Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mkwe wa mgombea wa CCM, Fredi Lowassa anatarajiwa kupanda jukwaani Arumeru leo kumnadi mkwe wake Sioi Summari.
Baba mkwe huyu amekuwa nguzo kuu kuhakikisha mkwe wake huyo aliempigania kupita ndani ya chama chake kwa kila hali...njia halali na haramu, anatarajiwa kutokea jukwaani leo kama taarifa zilizopo hazitabadilika, kwa mara ya kwanza tangia arudi toka nje ya nchi kutibiwa macho na kuahidi yuko fiti kwa mapambano.
Zaidi ya kadi 200 zimeshachapishwa kwa ajili ya kufanya igizo kwamba kuna wanachadema wamerudisha kadi hizo!!
Baba mkwe huyu amekuwa nguzo kuu kuhakikisha mkwe wake huyo aliempigania kupita ndani ya chama chake kwa kila hali...njia halali na haramu, anatarajiwa kutokea jukwaani leo kama taarifa zilizopo hazitabadilika, kwa mara ya kwanza tangia arudi toka nje ya nchi kutibiwa macho na kuahidi yuko fiti kwa mapambano.
Zaidi ya kadi 200 zimeshachapishwa kwa ajili ya kufanya igizo kwamba kuna wanachadema wamerudisha kadi hizo!!