Lowassa Kuanzisha ABC Television Arusha

Wadau, Kama Lowasa ni fisadi au sio Fisadi It is Immaterial kwa sababu tuhuma alizonazo hazijathibitika.

Nimefurahishwa sana kwa courage yake ya kuanzisha TV Arusha, Najua wengi mtasema mengi kuhusu lengo na nia yake ya kufanya hivyo ila the bottom line ni kwamba ameanzisha kitu ambacho kita provide ajira kwa watanzanian, kitasaidia kuchangia katika uchumi wa Tanzania. ..Kwa hilo namsifu sana sana na namuunga mkono mia kwa mia. Kwa mtizamo wangu ni afadhali fisadi anaeanzisha projects zitakazowapatia Watanzania Ajira kuliko Fisadi anaeenda kulundika hela zake Nje.


Mimi naiona hii kama creativity ha hali ya juu na entrepreneurial attitude ambayo ni muhimu kwa taifa hili.

Ningekua rais wa nchi hii, ningetafuta legal avenue kutoa incentives kwa watuhumiwa wa ufisadi watakaoanzisha viable projects zao hapa nchini wapewe ahueni fulani katika kesi zao, hata ikibidi kuwasamehe ningefanya hivyo kwa wale watakaoonyesha sincerely kuwa wameanzisha project za maana na hawafichi fedha nje ya nchi.


Nomba mnielewe nikisema hivi sihalalishi Ufisali La Hasha ila naangalia tu faida na hasara katika uchumi wetu (multiplier effect). Kwa sasa kama ni wizi tayari umefanyika na fedha zimehamishwa ziko nje ya nchi, Hakuna Faida yeyote tunayopata kama nchi kutokana na pesa iliyofichwa Swiss. Kwanini tusitoe Incentive kwa hawa jamaa kuja Ku Invest hapa Tanzania na kusaidia kukuza Uchumi? Money is Money it does not matter whether it was obtained through alleged Ufisadi or Not, the best way forward is to make the most out of the situation

Hongera Lowasa Niko pamoja na wewe, Nawakaribisha na wengine kuiga mfano wake.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Wadau, Kama Lowasa ni fisadi au sio Fisadi It is Immaterial kwa sababu tuhuma alizonazo hazijathibitika.

Nimefurahishwa sana kwa courage yake ya kuanzisha TV Arusha, Najua wengi mtasema mengi kuhusu lengo na nia yake ya kufanya hivyo ila the bottom line ni kwamba ameanzisha kitu ambacho kita provide ajira kwa watanzanian, kitasaidia kuchangia katika uchumi wa Tanzania. ..Kwa hilo namsifu sana sana na namuunga mkono mia kwa mia. Kwa mtizamo wangu ni afadhali fisadi anaeanzisha projects zitakazowapatia Watanzania Ajira kuliko Fisadi anaeenda kulundika hela zake Nje.


Mimi naiona hii kama creativity ha hali ya juu na entrepreneurial attitude ambayo ni muhimu kwa taifa hili.

Ningekua rais wa nchi hii, ningetafuta legal avenue kutoa incentives kwa watuhumiwa wa ufisadi watakaoanzisha viable projects zao hapa nchini wapewe ahueni fulani katika kesi zao, hata ikibidi kuwasamehe ningefanya hivyo kwa wale watakaoonyesha sincerely kuwa wameanzisha project za maana na hawafichi fedha nje ya nchi.


Nomba mnielewe nikisema hivi sihalalishi Ufisali La Hasha ila naangalia tu faida na hasara katika uchumi wetu (multiplier effect). Kwa sasa kama ni wizi tayari umefanyika na fedha zimehamishwa ziko nje ya nchi, Hakuna Faida yeyote tunayopata kama nchi kutokana na pesa iliyofichwa Swiss. Kwanini tusitoe Incentive kwa hawa jamaa kuja Ku Invest hapa Tanzania na kusaidia kukuza Uchumi? Money is Money it does not matter whether it was obtained through alleged Ufisadi or Not, the best way forward is to make the most out of the situation

Hongera Lowasa Niko pamoja na wewe, Nawakaribisha na wengine kuiga mfano wake.

Mungu Ibariki Tanzania.
Yaani!
Hapa naamini kabisa kuwa wewe unaamini kuwa una make sense.
 
Hakuna haja ya kuogopa kwani kuna magazeti kibao ya watu wa sampuli yake tena ya wanayamiliki wao ila tutaona watakuja na yapi mageni na kuona inatoa upinzani wa kweli katika Tanzia ya habari Tanzania
 
Wadau, Kama Lowasa ni fisadi au sio Fisadi It is Immaterial kwa sababu tuhuma alizonazo hazijathibitika.

