Imekuwa kawaida kwa siku za usoni bwana lowasa kuchangia masuala mbalimbali huku akiita media kibao.Nadhani yupo kwenye kubembeleza kura za urais 2015.Nadhani anadhani tumemsahau kwa mabaya aliyotufanyia
nadhani lowassa hana nia ya kugombea urais 2015.im sory to say lakini afya yake hamruhusu kupambana na kashkashi za urais.mwacheni mzee wa watu apumzike!!
Huyu Lowasa zaidi ya kuwa na mvi nyingi hana tofauti nyingine yoyote kimsingi, kifikra, kimtizamo na kimaadili na smiling boy.Yule anayelipia gharama za mahujaji 100 kila mwaka humuoni?, hutaki achangie mambo ya kijamii?!, unapendekeza afanyenini ili ufurahi?, kwani wewe huoni kama ndo mtu pekee anayefaa kuwa rafiki baada ya huyu smiling boy kuharibu nchi?!.
He is simply wasting his precious time!
Mbona anaweza kufanya mambo mengine yenye heshima kuliko kujidahalilisha?...Ataweka wapi sura huyu?
He is simply wasting his precious time!
Mbona anaweza kufanya mambo mengine yenye heshima kuliko kujidahalilisha?...Ataweka wapi sura huyu?
Imekuwa kawaida kwa siku za usoni bwana lowasa kuchangia masuala mbalimbali huku akiita media kibao.Nadhani yupo kwenye kubembeleza kura za urais 2015.Nadhani anadhani tumemsahau kwa mabaya aliyotufanyia[/QUOTE
wewe nawe hamnazo kweli, haya basi sema hayo mabaya alokufanyia, sio kulalama tu, alafu sikunyingine sentesi zako usitumie wingi kama hujatumwa na wengi.
media for sale....
Imekuwa kawaida kwa siku za usoni bwana lowasa kuchangia masuala mbalimbali huku akiita media kibao.Nadhani yupo kwenye kubembeleza kura za urais 2015.Nadhani anadhani tumemsahau kwa mabaya aliyotufanyia
in short ni media people wenyewe wanaojishusha na kuwa kama makomandoo wa simba au yanga!!! unawakuta wamemzunguka mtu wa kijinga tu sema ana pesa kama nzi wanavyozunguka kinyesiMTM hivi
umegundua hata Anthony Lusekelo
siku hizi amenunua media na yeye ana press conference kila wiki???
hii nchi sijui inaendaje.....
samahani
-anaumwa?
-amezeeka sana?
Kwanini wasema afya
hairuhusu????
msikiti ungemfaa, awe imamu wake.Aanzishe kanisa, yeye awe rais wake!