Lowassa kuwa mgeni rasmi ktk ujenzi wa kanisa RC Kyela

Ninaposikia watu wanasema amefanya mazuri huwa najiuliza kwanini asitumie hayo mazuri kujiuza badala ya kupita makanisani na misikitini katika harakati zake?

Pili, huyu bwana hata kama amefanya mazuri kiasi gani bado hama maadili ya kiroho 'moral authority' ya nafasi ya uongozi.
Akiwa anafahamu vema hasara taifa linayoipata alikaa kimya kwasababu tu ya kulida nafasi yake. Yani kwake uwaziri mkuu ni muhimu kuliko hasara tunaypoiona ikiwa ni pamoja na kumlinda RA. Nadhani Bil.100 ana mgao tayari.

Tatu, kwanini anaamini amezaliwa kuwa Rais wa nchi hii. Kama anaamini mamlaka ni tuzo kutoka kwa mola hana haija ya kuzunguka makanisani. Rais Mwinyi hakuwa amewaza kuwa Rais wa nchii hii hata siku moja,siku ilipofika kila jambo lilikwenda naturally.
Shein, na watu wengine walipewa nafasi bila kuzunguka katika mikusanyiko ya kidini.

Kwa kutumia dini tunapata 'moral authority number 2', kwamba lile jambo linaloweza kuligawa taifa EL anaona ni muafaka ili afikie kule aliko kusudia na si kule taifa lilipokusudia.

Ni mwanamikakati mzuri lakini nathubutu kusema kuwa siku akielekea ikulu wapo watakaoelekewa mwituni.
Huyu ni mtu asiye na maadili na hafai kuwa katika safu ya uongozi hata wa kata. Ni hatari na tumwangalie maana yupo tayari watanzania wauane ili mradi anaelekea magogoni.

ENL Hatufai, hana lolote la maana zaiidi ya kueneza chuki, kujenga mitandao ya kuuminza wapinzani wake, kutumia dini na fedha kughilibu umma. Huyu Hafaaiiiii hata kwa bahati mbaya.
 
Hivi EL anawafahamu vizuri WANYAKI wa KYELA??? Kama Simba wa Vita (RIP) angekuwa hai, EL angejaribu kwenda kupata ushauri. Haya na tusubiri tuone!
 
Nyie mwacheni tu ajimalize,kwa staili hii ya kikanisa kanisa hapati kitu labda kama anatafuta uaskofu.
 
Iwish ningekuwa huko kipindi hicho cha maangamizi ya lowassa,...for sure lowassa will regret the so called harambee...still waiting
 
Wana JF, habari

Ni taarifa za kuaminika kuwa EL atakuwa mgeni rasmi katika harambee ya ujenzi wa kanisa katoliki Kyela mjini mwezi April mwaka huu. Chanzo cha habari kinadai kuwa harambee hiyo ilikuwa imepangwa kufanyika Dar lakini yeye EL akadai ni muhimu kuifanyia huko site. Habari ndoo hiyooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Mungu ni mkubwa siku zote, ukiwaabia waja wake unaweza jisifu umewakomoa kumbe ipo siku utawarudishia pesa zao kwa njia ambayo wewe hutaijua. Lowasa anarudisha hela za walipa kodi kwa kujenga misikiti na makanisa. Nadhani hata ujenzi wa mashule kachangia sana, na ataendelea kurejesha fedha za walipa kodi kwa namna hiyo, mpaka tufike Nov. 2015, tayari tuna bilion kadhaa za Lowassa tu.

Nashauri makanisa na misikiti waanzishe mipango ya kujenga mashule na vyuo ili wamwalike kwa wingi aje achangie aendelee kurejesha pesa alizoiba.

Mkono wa msoma aliiba na sasa amerejesha kiasi kikubwa sana cha pesa kwa njia ya kujenga shule huko jimboni kwake na bado anaendelea kurejesha
 
Lowassa ni mgonjwa ! Kwa waliomwona kwa karibu hivi karibuni watakubaliana nami. Namshauri apumzike. Hatuhitaji raisi mgonjwa.
 
