Lowassa Kuanzisha ABC Television Arusha

Inawezekana walimbania leseni. Ila hawakufanya poa kubania kama kweli coz hii tiivii ingeleta ajira kwa watz wengi. Pia kwa jiji kama la Arusha na hadhi yake linahitaji tv station kwa kweli. TCRA wafikirie upya kuwapa leseni hawa jamaa.
Alitaka kutumia mitambo ya TBC
 
Back
Top Bottom