Lakini waaungwan mimi linalonishangaza sana kwa hii nchiyetu huyo ambae anateuliwa kuziba nafasiya Mbadhirifu huwa anatoa sifa nyingi sana za mtangulizi wake na mpaka kufikia kua ahidi kufuata nyayo zake Jee hii si tunatobolewa macho tu nyinyi si munataka kubalishiwa JINA tu? Lakini kwa hakika utenaji ndio uleule,
Au kama muungwana alishasema alikuwa anasubiri barua ya chenge ya kujiuzulu baada ya kuipata akamsifu akasema kafanya jambo la busara sana Jee kama chenge asingrtaka kujiuzulu si ndio imetoka hiyo? kwani jk hanahistotia ya kumuwajibisha mtu yoyote hikweli mpaka mtu aombe mwenyewe? na kwanini hao wanao omba kujiuzulu hawaombi pia kujiuzulu uwanachama?au hii kashfa ni ya serikali tu nahaihusiani na ccm? ahh hii nchi kwahakika inaumiza mvutu tutatoa ngonjera kampaka asubuhi hapa
Au kama muungwana alishasema alikuwa anasubiri barua ya chenge ya kujiuzulu baada ya kuipata akamsifu akasema kafanya jambo la busara sana Jee kama chenge asingrtaka kujiuzulu si ndio imetoka hiyo? kwani jk hanahistotia ya kumuwajibisha mtu yoyote hikweli mpaka mtu aombe mwenyewe? na kwanini hao wanao omba kujiuzulu hawaombi pia kujiuzulu uwanachama?au hii kashfa ni ya serikali tu nahaihusiani na ccm? ahh hii nchi kwahakika inaumiza mvutu tutatoa ngonjera kampaka asubuhi hapa