Mwache aje tunamsubiria kwa hamu sana!

Haya mambo ya kanisa kutumia wanasiasa wenye questionable integrity yanashangaza, ipo siku tutasikia jiwe la msingi la kanisa, au kanisa limefunguliwa na Mwanasiasa.
 
Ninaposikia watu wanasema amefanya mazuri huwa najiuliza kwanini asitumie hayo mazuri kujiuza badala ya kupita makanisani na misikitini katika harakati zake?

Pili, huyu bwana hata kama amefanya mazuri kiasi gani bado hama maadili ya kiroho 'moral authority' ya nafasi ya uongozi.
Akiwa anafahamu vema hasara taifa linayoipata alikaa kimya kwasababu tu ya kulida nafasi yake. Yani kwake uwaziri mkuu ni muhimu kuliko hasara tunaypoiona ikiwa ni pamoja na kumlinda RA. Nadhani Bil.100 ana mgao tayari.

Tatu, kwanini anaamini amezaliwa kuwa Rais wa nchi hii. Kama anaamini mamlaka ni tuzo kutoka kwa mola hana haija ya kuzunguka makanisani. Rais Mwinyi hakuwa amewaza kuwa Rais wa nchii hii hata siku moja,siku ilipofika kila jambo lilikwenda naturally.
Shein, na watu wengine walipewa nafasi bila kuzunguka katika mikusanyiko ya kidini.

Kwa kutumia dini tunapata 'moral authority number 2', kwamba lile jambo linaloweza kuligawa taifa EL anaona ni muafaka ili afikie kule aliko kusudia na si kule taifa lilipokusudia.

Ni mwanamikakati mzuri lakini nathubutu kusema kuwa siku akielekea ikulu wapo watakaoelekewa mwituni.
Huyu ni mtu asiye na maadili na hafai kuwa katika safu ya uongozi hata wa kata. Ni hatari na tumwangalie maana yupo tayari watanzania wauane ili mradi anaelekea magogoni.

ENL Hatufai, hana lolote la maana zaiidi ya kueneza chuki, kujenga mitandao ya kuuminza wapinzani wake, kutumia dini na fedha kughilibu umma. Huyu Hafaaiiiii hata kwa bahati mbaya.

hatufai ndio lakini tuendelee kumhamasiha kutoa hela alizoiba kwa kumdnganya kumpa uraisi. mpaka kufika 2015 tuwe tumerejesha billion kadhaa alizoiba.
 
Yule nyoka anaewatoa nduki afanye kaz yake
hv angelikuwa0bado
madarakani angefanya
haya yote?
Yaani kakumbuka shuka
wkt jua lishochomoza
aghrrrrrrr
 
shughuli za kijamii ziko nyingi, nguvu kupita kiasi ikielekezwa makanisani na msikitini wananchi hawana budi tujiulize. Tuna matatizo mengi yote yanahitaji harambee na huko waende wakachangishe.
 
Ninaposikia watu wanasema amefanya mazuri huwa najiuliza kwanini asitumie hayo mazuri kujiuza badala ya kupita makanisani na misikitini katika harakati zake?

Pili, huyu bwana hata kama amefanya mazuri kiasi gani bado hama maadili ya kiroho 'moral authority' ya nafasi ya uongozi.
Akiwa anafahamu vema hasara taifa linayoipata alikaa kimya kwasababu tu ya kulida nafasi yake. Yani kwake uwaziri mkuu ni muhimu kuliko hasara tunaypoiona ikiwa ni pamoja na kumlinda RA. Nadhani Bil.100 ana mgao tayari.

Tatu, kwanini anaamini amezaliwa kuwa Rais wa nchi hii. Kama anaamini mamlaka ni tuzo kutoka kwa mola hana haija ya kuzunguka makanisani. Rais Mwinyi hakuwa amewaza kuwa Rais wa nchii hii hata siku moja,siku ilipofika kila jambo lilikwenda naturally.
Shein, na watu wengine walipewa nafasi bila kuzunguka katika mikusanyiko ya kidini.

