KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
Tetesi hizi zinajengwa na hoja kuwa CCM wanasisitiza kuwa watapata ushindi wao kwa zaidi ya asilimia 80. Ushindi huu lazima upatikane kwa haki au hira kwa maana ndio utakaowawezesha kuunda serikali yenye nguvu ambayo wapinzani watakuwa kama wapiga kelele kwa maana watakuwa ni minority katika bunge. Pia kama bunge litamilikiwa na CCM kwa asilimia zaidi ya 80 uwezekano wa Lowassa kupewa nafasi ya Uspika ni mkubwa, hapo ndipo wabaya wake watamkoma, safari ya kujisafisha kwa ajili ya kuelekea kugombea urais 2015 itaanza na vyombo vya habari vyote vitanunuliwa na kutanzanza sifa na matendo 'makuu' ya CCM na uwezo wa utendaji wa Lowassa. Katika tetesi hizi, inasemekana kesi za kina mramba zitatuppwa kwa kukosa ushahidi wenye nguvu, na mramba atarudi kwenye baraza.
yetu macho na masikio, ili haya yasitokee, wale wote wapenda maendeleo ya nchi waipatie chadema na dokta Slaa kura nyingi za ushindi.
yetu macho na masikio, ili haya yasitokee, wale wote wapenda maendeleo ya nchi waipatie chadema na dokta Slaa kura nyingi za ushindi.