Mwanagenzi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2006
- 700
- 213
With due respect, Lowassa ndo anaishia hivyo. Kama ye kidume mbona alikacha bunge Dodoma akadai anaenda kutibiwa macho Ujerumani? Uswahiba na Muungwana haupo tena na ndiyo maana alimtosa kwenye hiyo send-off.
Kwa Watz wa sasa anaweza kupopolewa mawe na wananchi wenye hasira akicheza
Kwa Watz wa sasa anaweza kupopolewa mawe na wananchi wenye hasira akicheza