Wagonjwa wa PHOBIA utawajua tu. Wao kila kitu wanaogopa. Hata akijenga ghorofa 70 kwa 800Bl, wewe yanakuhusu nini? After all magazeti yaTanzania ni uzushi mtupu. Nakumbuka gazeti moja liliwahi kuandika kuwa Sumaye anamiliki utajiri wa kutisha kwa njia ya rushwa. Baada ya kufikishwa MCT na mahakamani ili wa-prove walishindwa na ikaamuliwa wamlipe Sumaye mabilion ya fedha ingawa nao walishindwa. Kwa hekima mzee Sumaye aliwasamehe. MAGAZETI YETU NI WAZUSHI, MTU AKIJUA KUANDIKA BARUA YA MAPENZI ANAJIITA MUANDISHI WA HABARI. Hata mzee mwinyi wakati akiwa Rais, tulielezwa kuwa ana mpango wa kuishi uarabuni pindi atakapostaafu, yapo wapi leo? SHAME ON YOU WITH YOUR TABLOIDS