Nimefurahishwa sana kwa courage yake ya kuanzisha TV Arusha, Najua wengi mtasema mengi kuhusu lengo na nia yake ya kufanya hivyo ila the bottom line ni kwamba ameanzisha kitu ambacho kita provide ajira kwa watanzanian, kitasaidia kuchangia katika uchumi wa Tanzania. ..Kwa hilo namsifu sana sana na namuunga mkono mia kwa mia. Kwa mtizamo wangu ni afadhali fisadi anaeanzisha projects zitakazowapatia Watanzania Ajira kuliko Fisadi anaeenda kulundika hela zake Nje.


Mimi naiona hii kama creativity ha hali ya juu na entrepreneurial attitude ambayo ni muhimu kwa taifa hili.

Ningekua rais wa nchi hii, ningetafuta legal avenue kutoa incentives kwa watuhumiwa wa ufisadi watakaoanzisha viable projects zao hapa nchini wapewe ahueni fulani katika kesi zao, hata ikibidi kuwasamehe ningefanya hivyo kwa wale watakaoonyesha sincerely kuwa wameanzisha project za maana na hawafichi fedha nje ya nchi.


Nomba mnielewe nikisema hivi sihalalishi Ufisali La Hasha ila naangalia tu faida na hasara katika uchumi wetu (multiplier effect). Kwa sasa kama ni wizi tayari umefanyika na fedha zimehamishwa ziko nje ya nchi, Hakuna Faida yeyote tunayopata kama nchi kutokana na pesa iliyofichwa Swiss. Kwanini tusitoe Incentive kwa hawa jamaa kuja Ku Invest hapa Tanzania na kusaidia kukuza Uchumi? Money is Money it does not matter whether it was obtained through alleged Ufisadi or Not, the best way forward is to make the most out of the situation

Hongera Lowasa Niko pamoja na wewe, Nawakaribisha na wengine kuiga mfano wake.

Mungu Ibariki Tanzania.
sasa wewe kuanzisha kituo cha tv ni ubunifu? umetumwa hapa? haya tumekusikia kwaheri!
 
Nitashangaa TCRA wakitowa leseni kwa jina ABC TV kwa sababu jina hili tayari linatumiwa na kampuni kubwa ya TV USA, inaitwa ABC a well established company

http://abc.go.com/
 
Tumekwisha maana wananchi watazidi kujazwa ujinga kupitia chombo hicho.
 
Yaani!
Hapa naamini kabisa kuwa wewe unaamini kuwa una make sense.

Ubaya wa ufisadi siyo tukuhamisha pesa tu. Kuna madhara mengi mfano:
1. Kumisidrect investment from national priorities kama barabara and education ambavyo vimepasishwa kitaalamu na kisiasa kwenda kwenye mapendekezo ya mtu binafsi kama TV.
2. Justfy culture of wizi, kutowajibika na kujenga misingi ya taifa inayoamini katika wizi na ufisadi. unafikiri vijana wanaosoma sasa wataamini nini, ujanja ni kuiba na kwa tajiri harakaharaka, na public accounts ni source ya utajiri binafsi.
 
Mimi Maamuzi yangu Serikali ya JK ni nzuri sana katika Muuundo wake ila tu Watu wanamuharibia sana ingekuwa vyema Rais angeamua kama kule South Africa kila alichonacho aseme ameiba ibaje na watu wataifishwe mali zao zote na wawe raia kama mimi mlalahoi ninayeswali katika katika yaani( ndani ya darasa mtaa fulani) si unajua nasisi tunatafuta sadaka za watu. Sasa hawa mafisadi leo TV kesho TBC kesho watanunua barabara sasa hapo Kasheshe. Ingekuwa Vyema Serikali ya Mseto ingeundwa tukajua moja wale watu ambao wanajiamini wawekwe madarakani kutetea maslai ya nchi siyo ya mtu. Ukizingatia Fika RWANDA uone kulivyo utafikiri kulikuwa hakuna Jinoside kwani kila mtu anajenga nchi yake sasa Rais washughulikie hao bila kujali urafiki na na pia kuhoji hela amepata wapi? ya kumiliki TV juzi juzi umetoka na kashfa leo unaweka TV. OK tunakuachia Asante
 
