VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Lowassa haachi mafumbo.Mara ooh,nitapambana hadi kieleweke;mara ooh,niko tayari fiti kuendeleza mapambano.Jana,Lowassa amesema hawezwi.Amedai kuwa wanaomchafua hawamnyimi usingizi.Hakuwataja watu ambao hawamuwezi na wanaomchafua bila kumnyima usingizi.Hivi,Lowassa huwa anawazungumzia akina nani?
Swali la nyongeza: Kwanini kauli nyingi za kisiasa za Lowassa hutolewa mbele ya Askofu Laizer?
Swali la nyongeza: Kwanini kauli nyingi za kisiasa za Lowassa hutolewa mbele ya Askofu Laizer?