jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Alitaka kutumia mitambo ya TBCInawezekana walimbania leseni. Ila hawakufanya poa kubania kama kweli coz hii tiivii ingeleta ajira kwa watz wengi. Pia kwa jiji kama la Arusha na hadhi yake linahitaji tv station kwa kweli. TCRA wafikirie upya kuwapa leseni hawa jamaa.