meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
taarifa zilizonifikia muda huu ni kwamba baada ya hali kuwa mbaya kwa ccm huko arumeru aliyekuwa waziri mkuu ndg. Edward lowassa atapanda jukwaani live huko maeneo ya kikatiti kesho.
Pia kuna taarifa za uwepo wa katibu mwenezi wa ccm kuanzia kesho.
Tusubiri updates zaidi.
Nawasilisha...
Pia kuna taarifa za uwepo wa katibu mwenezi wa ccm kuanzia kesho.
Tusubiri updates zaidi.
Nawasilisha...