Mchukue mkanywe naye chai uraisi n,goKama kawaida yao hawa wapuuzi, wakaja na kiroja kuwa Lowassa amejiuzulu kwa kashfa wenye upeo mkubwa hatukupata tabu kupangua hoja yao hii ya kipuuzi, nasi tukawahoji mbona hata Mwinyi alijiuzulu na baadaye akaja kuwa rais? hawakuwa na la kusema wakauma uma maneno kuwa Lowassa si chochote sasa just week iliyopita mwandishi maarufu Mayage kupitia gazeti la Mapinduzi Raia Mwema amesema waziwazi kuwa Lowassa yuko Km 200 mbele ya hao wenzake wanaoutaka urais kwa tiketi ya CCM! Naona sasa mjadala umefungwa rasmi baada ya Lowassa kuitikisa nchi na kuwahakikishia wanasiasa uchwara kuwa yeye ni jabali lililojihakikishia tiketi ya kuingia ikulu mwaka 2015. Naam! Huyu ndiye Lowassa rais wa 5 wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!..Anayebisha na abishe tu ila let the truth be said Lowassa ni jabali linalotinga Ikulu ya Magogoni mwaka 2015 kwa ushindi wa kimbunga.
umemsahau mkuu wa kaya kama kiunganishi chao!
Kwanini wang'olewe CCM?