Mimi Maamuzi yangu Serikali ya JK ni nzuri sana katika Muuundo wake ila tu Watu wanamuharibia sana ingekuwa vyema Rais angeamua kama kule South Africa kila alichonacho aseme ameiba ibaje na watu wataifishwe mali zao zote na wawe raia kama mimi mlalahoi ninayeswali katika katika yaani( ndani ya darasa mtaa fulani) si unajua nasisi tunatafuta sadaka za watu. Sasa hawa mafisadi leo TV kesho TBC kesho watanunua barabara sasa hapo Kasheshe. Ingekuwa Vyema Serikali ya Mseto ingeundwa tukajua moja wale watu ambao wanajiamini wawekwe madarakani kutetea maslai ya nchi siyo ya mtu. Ukizingatia Fika RWANDA uone kulivyo utafikiri kulikuwa hakuna Jinoside kwani kila mtu anajenga nchi yake sasa Rais washughulikie hao bila kujali urafiki na na pia kuhoji hela amepata wapi? ya kumiliki TV juzi juzi umetoka na kashfa leo unaweka TV. OK tunakuachia Asante

Mkuu hongera sana kwa maoni yako, lakini ungesema uzuri wa serikali yake uko wapi.
 
Huyu Elias Lukumay ni mtoto wa Mzee Stephen Lukumay, rafiki wa karibu wa Fisadi Lowassa ( Ni mtoto wa mwenye NAM Hotel Dodoma). Huyu ndio anatumiwa na Lowassa katika mambo yao mengi tu ikiwepo ile Bonded ware house iliyowahi kufungiwa.....Elias ni rafiki wa karibu wa Fred Lowassa na sasahivi wapo kwenyes hughuli za maandalizi ya harusi ya Elias anayetegemea kumuoa mtoto wa marehemu Sanare (Anaitwa Rehema) aliyekuwa anafanya kazi Deloitte and Touche siujui kama bado yupo
 
Kama anaanzisha na aaanzishe tu kunafaida kubwa
1. pesa hazitoki nje ya nchi ni ndani ya nchi yetu
2. atatoa ajila kwa wananchi wetu
3. atalipa kodi nzuuri tuu kama tutapata selikali makini ya kukusanya kodi
kwa sababu hizo sioni tatizo kwa mwizi kuwekeza nchini mwake bcs the person ni mwizi siyo fisadi unajua neno fisadi linaita vizuuuri kidogo, tumwite mwizi ili akatubu dhambi zake na amgeukie MUNGU.
yes iba wekeza nchini wanachi wafaidi, We unaiba unapeleka pesa nje yaani mwanasheria hujui madhara ya kutoa pesa nje ya nchi mnatuletea Inflation nchini kwa upumbavu wenu, wekezeni kwenye makampuni makubwa ikiwezekana bring new technology with your money is possible, wanenu wasipende nao kukimbilia siasa ila wabadilike kuongoza uchumi wa nchi. mtu mstaaarabu hawafundishi watoto wake uwizi wake anawapa elimu bora wasifanye kazi za hatari kama yeye. endeleeni hivyo wezi woote wa Tanzania.
 
wewe unayetoa maoni hayo una lako jambo kwa kuwa una uhuru wa kutowa maoni si mbaya . Lengo la Luassa ni kujisafisha lakini nakuhakikishia kuwA JUHUDI ZAKE ZITAGONGA UKUTA.
 
Ni jambo zuri kwa huyu Bwana kuanzaisha Telvision Arusha, maana atatoa ajira kwa vijan wetu, mbaya zaidi huyu bwana Lowasa bado anakubalika sana maana mapka sasa kuna wanoamini kuwa alikuwa ni mchapa kazi sana na kazi yake ilionekana.
All the best.
 
Watu kwa data sio mchezo-kweli bongo hakuna siri kabisa,leo akiulizwa EL ,atadai awajui wakati tansada za bunge zinajieleza waziwazi kabisa.
tunaomba data zaidi-kumkoma nyani giladi.
 
Na la Star tv na Channel 10 kupotea mjini arusha kwa wenye antenna za chadema na kuonekana kwa nyungo kubwa kubwa ni hujuma au mbinu ya kibiashara na vipi iwe kibiashara kama watazamaji hawashirikishwi! Basi ngoja tusubiri hiyo ABC ya Lowassa
 
Binafsi napata wasiwasi kwamba hiki chombo (TV) kinaandaliwa maalum kama chombo cha kampeni kuelekea 2010 na kitakuwa kimelenga kumsafisha ENL kama ambavyo imekuwa ikifanyika kwenye vyombo vingine vya habari kama magazeti na baadhi ya wadau (wabunge) waioupande wake kisiasa.

Ambacho sifahamu ni kwamba sijui sheria zetu zinalielezeaje hili kwa sasa kama mtu atakuwa na kituo chake cha televisheni na akakitumia kwa ajili ya kampeni zake mwenyewe, sheria inakataza au iko vipi? Naomba nifahamishwe na wadau kuhusu hili.
 
Back
Top Bottom