Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa Jemedali kaptani The great LOWASSA
amesusia mkutano wa ccm utakaofanyika kesho jagwani
Je hii inaashilia nini kwa wana ccm wenzangu?
Kwanini mzee huyu amekaa katika malengo ya kukizoofisha chama?
Kwanini Mikutano mingi inayoandaliwa na Nape mzee huyu huwa anaisusia?