Hawana ubavu kiaje??
Kwani kampeni ni pesa au sera?
Kwa Arusha Lowasa hana chake huku si km sehemu nyingine arifu....kisiasa Arusha iko next level
Mtabaki na hiyo mentality kuwa Lowasa ni fisadi..
Wameru wanamkubali Lowassa. He is their hero!
Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa watu walio karibu na Lowassa zimedai kuwa Mbunge huyo wa Monduli, wiki ijayo ataanza rasmi kumpigia kampeni za nguvu mgombea waChama cha Mapinduzi (CCM), Sioi Sumari, mara baada ya kurudi kutoka Ifaraka atakakohudhuria sherehe za kumsimika rasmi askofu wa jimbo jipya la Ifaraka la kanisa Katoliki, Salitarus Libena, Machi 19, mwaka huu.
Imedaiwa kuwa Lowassa ataendesha kampeni akipita kila kata za jimbo la Arumeru Mashariki,katika kile kilichoelezwa ni kuhakikisha kuwa mgombea huyo wa CCM ambaye ameoa mtoto wa mbunge huyo, Pamela Lowassa, anashinda katika uchaguzi huo.
MY TAKE Aangalie asiropoke kama Mkapa.
Hawana ubavu kiaje??
Kwani kampeni ni pesa au sera?
Kwa Arusha Lowasa hana chake huku si km sehemu nyingine arifu....kisiasa Arusha iko next level
Hakika wewe ni tank la giza.Lowassa anakubalika kwa pesa zake; si mnaona anakoalikwa? Ni kwenye uzinduzi wa ujenzi au katika hafla yoyote inayohitaji mchango wa pesa, na kweli jamaa anamwaga mamilioni. Watu si wajinga kihivyo - wanakula pesa yake tu.
Akiingia arumeru kwenye kampeni cdm wawakumbushe wananchi ripoti ta mwakyembe iliyomlazimisha kujiuzuru, Huyu kamwe si waziri mkuu mstaafu bali ni waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzuru kwa kashfa ya ufisadi. Pesa anayotoa kama mchango katika hafla hizo anadhani anawanunua wananchi, lakini wananchi waelezwe kuwa hiyo ni fedha zao anazoendelea kukwapua kupitia mikataba mibovu aliyoiasisi.
Je BAE tuwashukuru na kuwaenzi kwa kurudisha pesa waliyotuibia? Wana tofauti gani na EL anayerudisha kwa njia ya michango? Wote ni wa kushtakiwa kwani ni ufisadi tu!
Je hili la kumkampenia mkwe limekaaje? Yaani familia ya EL tu ndiyo inafaa kwa kuongoza? Baba mkwe, mkwe nk. Kuna msemo kuwa usiweke mayai yote katika kapu moja, leo EL anataka kuweka ndugu zake wote katika biashara ya siasa, siku hilo kapu likianguka! Mkumbuke ya Gadaffi na familia yake
Thibitisha hili povu lako.Atakuwa amepotea njia lowassa ana mvuto kwa wameru na akienda ajiandae na haya:
1. Aliukana umeru
2.akiwa waziri wa maji alikwepesha mradi wa maji ambao ulikuwa uwanufaishe wameru yeye akapeleka monduli
Lowassa ni Chief of Politics no one like him. Fuatilia kwa makini siasa zake na ndipo utagundua kuwa kwanini Watanzania wanamhitaji Lowassa awe rais wao 2015.Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa watu walio karibu na Lowassa zimedai kuwa Mbunge huyo wa Monduli, wiki ijayo ataanza rasmi kumpigia kampeni za nguvu mgombea waChama cha Mapinduzi (CCM), Sioi Sumari, mara baada ya kurudi kutoka Ifaraka atakakohudhuria sherehe za kumsimika rasmi askofu wa jimbo jipya la Ifaraka la kanisa Katoliki, Salitarus Libena, Machi 19, mwaka huu.
Imedaiwa kuwa Lowassa ataendesha kampeni akipita kila kata za jimbo la Arumeru Mashariki,katika kile kilichoelezwa ni kuhakikisha kuwa mgombea huyo wa CCM ambaye ameoa mtoto wa mbunge huyo, Pamela Lowassa, anashinda katika uchaguzi huo.
MY TAKE Aangalie asiropoke kama Mkapa.
Hawana ubavu kiaje??
Kwani kampeni ni pesa au sera?
Kwa Arusha Lowasa hana chake huku si km sehemu nyingine arifu....kisiasa Arusha iko next level
Lowasa aliondolewa katika harambee ya kuchangia sherehe kuanzisha jimbo, lakini hakukataliwa kushiriki sherehe.Anaenda tena Ifakara na tulisikia kwamba hatakiwi tena kule???
Anaenda tena Ifakara na tulisikia kwamba hatakiwi tena kule???