Kwa kutumia dini tunapata 'moral authority number 2', kwamba lile jambo linaloweza kuligawa taifa EL anaona ni muafaka ili afikie kule aliko kusudia na si kule taifa lilipokusudia.

Ni mwanamikakati mzuri lakini nathubutu kusema kuwa siku akielekea ikulu wapo watakaoelekewa mwituni.
Huyu ni mtu asiye na maadili na hafai kuwa katika safu ya uongozi hata wa kata. Ni hatari na tumwangalie maana yupo tayari watanzania wauane ili mradi anaelekea magogoni.

ENL Hatufai, hana lolote la maana zaiidi ya kueneza chuki, kujenga mitandao ya kuuminza wapinzani wake, kutumia dini na fedha kughilibu umma. Huyu Hafaaiiiii hata kwa bahati mbaya.

Mwinyi hakuwahi kutangaza kuutaka uraisi.Shein hakuwahi kufanya hivyo pia.Ni lini na wapi EL ametamka kwa kinywa chake kwamba anataka kuwa rais?Huu mkumbo huu!
 
Kanisa lenyewe analoenda changia ni la kifisad limeanza jengwa toka 1992 saizi hata linta haijaisha. Aje tu kyela make hata mbunge hakuna, aje alimalizie ccm ili wavurugane vizuri cdm tukachukue jimbo kirahisi 2015
 
Lowasa aende Kyela? Kwa guts zipi hizo alokuwa nazo, na kama akienda atajuta maishani. Wanyakusya bado wana hasira na huyu mtu kwa sababu Mwakyembe alimwandikia barua IGP akimtuhumu EL kutaka kumuua yeye, Mengi na Dr. Slaa - lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na vyombo vya dola wala EL kulalamika kuchafuliwa jina. KIMYA HIKI KINAASHIRIA NINI?

Lowasa ana malengo yake ya kisiasa ya maisha, na sasa yanazidi kuwa na umuhimu kwake ili watu wanaomchafua awakomeshe, ni wengi nikianza na Nape, Sita, JK etc

Zaidi ya hapo huyu jamaa ni mroho wa pesa, hawezi kufanya kitu hata akikifanikisha bila kuchukua kamisheni, sintosahau nia yake ya kuleta wataalamu wa kutengeneza mvua ili bwawa la Mtera lijae, ana laana sana huyu mtu hadi nasikia kijana wake naye anaelekea kuwa kama baba.

Hiu ndo kushabikia ujinga kumfagilia mwizi?
 
Naona ni strategic move ya wana Kyela kulipiza kisasi!
Angalau tutapumzika na izi kampeni za makanisani maana kuna mwenye heri twamtarajia soon!
 
Hatuhitaji utetezi wa kimahabamahaba ndugu yangu.Tunachohitaji ni ushahidi wa kweli kuonyesha kwamba Lowasa alimpa sumu Mwakyembe.Elewa tumemsihi sana Mwakyembe yeye mwenyewe aufahamishe umma juu ya ripoti ya ugonjwa wake hataki.Rafiki siwazuii kumpiga na mayai viza Lowasa akija kwenu kama mkitaka,lakini je mnauhakika kwamba mtakuwa mmemtendea haki?

wakimpiga na mayai viza hawamtendea haki..wampige na nondo ndio itakuwa sawa..malipizi hapa hapa duniani..
 
Naona ni strategic move ya wana Kyela kulipiza kisasi!
Angalau tutapumzika na izi kampeni za makanisani maana kuna mwenye heri twamtarajia soon!


Kwa hiyo wanangoja aingie kwenye 18 zao ili wam-butue,poa washangiliaji tupo, piga huyooo, ua huyooo, choma moto huyoooooooo.
 
Back
Top Bottom