Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
no way...no way for CCM this time.
hatuchagui chama mkuu tunachagua watu........
no way...no way for CCM this time.
Dawa ya hawa vibaraka wa Lowasa,ni kutokuchangia threads zao,
Sikuungi mkono hata kidogo...Tanzania imejaa strong institutions kibao tu na hazina sauti kwa sababu hakuna vichwa ngumu katika mapambano...always katika mpambano wowote ule lazima kuwepo na FRONT LINE MEN and RISK TAKERS na hawa mara zote wamekosekana tangu mwalimu alipofariki...
Kwani unafikiri CCM sio strong institution au unafikiri vyama vingine viko safi kuliko ccm ...hapa cha muhimu ni kumpata mtu strong anayeweza kusimamia katika kile anachokiamini basi hizi nyingine ni porojo tuu
hatuchagui chama mkuu tunachagua watu........
- Katika histori ya tanzania, ameshatokea mwanasiasa mtoa rushwa kama lowasa
- Hajawahi kutokea mwanasiasa Aliyeonyesha tamaa kubwa ya urais kama lowasa.
- Alietengeneza mtandao mpana wa wapambe kama lowasa.
- Anatuhumiwa kugawa rushwa ndani ya chama chake lakini hata siku moja hajasimama kuikemea au kukana hizo shutuma.
- Ana kashfa ya ufisadi wa mabilioni na alijiuzulu lakini mwenyewe hajawai kuuthibitishia umma kwamba hakuhusika.
Lowasa Anatumia nguvu kubwa kujisafisha wakati angeweza kuanika ukweli hadharani kwa ushahidi kuwa hausiki then watanzania tukamuelewa.
Pole sana mkuu kwa kushtushwa na msimamo wangu ila binafsi naamini hii nchi inshitsji viongozi vichwa ngumu na LOWASA anafaa sana hasa kwa nyakati kama hivi za kina PONDA
Yaani hata mtoto mdogo wa leo au mwenye miaka 14 atakatepiga kura 2015 hatampigia kura ni heri alipigie JIWE kwani leo haoni matatizo ya Umeme uliosababishwa na Richmond hadi Symbion? na kusababisha gharama kupanda.
Ataelezwa rushwa zilivyomwagwa Chooni Chuo cha Mipango kuutafuta Urais kupitia Makundi na yeye mpiga kura hapati kitu kwa miaka itakayofuata
Uzuri tumeshawaelewa WAJINGA wanaotaka tumuweke akagombee ili apigwe chini na kina Zitto au Dr Slaa tumeshtuka TUMESHTUKA na mbinu hatuwaelezi bora kukaa kimya
Mimi siyo mwana CCM mkuu nitake radhi........tunachagua watu hatuchagui chama......kura yangu itaenda kwa vicent nyerere na urais ni NI KWA JEMBE.........Kwa hiyo ninyi wana CCM pro LOWASA mnaona PONDA ni ajenda NYETI ya CCM ya kushughulikia?
naamini 2015 lowasa au silaha ndio wanaofaa kuongoza nchi hii..
kweli mkuu...LOWASA ndiye rais wa hii nchi 2015....full stop
yaani inaudhi sana mkuu jasusi yaani huyu jambazi ndio apewe nchi kuanzia 2015!? watu hawaoni aibu wala kusikia vibaya kumfagilia fisadi huyu...labda hii ndio laana ya mungu kwa nchi yetu....vinginevyo haingii akilini kwa mtu mwenye mapenzi ya kweli na tanzania kuja hapa kumfagilia huyu mwizi.
atafika lakini 2015 maana afya yake sasa hivi hata kutembea anatembea kama anachechemea...tusije tukawa na rais anatembezwa kwenye wheelchair maana 2015 mpaka 2020 si mchezo
mi nitafurahi kama siku moja yeye mwenyewe atakuja hapa jamvini na kutoa hayo yaliyopo moyoni mwake Lowassa kwamba anafikiria kugombea uraisi? na ni kwannn ameamua hivyo? sera zake ni zipi kwa maslahi ya Tz / na moja ninayoisubiri kwa hamu ni strategic gani atatumia kuzuia lile bomu la vijana ambao hawana ajira lisije likapasuka?????????????/