Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 59
Kamati kamati kamati, mimi binafsi nimechoka kusikia hili suala la kamati.
Kila kitu siku hizi kinaundiwa kamati na mwisho wake huwa hatuuoni. Operation ya muhimbili imeundiwa tume, Richmond Imeundiwa tume, Mkataba wa madini umeundiwa tume... na tume nyingi zilizokwisha undwa mwisho wake unakuwa ni nini. Wakati tume hizo zote zikiundwa huwa na usemi usemao " tutaanika kila kitu hadharani, haijalishi hata kama kuna kigogo alihusika"
Hebu tujiulize hizi tume zina faida gani????????
Tangu Kikwete aingie madarakani tume ngapi zimeshaundwa????????
Na Je HIZO TUME ZILIZOUNDWA ZIMEKUJA NA JIBU GANI???????????
Kila kitu siku hizi kinaundiwa kamati na mwisho wake huwa hatuuoni. Operation ya muhimbili imeundiwa tume, Richmond Imeundiwa tume, Mkataba wa madini umeundiwa tume... na tume nyingi zilizokwisha undwa mwisho wake unakuwa ni nini. Wakati tume hizo zote zikiundwa huwa na usemi usemao " tutaanika kila kitu hadharani, haijalishi hata kama kuna kigogo alihusika"
Hebu tujiulize hizi tume zina faida gani????????
Tangu Kikwete aingie madarakani tume ngapi zimeshaundwa????????
Na Je HIZO TUME ZILIZOUNDWA ZIMEKUJA NA JIBU GANI???????????