Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Binadamu wanasahau sana, wanaona dili kumvua hicho cheo kwa sababu ya ufisadi, wakumbuke kuna mambo mengi amefanya kwao.
Cheo chenyewe nafikiri hakina maslahi kwa mnyang'anywa kilikuwa na masilahi kwa watoaji.
kazi ipo! no hadhi no cheo.
Cheo chenyewe nafikiri hakina maslahi kwa mnyang'anywa kilikuwa na masilahi kwa watoaji.
kazi ipo! no hadhi no cheo.