kuwa official !,Unaweza kutaja kikao,au kiongozi yoyote wa CCM aliyewahi kumtaja Lowasa kwa jina kwamba inabidi ajiuzulu?.
CCM wanasema mafisadi lakini hawataji majina,hivyo si busara wewe kuanza kuwatajia majina,subiri wataje kisha ndiyo tujadili kwani tafsiri ya fisadi ni zaidi ya unavyodhani.
Hivi nyie mnamjua Lowassa au mnamsikia ..huyu jamaa ana roho ya paka ...shauri zenu ...
We acha kukariri tu na kutumia maneneo ya mitaani kuwa official !,Unaweza kutaja kikao,au kiongozi yoyote wa CCM aliyewahi kumtaja Lowasa kwa jina kwamba inabidi ajiuzulu?.
CCM wanasema mafisadi lakini hawataji majina,hivyo si busara wewe kuanza kuwatajia majina,subiri wataje kisha ndiyo tujadili kwani tafsiri ya fisadi ni zaidi ya unavyodhani.
Lowassa hajafanya lolote baya akiwa madarakani, tena alichapa kazi kama kifaru, na kawapigisha kazi wenzake, sio Pinda wa kulia akiona wagonjwa au albino, hamna ujasiri wa Mhe Lowassa.
msipumbazwe na kina sitta ambao wanaongea tu, miaka 4 sasa na wao hawana wanalolifanya kutuonyesha kuwa wanaipenda tanzania.